Download PDF
Back to stories list

Mwana wa Bulu Mtoto Punda

Written by Lindiwe Matshikiza

Illustrated by Meghan Judge

Translated by David Sani Mwanza

Read by Christine Mwanza

Language Nyanja

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Kanali kamwana kakakazi kang’ono komwe kanaona chinthu cha maonekedwe odabwisa patali.

Ilikuwa ni msichana mdogo aliyekuwa wa kwanza kuona umbo la ajabu kwa mbali.


Pamane chinthu chinabwela pafupi, anaona kuti anali mzimai ome anali ndi mimba yaikulu.

Kadiri umbo lilipokaribia, aliona kwamba lilikuwa ni mwanamke mwenye ujauzito mkubwa.


Mwamanyazi koma mopanda mantha, kamwana kayenda pafupi ndi mzimai. “Tifunika kukhala nao pamozi,” anthu a kamwana kakazi anavomekezana. “Tizamusunga ndi mwana wake bwino-bwino.

Kwa upole na ujasiri, msichana alimsogelea mwanamke yule. “Lazima tumhifadhi,” watu wa msichana yule walisema. “Tutawaweka yeye na mtoto wake salama.”


Mwana anali pafupi kubadwa. “Kankha!” “Bwelesani zovimba!” “Water!” “Kankhaaaa!!!”

Mtoto alikuwa njiani kuzaliwa si muda mrefu. “Sukuma!” “Leteni mablanketi!” “Maji!” “Suuukuuumaaaa!!!”


Koma pamene anaona mwana wakhanda, aliyense anabwelera m’mbuyo ndi kudabwa. “Bulu?!”

Lakini walipomwona mtoto, wote waliruka kwa mshtuko. “Punda?!”


Aliyense anayamba kukangana. “Tinakamba kuti tizamusunga pamozi ndi mwana wake bwino-bwino, ndipo tizachita motero,” ena anatero. “Koma azatibweretsera soka!” enanso ananena.

Wakaanza kubishana. “Tulisema tutawaweka mama na mtoto salama, na hivyo ndivyo tutakavyofanya,” baadhi wakasema. “Lakini watatuletea mkosi!” wengine wakadai.


Chifukwa cha icho, mzimai anasala yekha. Anavutika kuganiza zomwe azachita ndi mwana wodabwisa. Anavutika kuganiza kuti azazichita chani.

Kwa hiyo mwanamke yule alijikuta yuko peke yake kwa mara nyingine tena. Akajiuliza atafanya nini na mtoto huyo wa ajabu. Akajiuliza atafanya nini na yeye mwenyewe.


Koma pothera, anafunika kuvomela kuti bulu anali mwana wake ndipo anali mai wake.

Lakini hatimaye alikubali kwamba huyo ni mwanaye na yeye ni mama yake.


Tsono, ngati mwana anakhala chimozimozi, ndi thupi ing’ono, zinthu zinakakhalako bwino. Koma bulu anakula ndi kukula kufikila nthawi yomwe sankakhala pa mbuyo pa mai wake. Ndipo mukhalidwe wake unasiyana ndi munthu. Amai ake anli olema nthawi zambili komanso aukali. Nthawi zina, anatuma mwana kuchita nchito zomwe zinafunikila kuchitika ndi nyama.

Endapo mtoto huyo angebaki kuwa vilevile, na umbo dogo, labda kila kitu kingekuwa tofauti. Lakini mtoto Punda aliendelea kukua na kukua mpaka hakuweza kutoshea tena mgongoni mwa mama yake. Pamoja na kujaribu kwa bidii, hakuweza kuwa na tabia za kibinadamu. Mara nyingi mama yake alichoka na kuvunjika moyo. Wakati mwingine alimlazimisha kufanya kazi walizostahili wanyama.


Msokonezo ndi mkwiyo unakula mu mtima wa bulu. Anali kulephela kuchita zilizonse. Analephela kukhali ndi mkhalidwe weni weni. Anali okwiya kotelo kuti, tsiku lina, anamenyesela amai ake pansi.

