Download PDF
Back to stories list

Ukusalapo Uamuzi

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Vusi Malindi

Translated by Sandra Mulesu

Language IciBemba

Level Level 2

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Mumushi wandi mwaliba amafya ayengi. Twali tantama mumulini pakuti twaingatapa amenshi kuli pompi imo.

Kijiji changu kilikuwa na matatizo mengi. Tulipanga foleni ndefu tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.


Twalelolela ifyakulya ifyakupelwa ukufuma kumbi.

Tulisubiri kupokea msaada wa chakula.


Twalekoma amayanda yesu bangwu ukutina bakabolala.

Tulifunga nyumba zetu mapema kwasababu ya wizi.


Abana abengi balilekele amasukulu.

Watoto wengi waliacha shule.


Utukashana twalebomba incito ya bukaboi mumishi imbi.

Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani kwenye vijiji vingine.


Utulumenda twalepitana mumushi ninshi bambi balebombela mumabala.

Wavulana wadogo waliranda randa kijijini na wengine walifanya kazi kwenye mashamba ya watu.


Umwela ngawapupa, ifipepala fyalepululukila mufimuti and kwilinga.

Upepo ulipovuma, ulipeperusha karatasi chafu na kuzifikisha mitini na uani.


Abantu baleicena kumabotolo yatomeka ayaleposwafye iciposwe poswe.

Watu walikatwa na vipande vya chupa vilivyotupwa ovyo ovyo.


Bushiku bumo, pompi tayalebomba, ifipe fyesu tafyakwete menshi.

Halafu siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa mitupu.


Batata baile cila ng’anda ukuwita abantu ukwisa sangwa kucilye camushi.

Baba yangu alitembea nyumba hadi nyumba akiwaomba watu kuhudhuria mkutano wa kijiji.


Abantu baishile ikala mwisamba lyamuti nokukutika.

Watu walikusanyika chini ya mti mkubwa na kusikiliza.


Batata epakwima abati “Tufwile ukubombela pamo pakuti tupwishe ubu ubwafya bwesu.

Baba yangu alisimama na kusema, “Tunahitaji kusaidiana kutatua matatizo yetu.”


Umwana wamyaka cine konse konse uweshina lya Juma, uwaikele pamulando epakupunda ati, “kuti nayafwilishako ukupyanga no kuwamya”.

Juma, mtoto wa miaka minane aliyekuwa amekaa kwenye tawi la mti, alisema kwa sauti, “Naweza kusaidia na usafi.”


Namyo umo asosa ati, “Bana mayo kuti twabombela pamo ukulima ifyakulya.”

Mwanamke mmoja alisema, “Sisi wanawake tunaweza kuungana na kulima.”


Shitata umbi aminina ati, “Bashitata kuti twaimba icishima.”

Mwanamume mwingine alisimama na kusema, “Wanaume watachimba kisima cha maji.”


Bonse epakupunda mwishiwi limo ati, “kuti twapilibula imikalile yesu”. Ukufumafye bulyabushiku twalebombela pamo uku pwisha amafya yesu.

Sote tulisema kwa sauti moja, “Lazima tubadilishe maisha yetu.” Tangu siku hiyo, tulifanya kazi pamoja kutatua shida zetu.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Vusi Malindi
Translated by: Sandra Mulesu
Language: IciBemba
Level: Level 2
Source: Decision from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF