Download PDF
Back to stories list

Ulubuto Lunoono: Inshimi ya kwa Wangari Maathai Mbegu Ndogo: Hadithi ya Wangari Maathai

Written by Nicola Rijsdijk

Illustrated by Maya Marshak

Translated by Theresa Mwewa

Language IciBemba

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Mu mushi waba ku mutentemuko wa lupili ulwa ku Kenya ku kabanga ka Africa, umukashana umwaice aalebomba na banyina mwibala. Ishina lyakwe aali ni Wangari.

Katika kijiji kimoja kwenye mteremko wa Mlima wa Kenya, katika Afrika Mashariki, msichana mdogo alifanya kazi za shambani pamoja na mama yake. Msichana huyu aliitwa Wangari.


Wangari alitemenwe ukuba panse. Mwibala lya fyakulya ilya lupwa lwabo, aleefukula umushili ukubomfya icela. Alimbile imbuto mu mushili uwakaba.

Wangari alipenda kufanya kazi za nje. Alitumia jembe kulima katika bustani ya familia yake. Kisha alipanda mbegu ndogo katika ardhi yenye rutuba.


Inshita ya kasuba aatemenwe saana lilyafye akasuba kashilawa. Wangari aaleinuka fye nga cakuti kwafita saana icakuti umuntu tekuti amone ifimenwa. Pakuya aalepita mukashila katondo mu mabala no kuciluka imimana.

Alipenda majira ya jioni, wakati jua linapozama. Giza lilipozidi mpaka aliposhindwa kuona mimea, Wangari alifahamu kuwa wakati wa kwenda nyumbani uliwadia. Alikuwa anafuata kinjia chembamba kilichopita uwanjani huku akivuka mito akielekea nyumbani.


Wangari aali mwana uwa cenjela kabili aalefwaisha ukuya ku sukulu. Lelo bawishi na banyina balefwaya ukuti aleikala pang’anda no kubafwa imilimo. Ilyo aafikile pa myaka yakufyalwa cine-lubali, ndume yakwe umukalamba aashiniine abafyashi bakwe ukusuminisha Wangari ukuya ku sukulu.

Wangari alikuwa mtoto mwerevu na alikuwa na hamu ya kwenda shule. Lakini wazazi wake walitaka awasaidie nyumbani. Alipofika umri wa miaka saba, kaka yake aliwashawishi wazazi wake kumwacha aende shule.


Aalitemenwe ukusambilila! Wangari asambilile ifyafulilako muli cila citabo abelengele. Aalibombele bwino saana pa sukulu icakuti balimwitile ku United States of America. Wangari aalitemenwe cibi! Aalefwaya ukwishibilapo infingi pa lwe sonde.

Alipenda kusoma! Wangari alijifunza zaidi na zaidi kwa kila kitabu alichokisoma. Alifanya vyema sana shuleni hadi akaalikwa kwenda Marekani kuendeleza masomo yake huko. Wangari alitiwa hamasa sana na nafasi hii! Alipenda kujua ulimwengu zaidi.


Pa Univesiti (isukulu likalamba) ya ku America, Wangari aalisambilile ifintu ifingi ifipya. Aasambilile palwa fimenwa nefyo fikula. Nakabili aibukishe ifyo aakulile: ukuteya ifyangalo na bandume yakwe mu cintelelwe ca miti ya mu mpanga shaemba isha ku Kenya.

Alipokuwa chuoni huko Marekani, Wangari alijifunza mengi mapya. Alisomea mimea na jinsi inavyokua. Na alikumbuka maisha yake yalivyokuwa utotoni: kucheza michezo na msitu zake katika kivuli cha miti kwenye misitu maridadi ya Kenya.


Ilyo aaletwalilila amasambililo, aibukile ifyo atemenwe abena Kenya ngashi. Aalefwaya ukuti babe ne nsansa na ubuntungwa. Ukusambilila ifyafulilako kwalengele ebukishe kumwabo ku Africa.

Jinsi alivyojifunza ndivyo alivyofahamu kuwa aliwapenda watu wa Kenya. Alitaka wafurahi na wawe wenye uhuru. Jinsi alivyojifunza ndivyo alivyokumbuka nyumbani kwao Afrika.


Panuma yakupwisha amasambililo, aabweleele ku Kenya. Lelo icalo cakwe ninshi calicinja. Kwali amafamu ayakalamba mpanga yonse. Ba namayo tabaakweete inkuni shakukosesha umulilo wakwipikilapo. Abantu baali baapina na bana ne nsala.

Alipokamilisha masomo yake, alirudi Kenya. Lakini nchi yake ilikuwa imebadilika. Kulikuwa na mashamba makubwa kila upande. Wanawake hawakupata kuni za kuwasha moto wa kupikia. Watu walikuwa maskini na watoto walikuwa na njaa.


Wangari aalishibe ifyakucita. Aafundile ba namayo ifya kulimba imiti ukufuma ku mbuto. Ba namayo baalishitishe imiti na ukubomfya ulupiya ku kusakamana indupwa shabo. Ba namayo balitemenwe nganshi. Wangari aali nabaafwa ukuyumfwa abamaka kabili abakosa.

Wangari alijua la kufanya. Aliwafundisha wanawake jinsi ya kupanda miti kutokana na miche. Wanawake waliuza ile miti na pesa walizopata walizitumia kwa mahitaji ya familia zao. Wanawake walifurahi. Wangari alikuwa amewasaidia kuwa wenye nguvu na uwezo.


Mukupita kwanshita, imiti ipya yalikulile na ukusanguka imishitu, na imimana yatampile ukukomkoloka nakabili. Imbila ya kwa Wangari yalisalangene mu Africa yonse. Ilelo, iminshipendwa ya miti yaalikula ukufuma kumbuto sha kwa Wangari.

Muda ulipopita, miti mipya ilikuwa misitu, na mito ilianza tena kupitisha maji. Ujumbe wa Wangari ulienea Afrika nzima. Leo, mamilioni ya miti imemea kutokana na mbegu za Wangari.


Wangari aali na bombesha. Abantu isonde lyonse baishile ishiba palwa kwa Wangari, kabili bamupeele icilambu icaya ululumbi. Citwa ukuti “Nobel Peace Prize”, kabili aali namayo uwantanshi mu Africa ukupokelela ici cilambu.

Wangari alikuwa amefanya bidii. Watu ulimwengu mzima walifahamu hili na wakampa tuzo. Tuzo hii inaitwa, ‘Tuzo ya Amani ya Nobel.’ Na alikuwa mwanamke wa Kiafrika wa kwanza kupokea tuzo hii.


Wangari afwile mu 2011, lelo kuti twatontonkanya pali ena ilyo lyonse twamona umuti uwayemba.

Wangari alifariki mwaka 2011, lakini tunaweza kumkumbuka kila tunapoona mti maridadi.


Written by: Nicola Rijsdijk
Illustrated by: Maya Marshak
Translated by: Theresa Mwewa
Language: IciBemba
Level: Level 3
Source: A Tiny Seed: The Story of Wangari Maathai from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF