Download PDF
Back to stories list

Khalai spricht mit Pflanzen Khalai azungumza na mimea

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Jesse Pietersen

Translated by Anna Westpfahl

Read by Jula Eberth

Language German

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Das ist Khalai. Sie ist sieben Jahre alt. Ihr Name bedeutet „die Gute“ in ihrer Sprache Lubukusu.

Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Jina lake lina maana ya ‘aliye mzuri’ katika lugha yake ya Lubukusu.


Khalai wacht auf und spricht mit dem Orangenbaum: „Bitte, Orangenbaum, gedeihe prächtig und gib uns viele reife Orangen.“

Khalai anaamka na kuongea na mmea mchanga wa Mchungwa, “Tafadhali mti wa Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu.”


Khalai läuft zur Schule. Auf dem Weg spricht sie mit dem Gras: „Bitte, Gras, wachse grün und vertrockne nicht.“

Khalai anaenda shuleni na njiani anaongea na Nyasi, “Tafadhali Nyasi, kua kijani zaidi na zaidi na wala usikauke.”


Khalai kommt an Wildblumen vorbei: „Bitte, Blumen, blüht weiter, damit ich euch in mein Haar stecken kann.“

Khalai anayapita Maua ya mwituni na kusema, “Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili niweze kukuweka kwenye nywele zangu.”


In der Schule spricht Khalai mit dem Baum auf dem Schulhof: „Bitte, Baum, lass dir große Äste wachsen, damit wir in deinem Schatten lesen können.“

Akiwa shuleni, Khalai anazunguumza na Mti ulioko katikati ya shule, “Tafadhali Mti, toa matawi makubwa ili tusome chini ya kivuli chako.”


Khalai spricht mit der Hecke, die ihre Schule umgibt: „Bitte gedeihe prächtig und lass keine bösen Leute hinein.“

Khalai anazunguumza na ua unaoizingira shule yake, “Tafadhali ua, kuwa mwenye nguvu ili uzuie shule yetu kutokana na watu wabaya.”


Wenn Khalai von der Schule nach Hause kommt, besucht sie den Orangenbaum. „Sind deine Orangen schon reif?“, fragt Khalai.

Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa Mchungwa kuangalia kama machungwa yameiva.


„Die Orangen sind noch grün“, seufzt Khalai. „Ich sehe dich morgen wieder, vielleicht hast du ja dann eine reife Orange für mich!“

“Machungwa bado mabichi,” Khalai anashusha pumzi. “Nitakuona kesho, we mti wa machungwa. Labda utanipa chungwa bivu wakati huo.”


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Jesse Pietersen
Translated by: Anna Westpfahl
Read by: Jula Eberth
Language: German
Level: Level 2
Source: Khalai talks to plants from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF