Download PDF
Back to stories list

Karisa N’inka Tingi and the cows Tingi na ng'ombe

Written by Ingrid Schechter

Illustrated by Ingrid Schechter

Translated by Narcisse Biziyaremye

Language Kinyarwanda

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Karisa yabanaga na nyirakuru.

Tingi lived with his grandmother.

Tingi aliishi na bibi yake.


Yajyaga aragirana inka na nyirakuru.

He used to look after the cows with her.

Alizoea kuchunga ng’ombe na bibi yake.


Umunsi umwe, abasirikari baraza.

One day the soldiers came.

Siku moja wanajeshi walikuja.


Babatwarira inka.

They took the cows away.

Wakawachukua ng’ombe.


Karisa na nyirakuru bariruka barabahunga.

Tingi and his grandmother ran away and hid.

Tingi na bibi yake walikimbia na kujificha.


Bihisha mu gihuru kugeza ijoro riguye.

They hid in the bush until night.

Walijificha kichakani hadi usiku.


Nyuma abasirikari baragaruka.

Then the soldiers came back.

Wanajeshi walirudi tena.


Nyirakuru amuhisha munsi y’amababi y’ibiti.

Grandmother hid Tingi under the leaves.

Bibi alimficha Tingi chini ya majani.


Umwe muri abo basirikari akandagira kuri Karisa ariko ntiyakoma.

One of the soldiers put his foot right on him, but he kept quiet.

Mwanajeshi mmoja alimkanyaga, lakini akanyamaza kimya.


Ba basirikare bamaze kugenda, Karisa na nyirakuru bava mu bwihisho.

When it was safe, Tingi and his grandmother came out.

Wanajeshi walipoondoka Tingi na bibi yake wakajitokeza.


Basubira iwabo bomboka.

They crept home very quietly.

Wakajikongoja kimya kimya kurudi nyumbani.


Written by: Ingrid Schechter
Illustrated by: Ingrid Schechter
Translated by: Narcisse Biziyaremye
Language: Kinyarwanda
Level: Level 2
Source: Tingi and the Cows from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF