Download PDF
Back to stories list

Inkoko ne Ciyongoli Kuku na Jongoo

Written by Winny Asara

Illustrated by Magriet Brink

Translated by Sandra Mulesu

Language IciBemba

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Inkoko ne Ciyongoli fyali fibusa. Nomba lyonse bale cinfyanayafye. Bushiku bumo, baile mukuteya umupila wakumakasa pakuti bamone uwingacinfya umunankwe.

Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Ila walikuwa wanashindana kila mara. Siku moja wakaamua kucheza mpira wa miguu ili waweze kubaini nani alikuwa mchezaji bora zaidi.


Baile kucibansa camupila nokwamba ukuteya. Inkoko yali iya angukilwa nomba iciyongoli calyangukishe ukucilapo. Inkolo epakupantila ukutali nomba iciyongoli tepakupantisha ukucilapo. Inkoko epakwamba ukunfwa ububi.

Wakaenda uwanjani na wakaanza kucheza. Kuku alikuwa na kasi ila Jongoo alikuwa na kasi zaidi. Kuku alipiga mpira mbali, ila Jongoo alipiga mbali zaidi. Kuku akaanza kupandwa na hasira.


Efyo. batile katupantefye iyakwingisha mufipanda. Iciyingoli ecabalilepo ukuya mucipanda. Inkoko yaingishako kamo. Epakucinjana pakuti inkoko nayo iyemucipanda.

Wakaamua kupigiana penati. Jongoo akaenda golini. Kuku alifunga goli moja pekee. Ikawa zamu ya kuku kwenda golini.


Iciyongoli epakupanta nokwingisha. Iciyongoli calafyanya nokwingisha. Iciyongoli epakusenda umupila nokuya ingisha. Iciyongoli caingisha utukato tusano.

Jongoo alipiga mpira akafunga. Jongoo akapiga chenga akafunga. Jongoo akapiga kichwa akafunga. Jongoo akafunga magoli matano.


Inkoko epakufulwa ukuti yalusa. Pantu yalilusa ububi sana. Iciyongoli epakwamba ukuseka umunankwe pakuilishanya.

Kuku akakasirika kwa kuwa amefungwa. Hakuwa mshindani mzuri. Jongoo akaanza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa analalamika.


Inkoko yalifulwa sana epakwamba ukusonsobola iciyongoli nokucilya.

Kuku alipatwa na hasira kiasi kwamba akafungua mdomo wake mkubwa na akammeza Jongoo.


Cilya inkoko ileya kung’anda epakukumanya nyina waciyongoli. Nyina waciyongoli epakwipusha, “Naumonako umwana wandi?” Inkoko tayaaswike nangu cimo. Nyina waciyonoli tepakusakamana.

Kuku alipokuwa anarudi nyumbani alikutana na Mama yake Jongoo. Mama Jongoo akamuuliza, “Umemwona mwanangu?” Kuku hakujibu kitu. Mama Jongoo akapatwa na wasiwasi.


Elyo nyina waciyongoli aunfwile akalishiwi akanono. “Mutule mayo!” Nyina waciyongoli ekulolesha lolesha no kunfwikisha. Ishiwi lyalefuma mumala yankoko.

Mama Jongoo akasikia sauti kwa mbali. “Nisaidie mama!” ile sauti ililia. Mama Jongoo akaangalia huku na kule na kusikiliza kwa makini. Sauti ilitokea tumboni mwa kuku.


Nyina waciyongoli epakupunda, “bonfya amaka yobe mwana wandi!” Iciyongoli limo cilanunka ububi sana, nokunfwika ifibi mukanwa. Inkoko epakwamba ukunwa ukulwala.

Mama Jongoo alipiga kelele, “Tumia nguvu yako ya kipekee mwanangu!” Majongoo wanaweza kutoa harufu mbaya na ladha ya ajabu. Kuku akaanza kujisikia mgonjwa.


Inkoko epekubukula. Elya yaisa mina nokufwisa futi. Yaisa tesula nokukola, nakabili yakoka. Iciyongoli waliyunfwisha ubunani.

Kuku akabeuwa. Akameza mate na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa tena. Jongoo alimfanya ajisikie vibaya.


Inkoko epakukola mpaka yakola iciyongoli icali mumala. Nyina waciyongoli nommwana wakwe efyo bakulike nokunina icimuti emobabelama.

Kuku alikohoa, hadi akamtema jongoo aliyekuwa tumboni mwake. Mama Jongoo na mwanaye wakakwea mti kujificha.


Ukufuma apopena inkoko nefiyongoli fyalipatana.

Tangu hapo, Kuku na Jongoo ni maadui.


Written by: Winny Asara
Illustrated by: Magriet Brink
Translated by: Sandra Mulesu
Language: IciBemba
Level: Level 3
Source: Chicken and Millipede from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF