Tom wanyamula nswanda.
Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.
Tom amapita ku msika kukagulisa nthochi.
Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.
Anthu pa msika agula ziphaso.
Sokoni watu wananunua matunda.
Koma palibe amene agula nthochi za Tom. Asankha kugula nthochi za azimai.
Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.
“M’mudzi mwathu, azimai okha ndio amene agulitsa nthochi,” anthu amatelo. “Kodi uyu ndi mwamuna wotani?” Anthu afunsa.
“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.
Koma Tom saleka. Apunda, ” Gulani nthochi zanga! Gulani nthochi zanga zakupsya komanso zonzuna.
Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”
Mkazi umozi atengapo nthochi zogula. Ayanganisisa nthochi mwachidwi.
Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.
Anthu ambiri abwera kusitolo. Agula nthochi za Tom ndi kuzidya.
Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.
Posachedwa, zonse zatha. Tom awerengera ndalama zomwe wapanga.
Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.
Pambuyo pake, Tom agula sopo, shuga, ndi mkhate. Aika zinthu mu nswanda yake.
Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.
Tom waika nswanda yake pa mutu ndipo apita ku nyumba.
Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.