Download PDF
Back to stories list

Avó-feto ninia hudi Ndizi za bibi

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Catherine Groenewald

Translated by Aurelio da Costa

Read by Aurelio da Costa, Vitalina dos Santos, Criscencia R. Da Costa Viana

Language Tetum

Level Level 4

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Avó-feto ninia jardin furak, nakonu ho sorgu, milhu no aifarina. Maibé ida ne’ebé furak liu mak hudi sira. Maske Avó-feto iha bei-oan barak, ha’u hatene katak ha’u mak ninia favoritu. Nia konvida ha’u beibeik ba ninia uma. Nia mós konta mai ha’u segredu ki’ik sira. Maibé iha segredu ki’ik ida mak nia la fahe ho ha’u: iha fatin ne’ebé nia hatasak hudi sira.

Bibi alikuwa na bustani nzuri iliyojaa mtama, ulezi na mihogo. Lakini kati ya mazao yote, alipenda zaidi ndizi. Japo bibi alikuwa na wajukuu wengi, nilikuja kubaini kuwa alikuwa ananipenda mimi zaidi ya wote. Mara nyingi alikuwa akinialika nyumbani kwake. Pia alikuwa ananiambia siri ndogo ndogo. Lakini kulikuwa na siri moja ambayo hakunishirikisha: alipokuwa anavundika ndizi.


Loron ida ha’u haree raga nakonu ho du’ut sira rai hela iha avó-feto nia uma liur iha loron matan nia okos. Bainhira ha’u husu kona-ba raga ne’e, resposta unika ne’ebé ha’u simu mak, “Ne’e ha’u nia raga majiku.” Besik ba raga ne’e, iha hudi tahan barak ne’ebé avó-feto fila ba mai dalabarak. Hau kuriozu. “Ai tahan sira ne’e atu halo saida, avó-feto?” ha’u husu. Resposta unika ne’ebé ha’u simu mak, “Sira ha’u nia ai-tahan majiku sira.”

Siku moja niliona tenga kubwa limeanikwa juani nje ya nyumba ya bibi. Nilipouliza lilikuwa la nini, jibu pekee nililopata lilikuwa, “Hilo ni tenga langu la maajabu.” Pembeni mwa tenga lile kulikuwa na majani ya ndizi ambayo bibi alikuwa akiyageuza kila mara. Nilipatwa na shauku. “Bibi, hayo majani ni ya nini?” niliuliza. Jibu pekee nililopata lilikuwa, “Ni majani yangu ya maajabu.”


Interesante tebes haree avó-feto, hudi sira, hudi tahan sira no raga du’ut ne’ebé bo’ot. Maibé avó-feto haruka ha’u ba ajuda tiha ha’u nia ama. “Avó-feto favor ida husik ha’u haree oinsá ita prepara…” “Labele nakar, labarik, halo tuir saida mak dehan ba o atu halo,” nia ejiji. Hau foti halai.

Nilikuwa na shauku kubwa kumwangalia bibi, ndizi, majani ya ndizi na tenga kubwa. Lakini bibi alinituma kwenda kwa mama. “Bibi, tafadhali naomba nitazame unavyoandaa…” “Usiwe msumbufu, fanya ulichoambiwa,” alisisitiza. Nikaondoka nikikimbia.


Bainhira ha’u fila, avó-feto tuur hela iha liur maibé la ho raga ka hudi sira. “Avó-feto raga ne’e iha ne’ebé ona, hudi sira iha ne’ebé ona no iha ne’ebé…” maibé resposta unika ne’ebé ha’u hetan mak, “Sira iha ha’u nia fatin majiku.” Sente triste tebes!

Niliporudi, bibi alikuwa amekaa nje, ila hakukuwa na tenga wala ndizi. “Bibi, tenga liko wapi, zile ndizi ziko wapi, na…” Jibu pekee nililopata lilikuwa, “Zipo kwenye eneo la maajabu.” Ilikuwa inasikitisha.


Loron rua tuir mai, avó-feto haruka ha’u atu ba foti ninia ai-tonka husi ninia kuartu. Iha momentu ha’u loke odamatan, hudi tasak ninia morin simu kedas ha’u. Iha kuartu ida iha klaran, iha avó-feto ninia raga majiku halo husi du’ut. Lensol tuan ida mak taka subar tiha nia. Hau foti sai tiha nia no horon morin ne’ebé gostu.

Siku mbili baadaye, bibi alinituma kwenda chumbani kwake kumletea mkongojo. Mara tu baada ya kufungua mlango, nilikaribishwa na harufu kali ya ndizi mbivu. Pembeni mwa chumba kulikuwa na tenga kubwa la maajabu la bibi. Lilikuwa limefichwa na blanketi la zamani. Nikaliinua na kunusa ile harufi nzuri.


Avó-feto ninia lian halo ha’u hakfodak bainhira nia bolu ha’u, “O halo hela saida? Lalais no foti ai-tonka ne’e mai ha’u.” Hau sai kedas ho ninia ai-tonka ne’e. “O hamnasa ba saida?” Avó-feto husu. Ninia pergunta halo ha’u realiza katak ha’u sei hamnasa tan ha’u diskobre ona ninia fatin majiku.

Sauti ya bibi ilinishtua alipoita, “Unafanya nini? Fanya haraka niletee mkongojo.” Nikaharakisha kwenda nje na mkongojo wake. “Unatabasamu nini?” bibi aliuliza. Swali lake likanifanya nigundue kuwa kumbe bado nilikuwa ninatabasamu baada ya kugundua eneo lake la maajabu.


Loron tuir mai bainhira avó-feto mai vizita, ha’u ba lalais ninia uma atu halo revista ba hudi sira dala ida tan. Iha hudi sasuit tasak ida iha ne’eba. Hau foti ida no subar tiha iha ha’u nia vestidu laran. Depois de taka tiha raga ne’e, ha’u ba uma kotuk no han lalais tiha hudi ne’e. Hudi ne’e mak hudi ida midar tebes ne’ebé ha’u han.

Siku iliyofuata bibi alipokuja kumtembelea mama yangu, nikakimbilia nyumbani kwake kuangalia ndizi tena. Kulikuwa na vichane vya ndizi zilizoiva. Nikachukua ndizi moja na kuificha kwenye nguo yangu. Baada ya kufunika tenga tena, nikaenda nyuma ya nyumba na harakaharaka nikaila. Ilikuwa ni ndizi tamu ambayo sijawahi kula kamwe.


Loron tuir mai, bainhira avó-feto iha jardin ku’u hela modo-tahan sira, ha’u hateke tama no hare ba hudi sira. Kuaze hudi sira hotu tasak ona. Ha’u labele tahan aan no foti hudi fuan haat. Bainhira ha’u la’o neneik ba odamatan, ha’u rona avó-feto me’ar iha liur. Ha’u maneja atu subar hudi sira iha ha’u nia vestidu laran no la’o liu nia oin.

Siku iliyofuata, bibi alipokuwa bustanini akichuma mboga, nikanyemelea ndani kuchungulia ndizi. Karibu zote zilikuwa zimeiva. Nikashindwa kujizuia nikachukua kichane cha ndizi nne. Nilipokuwa nanyata kuelekea mlangoni, nikamsikia bibi akikohoa nje. Nilifanikiwa kuzificha ndizi ndani ya nguo yangu na tukapishana bila ya kugundua.


Loron tuir mai mak loron bazar. Avó-feto hadeer sedu. Nia sempre foti hudi tasak no ai-farina ba fa’an iha merkadu. Ha’u la ba lalais atu vizita nia iha loron ne’e. Maibé ha’u labele sees husi nia ba tempu naruk.

Siku iliyofuata ilikuwa siku ya gulio. Bibi aliamka asubuhi sana. Huwa anapeleka ndizi mbivu na mihogo kuuza gulioni. Siku hiyo sikuwa na haraka kwenda kumsalimia. Ila sikuweza kumkwepa kwa muda mrefu.


Depois iha kalan ne’e, ha’u hetan bolu husi ha’u nia mama no apa no avó-feto. Hau hatene tanbasa. Iha kalan ne’e bainhira ha’u toba, ha’u hatene katak ha’u sei labele tan kedas atu na’ok, la’ós husi avó-feto, husi ha’u nia inan-papa, no la na’ok husi ema seluk.

Jioni ile niliitwa na mama, baba na bibi. Nilijua kwanini. Usiku ule nilipokwenda kulala, nilijua siwezi kuiba tena. Siwezi kumwibia bibi, wazazi wangu na mtu yeyote yule.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Catherine Groenewald
Translated by: Aurelio da Costa
Read by: Aurelio da Costa, Vitalina dos Santos, Criscencia R. Da Costa Viana
Language: Tetum
Level: Level 4
Source: Grandma's bananas from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF