Download PDF
Back to stories list

Nozibele ndi Sisi Litatu Nozibele na nywele tatu

Written by Tessa Welch

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Sitwe Benson Mkandawire

Read by Christine Mwanza

Language Nyanja

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Kalekale, atsikana atatu anayenda kukathyola nkhuni.

Hapo zamani za kale, wasichana watatu walienda kukusanya kuni.


Tsikuli linali lakupya ndipo iwo anaganiza kuti akamyaye kumtsinje. Anasowera ndikutaya manzi nakumyaya mumanzi.

Ilikuwa ni siku yenye jua kali na wakaamua kwenda mtoni kuogelea. Wakaogelea huku wakicheza na kurushiana maji.


Mwazizi, anaona kuti kwafipa. Anathamangila kumunzi.

Ghafla waligundua kuwa muda umekwenda. Wakaharakisha kurudi nyumbani.


Pamene anali pafupi na nyumba, Nozibele anaika kwanja yake pakhosi. Anaiwala ndendele mwina mkanda wovala pakhosi. Anapempha anzace kuti abwelele kumtsinje kukatenga ndendele. Koma anzace anati kwafipa kwambiri.

Walipokuwa wanakaribia kufika nyumbani, Nozibele akajishika shingoni. Alikuwa amesahau shanga zake! “Tafadhali turudini!” aliwasihi rafiki zake. Lakini rafiki zake wakasema tumechelewa.


Nozibele anabwelera kumtsinje okha. Anaipeza ndendele nathamangila kunyumba koma anasowa mumudima.

Kwa hiyo Nozibele akarudi mwenyewe mtoni. Akapata shanga zake na akakimbia kurudi nyumbani. Lakini akapotea gizani.


Kuyangana patali, anaona ungwelu ucokela pakanyumba kang’ono. Anathamangilako nagogoda pacitseka.

Kwa mbali akaona mwanga unatoka kwenye nyumba. Akakimbilia kwenye nyumba na kugonga mlango.


Anadabwa kuona galu isegula citseko ndiponso inati, “Ufuna cani?” “Ndasowa ndifunako malo kogona” anatelo Nozibele. “Ngena, ngati sungena nizakuluma” Inatelo galu. Nozibele anangena.

Akastaajabu kumwona mbwa akifungua mlango na akasema, “Unataka nini?” “Nimepotea na ninatafuta sehemu ya kulala,” akasema Nozibele. “Ingia ndani, la sivyo nitakung’ata!” mbwa akamwambia. Nozibele akaingia ndani.


Galu inati, “Ndiphikile” “Sininaphikilepo galu mu umoyo wanga” anatelo Nozibele. “Phika, ngati suphika nizakuluma” Inatelo galu. Nozibele anaphika zakudya zagalu.

Mbwa akamwambia, “Nipikie!” “Sijawahi kumpikia mbwa,” akajibu. “Pika, la sivyo nitakung’ata!” mbwa akasema. Nozibele akampikia mbwa chakula.


Galu inati, “Ndikonzele pogona” Nozibele anati, “Sindinakonzelepo galu pogona mu umoyo wanga” “Ndikonzele pogona, ngati sundikonzela ndizakuluma” Inatelo galu. Nozibele anakonza pogona galu.

Mbwa akamwambia, “Nitandikie kitanda!” Nozibele akajibu, “Sijawahi kumtandikia mbwa kitanda.” “Tandika kitanda, la sivyo nitakung’ata!” mbwa akasema. Nozibele akatandika kitanda.


Masiku yonse, anali kuphikira, kupyangila ndi kuwashila galu. Tsiku lina galu anati, Nozibele, ndizayendera anzanga. Pyanga munyuba, phika zakudya, ndiponso undiwashile zinthu zanga ndikalibe kubwelera.

Akawa kila siku anampikia, anamfulia na kumfagilia mbwa. Siku moja mbwa akasema, “Nozibele, leo naenda kuwatembelea rafiki zangu. Fagia nyumba, pika chakula na osha vitu vyangu kabla sijarudi.”


Pamane galu inacoka cabe, Nozibele anacosa sisi litatu kucoka kumutu wake. Anaika sisi limodzi pansi pa bedi, yimodzi kumbuyo kwa citseko ndi ina mosungila ng’ombe. Ndiponso iye anathamangila kunyumba mwansanga.

Mara baada tu ya mbwa kuondoka, Nozibele akanyofoa nywele tatu kutoka kwenye kichwa chake. Akaweka unywele mmoja chini ya kitanda, mmoja nyuma ya mlango, na mwingine akauweka kwenye uzio wa nyumba. Halafu, akakimbia kuelekea nyumbani kwa nguvu zote.


Pamene Galu inabwelera, inasakila Nozibele. “Nozibele ulikuti?” Anapunda galu. “Nilikuno kunyansi kwa bedi” Sisi loyamba linayankha. “Nilikuno kumbuyo kwa citseko” Sisi laciwiri linayankha. “Nilikuno kosungila ng’ombe” Sisi lacitatu linayankha.

Mbwa aliporudi akaanza kumtafuta Nozibele. “Nozibele, uko wapi?” akapiga kelele. “Niko hapa, chini ya kitanda,” unywele wa kwanza ukajibu. “Nipo hapa nyuma ya mlango,” unywele wa pili ukajibu. “Niko hapa kwenye uzio,” unywele wa tatu ukajibu.


Gulu inaziwa kuti Nozibele athawa. Gala anathamanga kuyenda kumunzi kwa Nozibele. Koma abale a Nozibele anali kuyembekeza ndi tumitengo tukulutukulu. Galu inabwelela nakuthawa ndiponso ikalibe kuonekelanso kucoka paja.

Mbwa akagundua kuwa Nozibele amemkimbia. Kwa hiyo akakimbia kuelekea kijijini. Kaka zake Nozibele walikuwa wakimsubiri na fimbo. Mbwa alipowaona akageuka na kukimbia, na hajawahi kuonekana tena.


Written by: Tessa Welch
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Sitwe Benson Mkandawire
Read by: Christine Mwanza
Language: Nyanja
Level: Level 3
Source: Nozibele and the three hairs from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF