Download PDF
Back to stories list

Tom la bananvendisto Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Espen Stranger-Johannessen

Language Esperanto

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Tom portas pleton da maturaj bananoj.

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


Tom iras al la bazaro por vendi bananojn.

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


Homoj ĉe la bazaro aĉetas fruktojn.

Sokoni watu wananunua matunda.


Sed neniu aĉetas la bananojn de Tom. Ili preferas aĉeti fruktojn de virinoj.

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


“En nia komunumo nur virinoj vendas fruktojn,” diras homoj. “Kia homo estas ĉi tiu?” homoj demandas.

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


Sed Tom ne rezignas. Li vokas, “Aĉetu miajn bananojn! Aĉetu miajn dolĉajn maturajn bananojn!”

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


Virino prenas faskon da bananoj el la pleto. Ŝi rigardas la bananojn zorgeme.

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


La virino aĉetas la bananojn.

Mwanamke ananunua ndizi.


Pli da homoj venas al la stalo. Ili aĉetas la bananojn de Tom kaj manĝas ilin.

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


Baldaŭ la pleto estas malplena. Tom kalkulas la monon, kiun li gajnis.

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


Tiam Tom aĉetas sapon, sukeron kaj panon. Li metas la aĵojn en sian pleton.

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


Tom metas la pleton sur sia kapon kaj iras hejmen.

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Espen Stranger-Johannessen
Language: Esperanto
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF