Download PDF
Back to stories list

Nicifukwa Cani Mvuwu Alibe Sisi Kwa nini Viboko Hawana Nywele

Written by Basilio Gimo, David Ker

Illustrated by Carol Liddiment

Translated by Sitwe Benson Mkandawire

Read by Christine Mwanza

Language Nyanja

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Tsiku limodzi, Kalulu analikuyenda mumbali mwamtsinje.

Siku moja, Sungura alikuwa akitembea pembeni ya mto.


Mvuwu naye analiko kusowera, kuyenda-yenda ndi kudya mauzi.

Kiboko alikuwepo pia, akitembea huku akila majani mazuri ya kijani.


Mvuwu sanaone kuti kalulu naye alipo ndiponso mosadziwa, anadyaka pakwendo yakalulu. Kalulu anayamba kupunda nakukalipila Mvuwu, “Iwe Mvuwu! suona kuti wanidyaka pakwendo?”

Kiboko hakumwona Sungura na kwa bahati mbaya akaukanyaga mguu wa Sungura. Sungura akaanza kumpigia Kiboko kelele. “We Kiboko huoni kama umeukanyaga mguu wangu?”


Mvuwu anaphepetsa kwa kalulu “Phepani. Sindinakuoneni. Mundikhululukile!” Koma kalulu sana mvera phepetso nakalipila Mvuwu “Iwe wacitila dala! Tsiku limodzi uzaona ndizabwezera!”

Kiboko akamwomba Sungura msamaha, “Samahani, sikukuona, tafadhali nisamehe!” Lakini Sungura hakukubali na akaendelea kumbwatukia Kiboko, “Umefanya makusudi! Kuna siku utakiona, na nitakulipizia!”


Kalulu anayenda kusakila moto ndiponso anati “Yenda, kamushoke Mvuwu akacoka mumanzi pakudya mauzu. Anandidyaka!” Moto unayankha, “Palibe bvuto kalulu munzanga. Ndizacita motere”.

Sungura alienda kumtafuta moto na akamwambia, “Nenda, ukamchome Kiboko akitoka majini kuja kula majani. Alinikanyaga!” Moto ukajibu, “Hakuna tatizo, rafiki yangu Sungura, nitafanya ulichoniomba kufanya.”


Pambuyo pache, Mvuwu analikudya mauzu patali ndi manzi pamene “whoosh!” moto unayamba. Moto unayamba kushoka sisi la Mvuwu.

Baadaye, Kiboko alikuwa akila majani mbali na mto, aliposhtuka moto umelipuka. Miale ya moto ikaanza kuzichoma nywele za Kiboko.


Mvuwu anayamba kulila nakuthamangila mumanzi. Sisi lake lonse linapya ndi moto. Mvuwu anapitiliza kulira, “Sisi langa lapya ku moto! Sisi langa lonse layenda! Sisi langa labwino!”

Kiboko akaanza kulia na kukimbilia kwenye maji. Nywele zake zote zilikuwa zimeungua na moto. Kiboko aliendelea kulia, “Nywele zangu zimeungua na moto! Nywele zangu zote zimeisha! Nywele zangu nzuri!”


Kalulu anakondwela kuwona sisi la Mvuwu lapya. Nipaka lelo, kuyopa moto, Mvuwu samayenda kutali ndi manzi.

Sungura alikuwa na furaha kwa kuwa nywele za Kiboko ziliungua. Hadi leo kwa kuogopa moto, Kiboko hawezi kwenda mbali na maji.


Written by: Basilio Gimo, David Ker
Illustrated by: Carol Liddiment
Translated by: Sitwe Benson Mkandawire
Read by: Christine Mwanza
Language: Nyanja
Level: Level 2
Source: Why hippos have no hair from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF