Download PDF
Back to stories list

Tom Umucuruzi w’imineke Tom the banana seller Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Patrick Munyurangabo

Language Kinyarwanda

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Tom atwara agataro k’imineke (ibitoki b’ihiye).

Tom carries a tray of ripe bananas.

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


Tom ajya ku isoko kugurisha imineke.

Tom goes to the market to sell bananas.

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


Abantu kw’isoko bari kugura imbuto.

People at the market are buying fruit.

Sokoni watu wananunua matunda.


Ariko ntan’umwe uri kugura imineke ya Tom. Bariguhitamo kugura imputo z’abagore.

But no one is buying Tom’s bananas. They prefer to buy fruit from women.

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


“Mu muryango mugari wacu, abagore bonyine nibo bagurisha imbuto,” abantu baravuga. “Uyu ni mugabo ki?” abantu barabaza.

“In our community, only women sell fruit,” people say. “What kind of a man is this?” people ask.

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


Ariko Tom ntago ahara. Arahamagara, “Gura imineke yange! Gura imineke yange iryoshye ihiye!”

But Tom does not give up. He calls, “Buy my bananas! Buy my sweet ripe bananas!”

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


Umugore umwe afata imineke myinshi kuva ku agataro. Yitegereza imineke yitonze.

One woman picks up a bunch of bananas from the tray. She looks at the bananas carefully.

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


Uwo mugore agura iyo imineke.

The woman buys the bananas.

Mwanamke ananunua ndizi.


Abandi bantu baza ku itandikiro. Bagura imineke ya Tom baranayirya.

More people come to the stall. They buy Tom’s bananas and eat them.

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


Vuba (Bidatinze), agataro kari ubusa. Tom abara abafaranga yakoreye.

Soon, the tray is empty. Tom counts the money he earned.

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


Ubundi TOm agura isabune, isukari, n’umugati. Ashyira ibintu mu agataro ke.

Then Tom buys soap, sugar, and bread. He puts the things in his tray.

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


Tom yikorera agataro arataha.

Tom balances the tray on his head and goes home.

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Patrick Munyurangabo
Language: Kinyarwanda
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF