Download PDF
Back to stories list

خَلَايْ تَتَحَدَّثُ إِلَى النَّبَاتَاتِ Khalai azungumza na mimea

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Jesse Pietersen

Translated by Heba Tesheh, Maaouia Haj Mabrouk

Read by Mashael Muhanna

Language Arabic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


هَذِهِ خَلَايْ. عُمُرُهَا سَبْعُ سِنِينَ. مَعْنَى اِسْمِهَا “الشَّخْصُ الجَيِّدُ”. يُدْعَى فِي لُغَتِهَا “لُوبُوكُوزُو”.

Khalai ni msichana mwenye umri wa miaka saba. Jina lake lina maana ya ‘aliye mzuri’ katika lugha yake ya Lubukusu.


تَسْتَيْقِظُ خَلَايْ كُلَّ صَبَاحٍ وَتَقُولُ لِشَجَرَةِ البُرْتُقَالِ: “أَرْجُوكِ يَا شَجَرَةَ البُرْتُقَالِ، اكْبَرِي، وَاعْطِنَا الكَثِيرَ مِنَ البُرْتُقَالِ الطًازَجِ”.

Khalai anaamka na kuongea na mmea mchanga wa Mchungwa, “Tafadhali mti wa Mchungwa, kua mkubwa uzae machungwa mengi mabivu.”


تَمْشِي خَلَايْ إِلَى المَدْرَسَةِ، وَفِي طَرِيقِهَا تَتَحَدَّثُ مَعَ الأَعْشَابِ. “أَرْجُوكِ أَيَّتُهَا الأَعْشَابُ، اكْبَرِي وَابْقَيْ خَضْرَاءَ وَلَا تَجُفّيِ”.

Khalai anaenda shuleni na njiani anaongea na Nyasi, “Tafadhali Nyasi, kua kijani zaidi na zaidi na wala usikauke.”


تَمُرُّ خَلَايْ أَمَامَ الأَزْهَارِ البَرِّيَّةِ. “أَرْجُوكِ أَيَّتُهَا الأَزْهَارُ، اِبْقَيْ مُزْهِرَةً لِأَسْتَطِيعَ أَنْ أَضَعَكِ فَوْقَ شَعْرِي”.

Khalai anayapita Maua ya mwituni na kusema, “Tafadhali Maua, endelea kunawiri ili niweze kukuweka kwenye nywele zangu.”


فِي المَدْرَسِةِ، تَتَحَدَّثُ خَلَايْ مَعَ الشَّجَرَةِ التِي فِي مُنْتَصَفِ المَبْنَى. “أَرْجُوكِ أَيَتُهَا اَلشَّجَرَةُ، مُدِّي أَغْصانَكِ الكَبيرَةَ لِنَسْتَطيعَ اَلقِراءَةَ تَحْتَ ظِلِكِ”.

Akiwa shuleni, Khalai anazunguumza na Mti ulioko katikati ya shule, “Tafadhali Mti, toa matawi makubwa ili tusome chini ya kivuli chako.”


تَتَحَدَثُ خَلَايْ مَع اَلشُّجيراتِ الصَّغيرَةِ. “أَرجوكِ، اِكْبَري وَكُونِي قَويَّةً لِتَمْنَعِي الأَشْخَاصَ السيِّئينَ مِنَ اَلدُخُولِ”.

Khalai anazunguumza na ua unaoizingira shule yake, “Tafadhali ua, kuwa mwenye nguvu ili uzuie shule yetu kutokana na watu wabaya.”


عِنْدَمَا تَعَودُ خَلَايْ إِلَى البَيْتِ، تَزُورُ شَجَرَةَ اَلبُرتُقالِ، وتَسْأَلُهَا: “أَلَمْ يُصْبِحْ بُرْتُقَالِكِ طَازَجًا بَعْدُ؟”

Anaporudi nyumbani alasiri, Khalai anautembelea mti wa Mchungwa kuangalia kama machungwa yameiva.


تَتَنَهَّدُ خَلَايْ: “اَلبُرْتُقالُ لَازَالَ أَخْضَراً”. ثُمَّ تَقُولُ: “سَوفَ أَرَاكِ يَا شَجَرَةَ اَلبُرْتُقالَ غَداً، بَعْدَهَا رُبَّمَا سَيكُونُ لَدَيْكِ بُرْتُقالاً طَازَجاً لِي”.

“Machungwa bado mabichi,” Khalai anashusha pumzi. “Nitakuona kesho, we mti wa machungwa. Labda utanipa chungwa bivu wakati huo.”


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Jesse Pietersen
Translated by: Heba Tesheh, Maaouia Haj Mabrouk
Read by: Mashael Muhanna
Language: Arabic
Level: Level 2
Source: Khalai talks to plants from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF