Download PDF
Back to stories list

Tom muuza ndizi Tom Umucuruzi w'imineke Tom le vendeur de bananes

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Matteo E. Mwita

Language Kiswahili

Level Level 2

Narrate full story


Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.

Tom atwara agataro k’imineke (ibitoki b’ihiye).

Tom transporte un plateau de bananes mûres.


Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.

Tom ajya ku isoko kugurisha imineke.

Tom va au marché pour vendre des bananes.


Sokoni watu wananunua matunda.

Abantu kw’isoko bari kugura imbuto.

Les gens au marché achètent des fruits.


Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.

Ariko ntan’umwe uri kugura imineke ya Tom. Bariguhitamo kugura imputo z’abagore.

Mais personne n’achète les bananes de Tom. Ils préfèrent acheter leurs fruits des femmes.


“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.

“Mu muryango mugari wacu, abagore bonyine nibo bagurisha imbuto,” abantu baravuga. “Uyu ni mugabo ki? abantu barabaza.

« Dans notre communauté, seulement les femmes vendent des fruits, » disent les gens. « Quelle sorte d’homme est celui-ci ? » demandent les gens.


Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”

Ariko Tom ntago ahara. Arahamagara, “Gura imineke yange! Gura imineke yange iryoshye ihiye!”

Mais Tom ne démissionne pas. Il crie, « Achetez mes bananes ! Achetez mes bananes mûres et sucrées ! »


Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.

Umugore umwe afata imineke myinshi kuva ku agataro. Yitegereza imineke yitonze.

Une femme choisit un régime de bananes du plateau. Elle inspecte les bananes soigneusement.


Mwanamke ananunua ndizi.

Uwo mugore agura iyo imineke.

La femme achète les bananes.


Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.

Abandi bantu baza ku itandikiro. Bagura imineke ya Tom baranayirya.

D’autres personnes viennent au stand. Elles achètent les bananes de Tom et les mangent.


Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.

Vuba (Bidatinze), agataro kari ubusa. Tom abara abafaranga yakoreye.

Bientôt, le plateau est vide. Tom compte l’argent qu’il a gagné.


Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.

Ubundi TOm agura isabune, isukari, n’umugati. Ashyira ibintu mu agataro ke.

Ensuite, Tom achète du savon, du sucre et du pain. Il met les choses sur son plateau.


Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.

Tom yikorera agataro arataha.

Tom balance le plateau sur sa tête et rentre chez lui.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Matteo E. Mwita
Language: Kiswahili
Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF