Download PDF
Back to stories list

ሙዝ ሻጩ ቶም Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Dawit Girma

Read by Abenezer Chane

Language Amharic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


ቶም ለመብል የደረሱ ሙዞችን በቁና ተሸክሟል።

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


ቶም ሙዞችን ለመሸጥ ወደ ገበያ ሄደ።

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


ሰዎች ገበያ ውስጥ ፍራፍሬ እየገዙ ነው።

Sokoni watu wananunua matunda.


ግን የቶምን ሙዝ የሚገዛው ጠፋ። ፍራፍሬ መግዛት የሚፈልጉት ከሴቶቹ ላይ ነበር።

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


‹‹በኛ ማኅበረሰብ ውስጥ ፍራፍሬ የሚሸጡት ሴቶች ብቻ ናቸው›› ይላል ህዝቡ። ከዛም ‹‹ምን ዓይነት ሰው ነው ይሄ?›› ተባባሉ።

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


ነገር ግን ቶም በፍጹም ተስፋ አልቆረጠም። ‹‹አለች ሙዝ፤ የኔን ጣፋጭ ሙዝ ግዙ!›› እያለ መለፈፍ ጀመረ።

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


አንዲት ሴትዮ አንድ ጉንጉን ሙዝ ከቁናው ላይ አነሳች። ከዛም በትኩረት ተመለከተችው።

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


ሴትዮዋም ሙዙን ገዛች።

Mwanamke ananunua ndizi.


ከዛ ሌሎች ሰዎችም መጡ። የቶምን ሙዞች እየገዙ መብላት ጀመሩ።

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


ወዲያው ቁናው ባዶ ሆነ። ቶምም ሸጦ ያገኘውን ገንዘብ ቆጠረ።

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


ከዚያም ቶም ሳሙና፣ ስኳርና ዳቦ ገዝቶ በቁናው ውስጥ አስቀመጠ።

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


ከዚያም የገዛውን ቁናው ውስጥ አድርጎ ወደቤቱ ሄደ።

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Dawit Girma
Read by: Abenezer Chane
Language: Amharic
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF