Download PDF
Back to stories list

القَرَارُ Uamuzi

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Vusi Malindi

Translated by Heba Tesheh, Maaouia Haj Mabrouk

Read by Mashael Muhanna

Language Arabic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


كَانَ لِقَرْيَتِي اَلعَدِيدُ مِنَ اَلمَشَاكِلَ. فَنَحْنٌ نَقِفُ صَفًّا طَوِيلاً لِنَجْلِبَ اَلماءَ من صَنْبُورٍ وَاحِدٍ.

Kijiji changu kilikuwa na matatizo mengi. Tulipanga foleni ndefu tukisubiri kuchota maji kutoka mfereji mmoja.


وَنَنْتَظِرُ المَعُونَاتِ مِنَ الآخَرِينَ.

Tulisubiri kupokea msaada wa chakula.


وَنُقْفِلُ أَبْوَابَ مَنَازِلِنَا بَاكِراً خَوْفاً مِنَ اللُّصُوصِ.

Tulifunga nyumba zetu mapema kwasababu ya wizi.


تَرَكَ اَلعَدِيدُ مِنَ اَلأطْفَالِ اَلْمَدْرَسَةِ.

Watoto wengi waliacha shule.


وَاَلْفَتيَاتُ اَلصَّغِيرَاتُ يَعْمَلْنَ خَادِماتٍ في اَلْقُرَى الأُخْرَى.

Wasichana wadogo walifanya kazi za nyumbani kwenye vijiji vingine.


يَتَسَكَّعُ اَلصِبْيَةُ اَلصِّغارُ في جَميعِ أَنْحاءِ اَلقَرْيَةِ، بَينَما يَعمَلُ الآخَرُونَ في مَزَارِعِ اَلنَاسِ.

Wavulana wadogo waliranda randa kijijini na wengine walifanya kazi kwenye mashamba ya watu.


عِنْدَمَا تَهُبُّ اَلرِّيَاحُ، تَعْلَقُ مُخلَّفاتُ آلأَوْرَاقِ عَلَى اَلأَشْجارِ وَالأَسْوَارِ.

Upepo ulipovuma, ulipeperusha karatasi chafu na kuzifikisha mitini na uani.


يُجْرَحُ اَلنَّاسُ بِاَلزُجاجِ اَلمَكْسُورِ اَلمُهْمَلِ.

Watu walikatwa na vipande vya chupa vilivyotupwa ovyo ovyo.


وَفي أَحَدِ اَلأيَّامِ جَفَّ الصَّنْبُورُ، وَأَصْبَحَتْ أَوْعِيَتُنَا فَارِغَةً.

Halafu siku moja, mfereji wa maji ulikauka na mitungi yetu ikawa mitupu.


دَارَ أَبِي مِنْ مَنْزِلٍ إلى مَنْزِلٍ، لِيَدْعُوَهُمْ لاِجْتِمَاعِ اَلقَرْيَةِ.

Baba yangu alitembea nyumba hadi nyumba akiwaomba watu kuhudhuria mkutano wa kijiji.


اِجْتَمَعَ اَلنَّاسُ تَحْتَ اَلشَّجَرَةِ اَلكَبيرَةِ واَستَمَعُوا.

Watu walikusanyika chini ya mti mkubwa na kusikiliza.


وَقَفَ أَبِي وقَالَ: “نَحْنُ بِحَاجَةٍ لِأَنْ نَعْمَلَ مَعًا لِحَلِّ المُشْكِلَةِ”.

Baba yangu alisimama na kusema, “Tunahitaji kusaidiana kutatua matatizo yetu.”


صَرَخَ جُومَا اَلطِّفْلُ ذُو الثَّمَانِ سَنَواتٍ: “أَنَا أَسْتَطِيعُ أَنْ أُسَاعِدَ بِاَلتَّنْظِيفِ”.

Juma, mtoto wa miaka minane aliyekuwa amekaa kwenye tawi la mti, alisema kwa sauti, “Naweza kusaidia na usafi.”


قالَتْ اِمْرَأةٌ: “النِّسَاءُ يَسْتَطِعْنَ الانْضِمَامَ إليَّ لِزِراعَةِ المَحَاصِيلِ اَلغِذائيَّةَ”.

Mwanamke mmoja alisema, “Sisi wanawake tunaweza kuungana na kulima.”


وَقَفَ رَجُلٌ آخَرَ وَقَالَ: “اَلرِّجالُ سَيَحْفِرونَ بِئراً”.

Mwanamume mwingine alisimama na kusema, “Wanaume watachimba kisima cha maji.”


صَرَخْنَا جَميعاً: “يَجِبُ عَلَيْنَا تَغْيِيرُ حَيَاتِنَا”. مِنَ اليَوْمِ سَنَعْمَلُ مَعًا لِحَلِّ مَشَاكِلِنَا.

Sote tulisema kwa sauti moja, “Lazima tubadilishe maisha yetu.” Tangu siku hiyo, tulifanya kazi pamoja kutatua shida zetu.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Vusi Malindi
Translated by: Heba Tesheh, Maaouia Haj Mabrouk
Read by: Mashael Muhanna
Language: Arabic
Level: Level 2
Source: Decision from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF