Download PDF
Back to stories list

Icoinfubu ishskwatila umushishi Kwa nini Viboko Hawana Nywele

Written by Basilio Gimo, David Ker

Illustrated by Carol Liddiment

Translated by Sandra Mulesu

Language IciBemba

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Bushiku bumo, kalulu aile aleenda mululamba lwamumana

Siku moja, Sungura alikuwa akitembea pembeni ya mto.


Infubu nayo ekoyali, yaletandala nokulwa umulenfwe uusuma sana

Kiboko alikuwepo pia, akitembea huku akila majani mazuri ya kijani.


Infubu tayamwene ukuti Kalulu nao ekoali, epakumunyanta pakulu. Kalulu ayambile ukupundilila infubu. “Wenfubu iwe! Taulemona ukuti naunyanta pakulu?”

Kiboko hakumwona Sungura na kwa bahati mbaya akaukanyaga mguu wa Sungura. Sungura akaanza kumpigia Kiboko kelele. “We Kiboko huoni kama umeukanyaga mguu wangu?”


Infubu epakulomba ubwelelo kuli kalulu. “Njelelako, nshacikumona. Napapata njelelako!” Nomba kalulu talefwaya kunfwa, epakukalipila infubu ati, “wacicitilafye umufulo! bushiku bumo ukacimona, nkakulimuna!

Kiboko akamwomba Sungura msamaha, “Samahani, sikukuona, tafadhali nisamehe!” Lakini Sungura hakukubali na akaendelea kumbwatukia Kiboko, “Umefanya makusudi! Kuna siku utakiona, na nitakulipizia!”


Kalulu epakuya mukufwaya umulilo nokuweba ati, “kabiyeoce infubu ngayafuma mumenshi mukulya icani. Acinyanta! Umuliolo epakwasuka ati, “takuli bwafya mune kalulu, nalacita ifyofine.”

Sungura alienda kumtafuta moto na akamwambia, “Nenda, ukamchome Kiboko akitoka majini kuja kula majani. Alinikanyaga!” Moto ukajibu, “Hakuna tatizo, rafiki yangu Sungura, nitafanya ulichoniomba kufanya.”


Panuma yakakshita, infubu yalelya icani ukutali nomumana, “mutule!” umulilo wabilimuka mulubingu, ulubingu epakwamba ukoca umushishi wanfubu.

Baadaye, Kiboko alikuwa akila majani mbali na mto, aliposhtuka moto umelipuka. Miale ya moto ikaanza kuzichoma nywele za Kiboko.


Infubu epakwamba ukulila nokubutukila kumenshi. Umushishi waiko onse ukupya kumulilo. Infubu yakonkenyepo ukulila, “umushishi wandi wapya kumulilo! umushishi wandi onse waya! Umushishi wandi ubusuma!”

Kiboko akaanza kulia na kukimbilia kwenye maji. Nywele zake zote zilikuwa zimeungua na moto. Kiboko aliendelea kulia, “Nywele zangu zimeungua na moto! Nywele zangu zote zimeisha! Nywele zangu nzuri!”


Kalulu alitemwa ukuti umushishi wanfubu walipya. Mpaka nalelo, mukutina umulilo, infubu taiya kutali namenshi.

Sungura alikuwa na furaha kwa kuwa nywele za Kiboko ziliungua. Hadi leo kwa kuogopa moto, Kiboko hawezi kwenda mbali na maji.


Written by: Basilio Gimo, David Ker
Illustrated by: Carol Liddiment
Translated by: Sandra Mulesu
Language: IciBemba
Level: Level 2
Source: Why hippos have no hair from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF