Download PDF
Back to stories list

Noziibele fi rifeensa saddan Nozibele na nywele tatu

Written by Tessa Welch

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Demoze Degefa

Language Oromo

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Yeroo duri, dubarri sadii qoraan guruu deeman.

Hapo zamani za kale, wasichana watatu walienda kukusanya kuni.


Guyyaa ho’aa waantureef bishan daakuf gara lagaa deeman. Bishaan daakaa, walti naqaa bayee taphaatan.

Ilikuwa ni siku yenye jua kali na wakaamua kwenda mtoni kuogelea. Wakaogelea huku wakicheza na kurushiana maji.


Akka tasaa akka guyyaa ta’ee baran. Daddafanii gara qayee isaani deebi’an.

Ghafla waligundua kuwa muda umekwenda. Wakaharakisha kurudi nyumbani.


Yeroo gara maanatti dhihatan Noziibele harkaa ishee mormaratti kayyachuu ishee argan. Amartii morma ishee gatte turte! “Adaraa nawajjiin dubbati debi’aa” jette isaan kadhatte. Garuu hiriyyoni ishee yeroon barbacha akka darbee ittihiman.

Walipokuwa wanakaribia kufika nyumbani, Nozibele akajishika shingoni. Alikuwa amesahau shanga zake! “Tafadhali turudini!” aliwasihi rafiki zake. Lakini rafiki zake wakasema tumechelewa.


Kanaafu Noziibelen gara laggati deebite. Amaarti ishee argatee jennan gara mana dafte galatee. Garu dukkanni ishee karairra dhoske.

Kwa hiyo Nozibele akarudi mwenyewe mtoni. Akapata shanga zake na akakimbia kurudi nyumbani. Lakini akapotea gizani.


Fageenyati ifaa mana kessa argite. daftee gara manichaa deemte balbalaa isaani rukkute.

Kwa mbali akaona mwanga unatoka kwenye nyumba. Akakimbilia kwenye nyumba na kugonga mlango.


Akka ajaa’iba sareen mana bantee akkan jetten, “Mal barbaadee?” Karaan bade lafa cisuun barbaadaa jeteen, Noziibelen. “Seeni yookeen anii ciniina,” jetten sareen. Kanafu Noziibelen gara manaa sente.

Akastaajabu kumwona mbwa akifungua mlango na akasema, “Unataka nini?” “Nimepotea na ninatafuta sehemu ya kulala,” akasema Nozibele. “Ingia ndani, la sivyo nitakung’ata!” mbwa akamwambia. Nozibele akaingia ndani.


Sana booda sareen akkan jette, “Nyaata naf qopheesi!” “Garu ani sareedhaf qophesee hinbeeku” jetteen sareen. “Nyataa qopheesi yookin cincinnina” jetteen sareen. Kanafu Noziibele nyaataa xinno sareef qophesitee.

Mbwa akamwambia, “Nipikie!” “Sijawahi kumpikia mbwa,” akajibu. “Pika, la sivyo nitakung’ata!” mbwa akasema. Nozibele akampikia mbwa chakula.


Kanati ansuudhan sareen, “Lafa cisiichaa natolchi,” jetten sareen. “Sareedhaf goonkumayuu lafaa cisiichaa qopheesu hinbeeku,” jetten Noziibele. “Cisiichaa natolchi yookin cincinnina,” jedheen sareen. Kanaafu Noziibele lafaa cisichaa tolchitef.

Mbwa akamwambia, “Nitandikie kitanda!” Nozibele akajibu, “Sijawahi kumtandikia mbwa kitanda.” “Tandika kitanda, la sivyo nitakung’ata!” mbwa akasema. Nozibele akatandika kitanda.


Guyyaa hundaa sareef nyaatafi mana qopheesu qabdi. Gaftokko sareen akkan jette, “Noziibele, ani hardha hiriyoota kiyyan gaafachu dhaqaa mana kana tolchi, nyaata qophesi, otto ani hindebi’in dura wantoota kiyyaa nafqulqulessi.”

Akawa kila siku anampikia, anamfulia na kumfagilia mbwa. Siku moja mbwa akasema, “Nozibele, leo naenda kuwatembelea rafiki zangu. Fagia nyumba, pika chakula na osha vitu vyangu kabla sijarudi.”


Akkuam sareenn gara imala deemiteen, Noziibelen rifeensa sadi ofira luqistee. Rifeensa tokko siree jala, tokko immo balbala duuba, fi isaa kan immo kiraala kessa goote. Eegasi gara mana ishee dadftee figde.

Mara baada tu ya mbwa kuondoka, Nozibele akanyofoa nywele tatu kutoka kwenye kichwa chake. Akaweka unywele mmoja chini ya kitanda, mmoja nyuma ya mlango, na mwingine akauweka kwenye uzio wa nyumba. Halafu, akakimbia kuelekea nyumbani kwa nguvu zote.


Sareen yeroo deebi’u, Noziibele barbaade. “Noziibele, isaa jirtaa?” jedhe. “Ani asna jira siree jala,” jedge rifeesi duraa.” Ani asna jira, balbalaa duuba,” jedhe rifeense lammata.” Ani kiraala keessan jira,” jedhe rifeense saddafan.

Mbwa aliporudi akaanza kumtafuta Nozibele. “Nozibele, uko wapi?” akapiga kelele. “Niko hapa, chini ya kitanda,” unywele wa kwanza ukajibu. “Nipo hapa nyuma ya mlango,” unywele wa pili ukajibu. “Niko hapa kwenye uzio,” unywele wa tatu ukajibu.


Sanaa booda Noziibelen akka isaa goyyomsite bare. Dafee garaa ganda isheeti figee. Garuu obbolegni Noziibele olee gurguddaa qabatanii eegachaa jiru. Sareenis gara mana isaa figee debi’ee lammata gandaa sanatti hinmuldhanne.

Mbwa akagundua kuwa Nozibele amemkimbia. Kwa hiyo akakimbia kuelekea kijijini. Kaka zake Nozibele walikuwa wakimsubiri na fimbo. Mbwa alipowaona akageuka na kukimbia, na hajawahi kuonekana tena.


Written by: Tessa Welch
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Demoze Degefa
Language: Oromo
Level: Level 3
Source: Nozibele and the three hairs from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF