Download PDF
Back to stories list

賣香蕉嘅湯姆 Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by dohliam

Read by Zoe Lam

Language Cantonese

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


湯姆頂住一籃熟透嘅香蕉。

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


湯姆去街市度賣香蕉。

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


好多人去街市度買生果。

Sokoni watu wananunua matunda.


但係冇人去湯姆個檔口嗰便,因為佢哋更加鍾意幫襯女仔買生果。

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


大家就話:「喺我哋呢度,得女仔先會賣生果嘅」。佢哋仲問:「邊度有男仔會去賣生果㗎?」

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


但係湯姆都冇放棄。佢喺街市度叫賣:「快啲買我啲香蕉!又靚又甜嘅香蕉!」

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


有個女仔由個籃入面捉起一揪香蕉,好小心噉睇吓睇。

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


然之後佢買咗嗰揪香蕉。

Mwanamke ananunua ndizi.


越嚟越多人嚟到湯姆嘅檔位前。佢哋買咗湯姆嘅香蕉,仲食到津津有味添。

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


冇幾耐,湯姆個籃就空晒,佢就計吓自己賣香蕉賺到嘅錢。

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


湯姆用呢啲錢買咗番梘、砂糖同埋麵包。佢擺呢啲嘢入佢個籃度。

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


湯姆好定當噉就用個頭頂住個籃返屋企。

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: dohliam
Read by: Zoe Lam
Language: Cantonese
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF