Download PDF
Back to stories list

تُومْ، بَائِعُ المَوْزِ Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Maaouia Haj Mabrouk

Read by Mashael Muhanna

Language Arabic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


يَحْمِلُ توم طَبَقَ المَوْزِ النَّاضِجِ.

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


يَتَّجِهُ تُومْ إِلَى السُّوقِ لِبَيْعِ المَوْزِ.

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


النَّاسُ فِي السُّوقِ يَشْتَرُونَ الفَاكِهَة.

Sokoni watu wananunua matunda.


لَكِنْ لاَ أَحَدَ يَشْتَرِي مَوْزَاتِ تُومْ. إِنَّهُمْ يُحَبِّذُونَ شِرَاءَ الفَاكِهَةِ مِنَ النَّسَاءِ.

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


يَقُولُ النَّاسُ “فِي مُجْتَمَعِنَا لاَ يَبِيعُ الفَاكِهَةَ إِلاَّ النِّسَاءُ” وَيَتَسَاءَلُونَ “مَا نَوْعُ هَذَا الرَّجُلِ؟”

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


لَكِنَّ تُومْ لاَ يَسْتَسْلِمُ. هَا هُوَ يُنَادِي “اِشْتَرُوا مَوْزِي … اِشْتَرُوا مَوْزِيَ النَّاضِجَ اللَّذِيذَ.”

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


أَخَذَتْ امْرَأَةٌ حِزْمَةَ المَوْزِ مِنْ عَلَى الطَّبَقِ وَتَفَحَّصَتْهَا بِعِنَايَةٍ.

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


اشْتَرَتْ المَرْأَةُ المَوْزَ.

Mwanamke ananunua ndizi.


تَوَافَدَ النَّاسُ عَلَى المِنْضَدَةِ. يَشْتَرُونَ مَوْزَاتِ تُومْ وَيَأْكُلُونَهَا.

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


أُفْرِغَ الطَّبَقُ بِسُرْعَةٍ. أَخَذَ تُومْ يُحْصِي المَالَ الذِي رَبِحَهُ.

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


ثُمَّ اشْتَرَى تُومْ صَابُونًا وَسُكَّرًا وَخُبْزًا وَوَضَعَ المُشْتَرَيَاتِ فِي الطَّبَقِ.

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


وَضَعَ تُومْ الطَّبَقَ عَلَى رَأْسِهِ وَرَجَعَ إِلَى مَنْزِلِهِ.

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Maaouia Haj Mabrouk
Read by: Mashael Muhanna
Language: Arabic
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF