Download PDF
Back to stories list

Nkhuku ndi Nkhwazi Kuku na Tai

Written by Ann Nduku

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Sitwe Benson Mkandawire

Read by Christine Mwanza

Language Nyanja

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Panali-panali, nkhuku ndi nkhwazi anali paubwenzi. Anakhala mumutendere ndi nyoni zina. Kulibe kanyoni kamene kanali kumbululuka.

Hapo zamani za kale, Kuku na Tai walikuwa marafiki. Waliishi kwa amani na ndege wengine. Hakuna kati yao aliyeweza kupaa.


Tsiku limodzi, kunali njala kwamene anali kukhala. Nkhwazi anali kuyenda kutali kuti apeze cakudya. Anabwelera olema kwambiri. “Kufunikira njila ina yapafupi mumayendedwe” Nkhwazi inatelo.

Kuna siku njaa ilitokea. Ikamlazimu Tai kutembea umbali mrefu kutafuta chakula. Alirudi akiwa amechoka sana. “Lazima kuwe na njia rahisi ya kusafiri!” Tai alisema.


Mumawa mwace, nkhuku inali ndi cocita. Anayamba kudoba weya wa nyoni iliyonse wamene unagwa. “Tiyeni titungile pamodzi namaweya yamene tili nayo” inatelo nkhuku. “Mwina ici cizakhala capafupi kuyenda”.

Baada ya usingizi mnono wa usiku, Kuku alijiwa na wazo zuri sana. Akaanza kukusanya manyoya yaliyodondoka kutoka kwa ndege wenzao. “Tuyashonee haya manyoya juu ya manyoya yetu,” Kuku alisema. “Labda itaturahisishia kusafiri.”


Nkhwazi ndiye anali cabe na nyeleti yotungila pamunzi, iye anayambilira kusoka. Anazipangila maweya yabwino-bwino nakumbululuka pamwamba pa nkhuku. Nkhuku inabweleka nyeleti koma analema kutunga. Anasiya nyeleti yotungila pa kabati ndiponso anayenda kukakonza cakudya ca ana.

Tai pekee ndiye aliyekuwa na sindano kijijini, kwa hiyo akaanza kushona wa kwanza. Akajitengenezea mabawa mawili mazuri na akapaa juu ya kuku. Kuku aliazima sindano lakini akachoka kushona baada ya muda mfupi. Akaacha sindano kabatini na akaenda jikoni kuandaa chakula kwa ajili ya watoto wake.


Nyoni zina zinamuona nkhwazi kubululuka. Anafunsa nkhuku kuti iwabweleke nyeleti kuti azipangile maphapindo yombululukila nao. Posacedwa, kunali nyoni zambili kumbululuka mumwamba.

Lakini ndege wengine walimwona Tai akipaa. Wakamwomba Kuku awaazime sindano ili nao wajishonee mabawa pia. Muda si mrefu ndege wakawa wamepaa na kuzagaa anga zima.


Pamene nyoni yomaliza inabweza nyeleti yotungila, nkhuku siyinaliko. Ana a nkhuku anatenga nyeleti nakuyamba kuisoweletsa. Pamene analema kusowera, anasiya nyeleti mumcanga.

Ndege wa mwisho aliporudisha sindano aliyoazima, Kuku hakuwepo. Kwa hiyo watoto wake wakachukua sindano na wakaanza kuichezea. Walipochoka na mchezo wao, wakaiacha sindano kwenye mchanga.


Mumazulo, nkhwazi anabwelera. Anapempha nyeleti kuti atunge maweya yamene siyanali bwino kucoka paulendo. Nkhuku inasakila nyeleti pakabati, mophikila, ndi panja pa nyumba. Koma nyeleti sinaoneke.

Baadaye jioni Tai akarudi. Akaomba sindano ili aweze kushona baadhi ya manyoya yaliyokuwa yameanza kulegea alipokuwa safarini. Akaangalia kwenye kabati. Akaangalia jikoni. Akaangalia uani. Ila sindano haikupatikana.


“Ndipaseni tsiku limodzi” Nkhuku inapempha nkhwazi. “Kuti mukakonze maweya yanu nakumbululukanso kukasakila cakudya”. “Tsiku limodzi cabe” Nkhwazi anatelo. “Ngati siupeza nyeleti, uzanipatsa mwana wako yumozi kukhala malipiro”.

“Nipatie siku moja,” Kuku alimwomba Tai. “Halafu utaweza kushona bawa lako na kuruka tena kwenda kutafuta chakula.” “Siku moja tu,” alisema Tai. “Kama hutaipata sindano, itabidi unipe kimoja cha vifaranga vyako kama malipo.”


Pamene nkhwazi inabwela tsiku lokonkhapo, anapeza nkhwazi asakila mumucanga kuno nyeleti sanaipeze. Nkhwazi anabwela mwamsanga nakutenga kamwana ka nkhuku kamozi nakuyendanako. Kucoka ija tsiku, nkhwazi ikaonekela cabe, iona nkhuku isakala nyeleti mumicanga.

Tai aliporudi siku iliyofuata, alimkuta Kuku akichakura mchangani, ila hakukuwa na sindano. Kwa hiyo Tai alishuka kwa kasi na kukwapua kifaranga kimoja. Akaondoka nacho. Tangu hapo, kila Tai anapojitokeza humkuta Kuku akichakura kwenye mchanga akitafuta sindano.


Ngati mudima wa nkhwazi waonekela kucoka kumwamba, nkhuku icenjeza ana ace. “Cokani poonekela”. Ndiponso iwo akuyankha, “Sindife oputsa, tizathamanga”.

Kila kivuli cha mabawa ya Tai kinapoonekana ardhini, Kuku huwatahadharisha vifaranga vyake. “Tokeni kwenye eneo la wazi.” Na wanajibu: “Sisi si wajinga. Tutakimbia.”


Written by: Ann Nduku
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Sitwe Benson Mkandawire
Read by: Christine Mwanza
Language: Nyanja
Level: Level 3
Source: Hen and Eagle from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF