Download PDF
Back to stories list

Sirba Sakiimaa Wimbo wa Sakima

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Peris Wachuka

Translated by Demoze Degefa

Language Oromo

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Sakiimaan warra isaatifi obbolette isaa ishee waggan afuri walin jirata. lafa namaa soressa tokko gubbaa jiratan. Manii citaa isaani mukkenin marfamtee jiriti.

Sakima aliishi na wazazi wake na dada yake wa miaka minne. Waliishi katika shamba la mtu tajiri. Nyumba yao ya nyasi ilikuwa mwisho wa safu ya miti iliyopendeza.


Yeroo umriin Sakiimaa waggaa sidi ta’e kufee iji isaa jaame. Sakiimaan mucaa jimaa ture.

Sakima alipokuwa na umri wa miaka mitatu, aliugua na kupoteza uwezo wa kuona. Hata hivyo, Sakima alikuwa mvulana mwenye kipaji.


Sakiimaan hojii bayee warri wagga jahaa hihojjane hojata. Fakeenyaaf, maanggudootii ganda wajjiin taa’e dhimaa cimaa irrati nimari’ata.

Sakima alitenda mambo mengi ambayo wavulana wengine wa umri wake hawakufanya. Kwa mfano, aliketi na watu wazima na kujadili mambo muhimu.


Matiin Sakiimaa mana nama sorressaa kessa hojaatan. Isaanis ganamaan bahanii galgal galu. Sakiimaa obboleti isaa wajjiin manatti dhisanii deeman.

Wazazi wa Sakima walifanya kazi katika nyumba ya yule tajiri. Walitoka nyumbani asubuhi na mapema na kurudi jioni. Sakima aliachwa na dada yake.


Sakiimaan sirba sirbu jalata. Gaftokko harmeen isaa akkan jete isa gafatte. “Sakiimaa sirboota kana isaa barratee?”

Sakima alipenda kuimba nyimbo. Siku moja mama yake alimuuliza, “Sakima, unajifunza nyimbo hizi kutoka wapi?”


Sakiimaanis debise, “Sirbonni akasuman dhufeu, harme. Sammuu kootin dhaggefadhen isaan sirba.”

Sakima alimjibu, “Nazisikia akilini mwangu kisha naziimba.”


Sakiimaan obboletti isaatif sirbu jalata, kessaa yeroo isheen aarte. Obbolettin isaas nidhagefati. Isheen suta jette sirbitti.

Sakima alipenda kumwimbia mdogo wake hasa akihisi njaa. Dada yake alimsikiliza na kucheza.


“Irra debitee nafsirbuu danadessa Sakiimaa” jete gafate obbolettin isaa.

“Naomba uimbe tena na tena, Sakima,” mdogo wake alimsihi. Sakima alikubali na kuimba mara nyingine.


Galgala tokko warri isaa gara manaa deebi’anii, cal jedhanii ta’an. Sakiimaan wanti tokko akka ta’ee nibeeka ture.

Jioni moja, wazazi wake waliporudi nyumbani, walikuwa kimya sana. Sakima alijua kwamba lazima kulikuwa na jambo baya.


“Maltu badee abba koo, harmee ko?” jedhe gaafate Sakiimaan. Sakiimaan mucaan nama soressa sani badee jira. Namitichis qophaa isaa wanta’ef aare ture.

“Kuna shida gani, mama, baba?” Sakima aliuliza. Sakima aligundua kwamba mwana wa tajiri wao alikuwa amepotea. Tajiri alihuzunika na kuwa na upweke mkubwa.


Sakiimaanis “Ani sirbuuf nandanada’a innis nigamada,” jedhe warra isaati hime. Garuu warri isaa yadaa kana hinfudhanne, “Inni bayee soressa. Ati mucaa jamaa dha. Siribi kee waan isan gargaaru sittifakkataa?”

“Labda atafurahi tena nikimwimbia,” Sakima aliwaambia wazazi wake. Wazazi wake walidharau wazo lake. “Yeye ni tajiri sana. Wewe ni mvulana asiyeona. Unadhani wimbo wako utamsaidia?”


Hata’uu malee, Sakiimaan shakkali isaa ittumma fufee. Obbolettin quxussun isaas isaa gargaarte. Akkam jette, “siribi Sakiimaa yeroon anigadee bayee nagaragar. Haluma kanan nama soressa kanas nigargaara.”

Hata hivyo, Sakima hakukata tamaa. Mdogo wake alimpa moyo. Alisema, “Nyimbo za Sakima hunituliza mimi nikiwa na njaa. Zitamtuliza tajiri vile vile.”


Guyyaa ittianu, Sakiimaan obbolettin isaa gara mana namtichaa soressa itti agarsiistu gafatee.

Siku iliyofuata, Sakima alimwomba mdogo wake amwongoze hadi kwenye nyumba ya tajiri.


Foddaa guddaa tokko jala dhaabatee sirbuu calqaabe. Suuta jedhe mataan namtichaa soressa gara foddaati muldhatee.

Alisimama chini ya dirisha moja kubwa na kuanza kuimba wimbo wake alioupenda. Pole pole, kichwa cha tajiri kilionekana dirishani.


Hojjatonni hojii isaani nidhaaban. Isaanis sirba bareeda Sakiimaa dhageefatan. Namtichi too akkan jedhe, “Namni tokko iyyu hoggana keynaa sabbarsisu hindanada’u. Mucaan jamaa kuni waandanda’u ittifakkataa?”

Wafanyakazi waliacha kazi zao. Wakasikiliza wimbo mzuri wa Sakima. Hata hivyo, mwanamume mmoja alisema, “Hakuna aliyefaulu kumtuliza bwana. Je, huyu mvulana asiyeona anafikiri atamtuliza?”


Sakiimaan sirbaa siaa xummure jenaan deeme. Namitichi sooressi suni gadii bahee, “Mee irraa deebi’i sirbi adaraa.”

Sakima alipomaliza kuimba wimbo wake alianza kuondoka. Tajiri alitoka nje kwa haraka na kusema, “Tafadhali, imba tena.”


Yerooduma san namni lama nama wahi sireedhan bataani dhufan. Mucaan nama soressa sana rukkutame karaa gubbaa irratti gatamee argan.

Wakati huo huo, watu wawili walikuja wakiwa wamembeba mtu kwenye machela. Walimkuta mwana wa tajiri akiwa amechapwa na kuachwa kando ya barabara.


Namni soressi sun mucaan isaa agrachuu isaatin bayee gammadee. Sakiimman wan isaa sabbarsiseef badhaasa laatef. Sakiimaa fi mucaa issaa gara mana yaalla gessee.

Tajiri alifurahi sana kumwona mwana wake tena. Alimzawadia Sakima kwa kumliwaza. Aliwapeleka mwanawe na Sakima hosipitali ili Sakima aweze kusaidiwa kuona tena.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Peris Wachuka
Translated by: Demoze Degefa
Language: Oromo
Level: Level 3
Source: Sakima's song from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF