Download PDF
Back to stories list

バナナ売りのトム Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Yuko Ari

Read by Yumi Okano

Language Japanese

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


トムが食べごろのバナナをのせた箱を運んできました。

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


トムはバナナを売りに市場へやってきたのです。

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


その市場にいる人びとは、果物を買っています。

Sokoni watu wananunua matunda.


しかし、だれもトムのバナナを買ってくれません。みんな、女の人から果物を買いたいようです。

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


人びとは言いました。「わたしたちの町では、女の人だけが果物を売っているのさ。」そして「この男は何をしにきたのだ?」と尋ねました。

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


しかし、トムはあきらめません。「バナナはいりませんか!ぜひ、甘くて美味しいうちのバナナを買ってください!」と呼び込みをします。

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


一人の女性がトムのお皿から一房のバナナを手にとりました。彼女はじっとバナナを見ています。

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


その女性はトムのバナナを買ってくれました。

Mwanamke ananunua ndizi.


たくさんの人々がトムのお店に集まってきました。彼らは、トムのバナナを買って食べました。

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


すぐにトムのお皿は空っぽになりました。トムはバナナを売って得たお金を数えました。

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


それからトムは、石鹸と、砂糖と、パンを買いました。彼は、買ったものをお皿に入れました。

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


トムは、そのお皿を頭にのせて、落とさないようにバランスを取りながら、家に帰っていきました。

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Yuko Ari
Read by: Yumi Okano
Language: Japanese
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF