Download PDF
Back to stories list

Kalaahi Khalai azungumza na mimea

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Jesse Pietersen

Translated by Georgette McGlashen

Language Jamaican Creole

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Dis a Kalaahi. Shi a sevn iez uol. Ar niem miin ‘di gud-wan’ inna fi ar langgwij, Lubukuusu.

Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Jina lake lina maana ya ‘aliye mzuri’ katika lugha yake ya Lubukusu.


Kalaahi wiek op an a taak tu di arinj chrii. “Du arinj, gruo big an gi wi uol iip a raip arinj.”

Khalai anaamka na kuongea na mmea mchanga wa Mchungwa, “Tafadhali mti wa Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu.”


Kalaahi waak go a skuul. Pan ar wie shi taak tu di graas. “Du graas, gruo griin-griin an dohn jrai op.”

Khalai anaenda shuleni na njiani anaongea na Nyasi, “Tafadhali Nyasi, kua kijani zaidi na zaidi na wala usikauke.”


Kalaahi paas wail flowaz. “Du flowaz, gwaan blasom so mi kyan put yu ina mi ier.”

Khalai anayapita Maua ya mwituni na kusema, “Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili niweze kukuweka kwenye nywele zangu.”


A skuul, Kalaahi taak tu di chrii inna di migl a di skuulyaad. “Du chrii, push out big lim so wi kyan get fi riid anda yu shied.”

Akiwa shuleni, Khalai anazunguumza na Mti ulioko katikati ya shule, “Tafadhali Mti, toa matawi makubwa ili tusome chini ya kivuli chako.”


Kalaahi taak tu di ejin roun ar skuul. “Du, gruo chrang an tap bad piipl fram kom iihn ya.”

Khalai anazunguumza na ua unaoizingira shule yake, “Tafadhali ua, kuwa mwenye nguvu ili uzuie shule yetu kutokana na watu wabaya.”


Wen Kalaahi go bak uom fram skuul, shi go luk pan di arinj chrii. “Yu arinj dem raip yet?” Kalaahi aks.

Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa Mchungwa kuangalia kama machungwa yameiva.


“Di arinj dem stil griin,” Kalaahi bieli se. “Mi wi si yu tumaro arinj chrii,” Kalaahi se. “Miebi dem taim de yu wi av wahn raip arinj fi me!”

“Machungwa bado mabichi,” Khalai anashusha pumzi. “Nitakuona kesho, we mti wa machungwa. Labda utanipa chungwa bivu wakati huo.”


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Jesse Pietersen
Translated by: Georgette McGlashen
Language: Jamaican Creole
Level: Level 2
Source: Khalai talks to plants from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF