Download PDF
Back to stories list

Anaanis fi ogummaa Anansi na hekima

Written by Ghanaian folktale

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Demoze Degefa

Language Oromo

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Yeroo durii namoonni homaa hinbekan ture. Namoonni kuni akkaitti wayya dhahan, akkaa midhaan facaasan, fi akkaiti sibilaa tuman hinbekaan ture. Ayyanni Nyamee jedhamu garuu ogummaa bayee qaba ture. Ogummaa kana okkotee keesaa ka’ee.

Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, hawakujua kushona nguo, wala hawakujua kuunda zana za chuma. Nyame, mungu aliyekuwa mbinguni, ndiye aliyekuwa mwenye hekima zote za dunia. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo.


Gaftokko, Nyameen okkotee kan Anaanisif kennuf murtesee. Anaanis yeroo okkotee kan ilalee hundaa waan bayee bartee. Bayee dinqii ture.

Siku moja, Nyame aliamua kumpa Anansi chungu hicho cha hekima. Kila Anansi alipotazama ndani ya chungu cha udongo, alijifunza jambo jipya. Alifurahi sana!


Sassatuun Anaanis akkan yaade. “Okkotee tana muka gubban ka’a. Sana booda ana qofatu ittifayyadam!” Funyoo dheera fidee okkoteeti maree garaa isaa irratti hidhatee. Sana booda mukicha kore. Garu halaa saanan mukicha koru hindandenyee.

Anansi mlafi alinong’ona moyoni, “Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili nikifaidi mwenyewe.” Akasokota uzi mrefu na kuuzungusha kwenye chungu. Kisha, akajifunga tumboni. Akaanza kupanda kwenye mti. Lakini ilikuwa vigumu kupanda kwenye mti huku chungu kikimgonga magotini kila mara.


Yeroo hundaa mucaan Anaanis muka jala dhabbate ilaal ture. Akkan jedhe, “Okkotee sana oto dugdaa keetiratti hidhatee wayya ta’a lata?” Anaanis akkuma mucaan isaa jedhee sanatti dugdatti hindhatee shaakallin salphaa ta’ef.

Wakati huo wote, mwanawe alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama baba yake. Akamwambia, “Baba, si ingekuwa rahisi kupanda endapo ungekifungia chungu mgongoni?” Basi Anansi akajaribu kukifungia chungu kilichojaa hekima mgongoni mwake, na kweli ikawa rahisi zaidi.


Yerooduma san qacee mukaa irra gahee. Sana booda yadee, “Ani namaa silaa ogumma hundaa qabaachu qabu garuu mucaan koo akkamitti nacaalee!” Anaanis haala kannatti aaree okkotee mukarraa gadidarbee.

Punde tu alipofika juu ya mti, aliwaza, “Natakiwa kuwa ndiye mwenye hekima zote, lakini hapa mwanangu ndiye mwenye akili kuliko mimi.” Anansi alikasirishwa sana kiasi kwamba alikitupa kile chungu chini ya mti.


Okkoteen nicacabdee. Ogummaaan suni nama hundaafu bilsaa ta’e. Namoonni haala kanaan akkamiti akka qotan, akkamiti akka uffata dhahan, fi akkamiti akka sibiilaaf wantoota biraa hojatan baran.

Chungu kilivunjika vipandevipande pale chini. Hekima zikawa za bure kwa mtu yeyote kujichukulia. Na hivyo ndivyo watu walivyojifunza kulima, kushona nguo, kuunda zana za chuma, na mambo yote mengine ambayo watu wanajua kuyafanya.


Written by: Ghanaian folktale
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Demoze Degefa
Language: Oromo
Level: Level 3
Source: Anansi and Wisdom from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF