Download PDF
Back to stories list

Nkhuku ndi Bongololo Kuku na Jongoo

Written by Winny Asara

Illustrated by Magriet Brink

Translated by Sitwe Benson Mkandawire, David Mwanza

Read by Christine Mwanza

Language Nyanja

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Nkhuku ndi Bongololo anali abwenzi. Koma anali kukonda kupikisana. Tsiku lina, anaganiza kuchaya m’pila wa myendo kuti aone ngati katswili ndi ndani.

Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Ila walikuwa wanashindana kila mara. Siku moja wakaamua kucheza mpira wa miguu ili waweze kubaini nani alikuwa mchezaji bora zaidi.


Anayenda kubwalo la m’pila ndipo anayamba masewera awo. Nkhuku inafulumira, koma Bongololo anafulumira kopambana. Nkhuku inachaila kutali koma bongololo anachaila kutali mopambana. Nkhuku inayamba kukalipa.

Wakaenda uwanjani na wakaanza kucheza. Kuku alikuwa na kasi ila Jongoo alikuwa na kasi zaidi. Kuku alipiga mpira mbali, ila Jongoo alipiga mbali zaidi. Kuku akaanza kupandwa na hasira.


Anagaza kuti achaye mapenoti. Bongololo anayabila kukhala wogwila m’pila. Nkhuku inamwesa cigoli cimodzi. Tsopano inali nthawi yankhuku kuti igwile m’pila.

Wakaamua kupigiana penati. Jongoo akaenda golini. Kuku alifunga goli moja pekee. Ikawa zamu ya kuku kwenda golini.


Bongololo anachaya ndipo anamwetsa. Bongololo ananyunya ndi kumwetsa. Bongololo anamwesanso ndi mutu. Bongololo anamwetsa zigoli zisanu.

Jongoo alipiga mpira akafunga. Jongoo akapiga chenga akafunga. Jongoo akapiga kichwa akafunga. Jongoo akafunga magoli matano.


Nkhuka inakalipa kuti inagonja. Inagonja kothelathu. Bongololo anayamba kuseka cifukwa ca madandaulo amuzake pambuyo pakugonja.

Kuku akakasirika kwa kuwa amefungwa. Hakuwa mshindani mzuri. Jongoo akaanza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa analalamika.


Nkhuku inakalipa kwambiri ndikusengula kamwa namela bongololo.

Kuku alipatwa na hasira kiasi kwamba akafungua mdomo wake mkubwa na akammeza Jongoo.


Pamene nkhuku inali kuyenda kunyumba, inakumana ndi amake abongololo. Amake Bongololo anafunsa nati, “Kodi wamuonako mwana wanga?” Nkhuku siyinalankhule ciliconse. Amake Bongololo anada nkhawa.

Kuku alipokuwa anarudi nyumbani alikutana na Mama yake Jongoo. Mama Jongoo akamuuliza, “Umemwona mwanangu?” Kuku hakujibu kitu. Mama Jongoo akapatwa na wasiwasi.


Amake Bongololo anamva kaliu kakang’ono. “Ndithandizeni amai!”, liu linalila. Amake Bongololo anayangana uku ndi uku, ndi kumvetsetsa ndi cidwi. Mau anacokera mumimba mwa nkhuku.

Mama Jongoo akasikia sauti kwa mbali. “Nisaidie mama!” ile sauti ililia. Mama Jongoo akaangalia huku na kule na kusikiliza kwa makini. Sauti ilitokea tumboni mwa kuku.


Amake Bongololo anakuwa nati, “Sewenzesa mphamvu zako zapadela mwana wanga!” Bongololo atha kununkha ndi kusamveka bwino. Nkhuku inayamba kumvela kudwala.

Mama Jongoo alipiga kelele, “Tumia nguvu yako ya kipekee mwanangu!” Majongoo wanaweza kutoa harufu mbaya na ladha ya ajabu. Kuku akaanza kujisikia mgonjwa.


Nkhuku inageya. Ndipo inamela ndi kutaya mata. Ndipo inakhosomola. Bongololo anali kunyansisa.

Kuku akabeuwa. Akameza mate na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa tena. Jongoo alimfanya ajisikie vibaya.


Nkhuku inakhosomola kufikira itakhosomolela panja Bongololo amene anali mumimba mwake. Bongololo ndi amai ake anakalawa ndi kukwela m’tengo kubisala.

Kuku alikohoa, hadi akamtema jongoo aliyekuwa tumboni mwake. Mama Jongoo na mwanaye wakakwea mti kujificha.


Kucokela apo, Bongololo ndi Nkhuku anakhala adani.

Tangu hapo, Kuku na Jongoo ni maadui.


Written by: Winny Asara
Illustrated by: Magriet Brink
Translated by: Sitwe Benson Mkandawire, David Mwanza
Read by: Christine Mwanza
Language: Nyanja
Level: Level 3
Source: Chicken and Millipede from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF