Download PDF
Back to stories list

Ganizo Uamuzi

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Vusi Malindi

Translated by David Sani Mwanza

Read by Christine Mwanza

Language Nyanja

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Mudzi wanga unali ndi mavuto ambiri. Tinapanga mnyolo omozi kufuna kutunga madzi.

Kijiji changu kilikuwa na matatizo mengi. Tulipanga foleni ndefu tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.


Tinayembekezera zakudya zopasiwa ndi ena.

Tulisubiri kupokea msaada wa chakula.


Tinakhoma manyumba anthu mwamsanga chifukwa choopa akawalala.

Tulifunga nyumba zetu mapema kwasababu ya wizi.


Ana ambiri analeka sukulu.

Watoto wengi waliacha shule.


Atsikana anasewenza maganyu m’midzi ina.

Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani kwenye vijiji vingine.


Anyamata anali kuyendayenda mumidzi ina ndipo ena anali kuchita ganyu m’minda ya ena.

Wavulana wadogo waliranda randa kijijini na wengine walifanya kazi kwenye mashamba ya watu.


Pamene mphepo yakuntha, mapepala opanda nchito anakhalila pa mitengo ndi mipanda.

Upepo ulipovuma, ulipeperusha karatasi chafu na kuzifikisha mitini na uani.


Anthu anadulidwa ndi magalasi oonongeka amane anataidwa mosasamala.

Watu walikatwa na vipande vya chupa vilivyotupwa ovyo ovyo.


Ndipo tsiku lina, pompi inauma ndipo madzi anatha.

Halafu siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa mitupu.


Atate anga anayenda khomo ndi khomo kupempha anthu kuti apite ku msonkhano wa m’mudzi.

Baba yangu alitembea nyumba hadi nyumba akiwaomba watu kuhudhuria mkutano wa kijiji.


Anthu anasonkhana pansi pa mtengo ukulu ndipo anamvesera.

Watu walikusanyika chini ya mti mkubwa na kusikiliza.


Atate anga anaima nati, “Tifunika kusewenzera pamozi kuti tithese mavuto athu.”

Baba yangu alisimama na kusema, “Tunahitaji kusaidiana kutatua matatizo yetu.”


Wa zaka zisanu ndi zitatu, Juma, omwe anakhala ma nthambi ya mtengo anakuwa nati “Ndingathandize ndi kusesa”.

Juma, mtoto wa miaka minane aliyekuwa amekaa kwenye tawi la mti, alisema kwa sauti, “Naweza kusaidia na usafi.”


Mzimai umozi anati “azimai angasewenze pamozi ndi ine kuti tibyale zakudya.”

Mwanamke mmoja alisema, “Sisi wanawake tunaweza kuungana na kulima.”


Bambo wina anaimilila nati “Amuna azakumba chisime.”

Mwanamume mwingine alisimama na kusema, “Wanaume watachimba kisima cha maji.”


Tonse tinakuwa ndi mau amozi ndikuti, ” tifunika kusintha myoyo yathu.” Kuchoka pa tsiku lija, tinasewenzera pamozi kuthesa mavuto athu.

Sote tulisema kwa sauti moja, “Lazima tubadilishe maisha yetu.” Tangu siku hiyo, tulifanya kazi pamoja kutatua shida zetu.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Vusi Malindi
Translated by: David Sani Mwanza
Read by: Christine Mwanza
Language: Nyanja
Level: Level 2
Source: Decision from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF