Download PDF
Back to stories list

바나나 장수 톰 Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Jong Yong Park

Read by Scarlet Kim

Language Korean

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


톰은 잘 익은 바나나 한 접시를 들고있어요.

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


톰은 시장에 바나나를 팔러 가요.

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


시장에 있는 사람들은 과일을 사고 있어요.

Sokoni watu wananunua matunda.


그러나 누구도 톰의 바나나를 사지 않아요. 사람들은 여자에게서 바나나를 사고 싶어해요.

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


“우리 사회에선, 여자만 과일을 팔 수 있어,” 사람들이 말해요. “무슨 남자가 이래?” 사람들이 물어요.

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


그러나 톰은 포기하지 않아요. 그는 외쳐요, “제 바나나를 사세요! 제 달콤하고 잘 익은 바나나를 사세요!”

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


한 여자가 바나나 한 움큼의 바나나를 접시에서 집어들어요. 그녀는 바나나들을 자세히 살펴요.

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


여자는 바나나를 사요.

Mwanamke ananunua ndizi.


더 많은 사람들이 가판대로 와요. 그들은 톰의 바나나를 사고 먹어요.

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


금새 접시가 비어요. 톰은 번 돈을 세어요.

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


그리고 톰은 비누, 설탕과 빵을 사요. 물건들을 접시에 담아요.

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


톰은 접시를 머리 위에 받치고 집으로 가요.

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Jong Yong Park
Read by: Scarlet Kim
Language: Korean
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF