Download PDF
Back to stories list

Anansi na Ukwiluka Anansi na hekima

Written by Ghanaian folktale

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Sandra Mulesu

Language IciBemba

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Munshita yakale abantu tabaishibe nangu cimo. Tabaishibe ifyakubyala ifilimwa nangu ukupikula, ne fyakupanga amasembe. Lesa Nyambe uwali mumulu umutali ewakwete ukwiluka konse mucalo. Akusungilile munongo.

Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, hawakujua kushona nguo, wala hawakujua kuunda zana za chuma. Nyame, mungu aliyekuwa mbinguni, ndiye aliyekuwa mwenye hekima zote za dunia. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo.


Bushiku bumo, Nyambe atile apele impoto yakwiluka kuli Anansi. aCilanshita Anansi alelolesha munongo, alesambililamo icintu cimo icipya. Cali icakusansamusha sana.

Siku moja, Nyame aliamua kumpa Anansi chungu hicho cha hekima. Kila Anansi alipotazama ndani ya chungu cha udongo, alijifunza jambo jipya. Alifurahi sana!


Ukuitemwa kwakwa Anansi atontokanya ati, “Nalasunga impoto bwino pamulu wacimuti. Pankuti ibefye yandi neka!” Epakupomba intambo iitaki kunongo nokuikaka pamala. Efyo ayambile ukunina icimuti. Nomba cali icayafya ukunina icimuti nempoto, yalemupunka mumakufi cilanshita.

Anansi mlafi alinong’ona moyoni, “Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili nikifaidi mwenyewe.” Akasokota uzi mrefu na kuuzungusha kwenye chungu. Kisha, akajifunga tumboni. Akaanza kupanda kwenye mti. Lakini ilikuwa vigumu kupanda kwenye mti huku chungu kikimgonga magotini kila mara.


Inshita yonse iyi, umwana umulumendo uwakwa Anansi aliminine mwisamba lyamuti aletamba. Epakusosa ati, “bushe tacayangukepo ngacakuti mwaka impoto panuma?” Efyo Anansi aeseshe ukukaka inongo panuma nokwanguka cayanguka.

Wakati huo wote, mwanawe alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama baba yake. Akamwambia, “Baba, si ingekuwa rahisi kupanda endapo ungekifungia chungu mgongoni?” Basi Anansi akajaribu kukifungia chungu kilichojaa hekima mgongoni mwake, na kweli ikawa rahisi zaidi.


Bwangu bwangu afika napamulu wacimuti. Nomba atontonkaya ati, “ninebofye nfwile nakwata ukukwiluka konse, nomba umwana wandi acenjelapo ukuncila!” Anansi epakufulwa sana. Aposa nenongo panshi yacimuti.

Punde tu alipofika juu ya mti, aliwaza, “Natakiwa kuwa ndiye mwenye hekima zote, lakini hapa mwanangu ndiye mwenye akili kuliko mimi.” Anansi alikasirishwa sana kiasi kwamba alikitupa kile chungu chini ya mti.


Yatobaika pamushili. Efyo cilaonse asendeleko ukwiluka. Ukufuma apo, efyo abantu baishibe ukulima, ukupikula nokufula ifishimbi nafimbipo ifyo abantu baishiba ukucita.

Chungu kilivunjika vipandevipande pale chini. Hekima zikawa za bure kwa mtu yeyote kujichukulia. Na hivyo ndivyo watu walivyojifunza kulima, kushona nguo, kuunda zana za chuma, na mambo yote mengine ambayo watu wanajua kuyafanya.


Written by: Ghanaian folktale
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Sandra Mulesu
Language: IciBemba
Level: Level 3
Source: Anansi and Wisdom from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF