Download PDF
Back to stories list

ቲንጊና ላሞቹ Tingi na ng'ombe

Written by Ingrid Schechter

Illustrated by Ingrid Schechter

Translated by Dawit Girma

Read by Abenezer Chane

Language Amharic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


ቲንጊ ከአያቱ ጋር ይኖራል።

Tingi aliishi na bibi yake.


ከላሞቹ በስተጀርባ ከአያቱ ጋር ነበር።

Alizoea kuchunga ng’ombe na bibi yake.


አንድ ቀን ወታደሮች መጡ።

Siku moja wanajeshi walikuja.


ላሞቹን ወሰዷቸው።

Wakawachukua ng’ombe.


ቲንጊና አያቱ ሮጠው ተደበቁ።

Tingi na bibi yake walikimbia na kujificha.


እስከማታ ድረስ በቁጥቋጦ ውስጥ ተደበቁ።

Walijificha kichakani hadi usiku.


ከዚያ ወታደሮቹ መመለስ ጀመሩ።

Wanajeshi walirudi tena.


አያቱ ቲንጊን ቅጠል ውስጥ ደበቀችው።

Bibi alimficha Tingi chini ya majani.


ከወታደሮቹ አንዱ ቲንጊን ከተደበቀበት ረገጠው። ግን እሱ ዝም አለ።

Mwanajeshi mmoja alimkanyaga, lakini akanyamaza kimya.


ሲረጋጋ ቲንጊና አያቱ ወጡ።

Wanajeshi walipoondoka Tingi na bibi yake wakajitokeza.


ከዚያም በጸጥታ ወደቤታቸው አዘገሙ።

Wakajikongoja kimya kimya kurudi nyumbani.


Written by: Ingrid Schechter
Illustrated by: Ingrid Schechter
Translated by: Dawit Girma
Read by: Abenezer Chane
Language: Amharic
Level: Level 2
Source: Tingi and the Cows from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF