Oto Khalai. Ma siedem lat. W jej języku, Lubukusu, jej imię oznacza: „ta dobra”.
Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Jina lake lina maana ya ‘aliye mzuri’ katika lugha yake ya Lubukusu.
Khalai budzi się i mówi do drzewa pomarańczowego: „Proszę rośnij duże i daj nam mnóstwo dojrzałych pomarańczy”.
Khalai anaamka na kuongea na mmea mchanga wa Mchungwa, “Tafadhali mti wa Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu.”
Gdy Khalai jest w drodze do szkoły, mówi do trawy: „Proszę rośnij zieloniutka i nie wysychaj”.
Khalai anaenda shuleni na njiani anaongea na Nyasi, “Tafadhali Nyasi, kua kijani zaidi na zaidi na wala usikauke.”
Gdy mija polne kwiaty, mówi: „Proszę kwitnijcie, abym mogła upiąć was w moich włosach”.
Khalai anayapita Maua ya mwituni na kusema, “Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili niweze kukuweka kwenye nywele zangu.”
W szkole, Khalai mówi do drzewa na środku podwórka: „Proszę wypuść ogromne gałęzie, abyśmy mogli czytać w twoim cieniu”.
Akiwa shuleni, Khalai anazunguumza na Mti ulioko katikati ya shule, “Tafadhali Mti, toa matawi makubwa ili tusome chini ya kivuli chako.”
Khalai mówi do żywopłotu, który otacza jej szkołę: „Proszę rośnij silny i zatrzymuj złych ludzi, aby tutaj nie wchodzili”.
Khalai anazunguumza na ua unaoizingira shule yake, “Tafadhali ua, kuwa mwenye nguvu ili uzuie shule yetu kutokana na watu wabaya.”
Gdy Khalai wraca ze szkoły, odwiedza drzewo pomarańczowe: „Czy twoje owoce są już dojrzałe?”
Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa Mchungwa kuangalia kama machungwa yameiva.
„Pomarańcze są nadal zielone” – wzdycha dziewczynka. „Do zobaczenia jutro” – mówi Khalai. „Może jutro podarujesz mi dojrzałe i soczyste owoce”.
“Machungwa bado mabichi,” Khalai anashusha pumzi. “Nitakuona kesho, we mti wa machungwa. Labda utanipa chungwa bivu wakati huo.”