Kuchanganyikiwa na hasira vilianza kujengeka ndani mwa Punda. Alishindwa kufanya hivi wala vile. Alishindwa kuwa hivi wala vile. Alipatwa na hasira sana kiasi kwamba, siku moja, alimpiga teke mama yake mpaka akaanguka chini.


Bulu anachita manyazi. Anayamba kuthawila kutali komwe angathe kupita.

Punda alijawa na aibu. Akaanza kukimbilia mbali kwa haraka kadiri awezavyo.


Pa nthawi yamene analeka kuthawa, unali usiku, Bulu anasowa. “Hee, hyu?” anatelo ku mdima. Anafika pamathelo. Anayamba kusanduka. Anagona mu tulo twatukulu twa mavuto.

Wakati aliposimama, ilikuwa ni usiku, na alikuwa amepotea. “Hii hoo?” alinong’ona gizani. “Hii hoo?” giza likatoa mwangwi. Alikuwa mwenyewe. Alijikunyata katika umbo dogo, akalala fofofo usingizi wa mang’amung’amu.


Bulu anauka ndi kupeza nkhalamba ili kumuyangana. Anayangana mu maso a mdala ndi kuyamba kukhala ndi chiyembekezo.

Punda aliamka na kumkuta mzee mmoja wa ajabu akimtazama. Akamwangalia mzee yule machoni na akaanza kuhisi ishara ya matumaini.


Bulu afuna kukhala ndi mdala, omwe anamuphunzisa njira zambili zomwe angakhalilemo umoyo. Bulu anamva ndi kuphunzila, chimozi mozi mdala nayenso anamvesera ndi kuphunzila. Anathandizana ndipo anaseka pamozi.

Punda alienda kuishi na mzee yule, na mzee alimfundisha mbinu nyingi za kuishi. Punda alisikiliza na kujifunza, na mzee vivyo hivyo pia. Walisaidiana na kucheka pamoja.


Tssiku lina m’mawa, mdala anapempha Bulu kuti amunyamule kumupeleka pa mwamba pa phiri.

Asubuhi moja, mzee alimwomba Punda ambebe hadi kwenye kilele cha mlima.


Pamwamba pa mithambo, anagona. Bulu analota kuti amai ake anli kudwala ndipo anali kumuitana. Ndipo pamene anauka…

Walipofika juu kwenye mawingu, walipatwa na usingizi. Punda akaota kuwa mama yake alikuwa mgonjwa na alimhitaji. Na alipoamka…


Mithambo inachoka pamozi ndi mzake, mdala.

…mawingu yalikuwa yametoweka pamoja na rafiki yake, yule mzee.


Bulu anaziwa zomwe anafunika kuchita.

Hatimaye, Punda alijua alichotakiwa kufanya.


Buu anapeza amai ake, okha ali kulilila mwana wao wosowa. Anapenyana kwakanthawi, ndipo anakumbatilana mwamphamvu.

Punda alimkuta mama yake akiwa peke yake huku akimwomboleza mwanaye aliyepotea. Wakaangaliana kwa muda mrefu. Na kisha wakakumbatiana kwa hisia.


Bulu ndi amai ake akulila pamozi ndi anapeza nzila zosiyanasiyana zokhalilamo pamozi. Pang’ono pang’ono, onse anthu okhala pafupi nao ndi banja lao ayamba kukhala nao pamozi mopanda vuto lenileni.

Mtoto Punda na mama yake wamekuwa kitu kimoja na kuishi kwa ushirikiano. Taratibu, familia nyingine zimeanza kuhamia na kuishi miongoni mwao.


Written by: Lindiwe Matshikiza
Illustrated by: Meghan Judge
Translated by: David Sani Mwanza
Read by: Christine Mwanza
Language: Nyanja
Level: Level 3
Source: Donkey Child from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF