Download PDF
Back to stories list

ሙዝ ሻጩ ቶም Tom the banana seller Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Dawit Girma

Read by Abenezer Chane

Language Amharic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


ቶም ለመብል የደረሱ ሙዞችን በቁና ተሸክሟል።

Tom carries a tray of ripe bananas.

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


ቶም ሙዞችን ለመሸጥ ወደ ገበያ ሄደ።

Tom goes to the market to sell bananas.

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


ሰዎች ገበያ ውስጥ ፍራፍሬ እየገዙ ነው።

People at the market are buying fruit.

Sokoni watu wananunua matunda.


ግን የቶምን ሙዝ የሚገዛው ጠፋ። ፍራፍሬ መግዛት የሚፈልጉት ከሴቶቹ ላይ ነበር።

But no one is buying Tom’s bananas. They prefer to buy fruit from women.

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


‹‹በኛ ማኅበረሰብ ውስጥ ፍራፍሬ የሚሸጡት ሴቶች ብቻ ናቸው›› ይላል ህዝቡ። ከዛም ‹‹ምን ዓይነት ሰው ነው ይሄ?›› ተባባሉ።

“In our community, only women sell fruit,” people say. “What kind of a man is this?” people ask.

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


ነገር ግን ቶም በፍጹም ተስፋ አልቆረጠም። ‹‹አለች ሙዝ፤ የኔን ጣፋጭ ሙዝ ግዙ!›› እያለ መለፈፍ ጀመረ።

But Tom does not give up. He calls, “Buy my bananas! Buy my sweet ripe bananas!”

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


አንዲት ሴትዮ አንድ ጉንጉን ሙዝ ከቁናው ላይ አነሳች። ከዛም በትኩረት ተመለከተችው።

One woman picks up a bunch of bananas from the tray. She looks at the bananas carefully.

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


ሴትዮዋም ሙዙን ገዛች።

The woman buys the bananas.

Mwanamke ananunua ndizi.


ከዛ ሌሎች ሰዎችም መጡ። የቶምን ሙዞች እየገዙ መብላት ጀመሩ።

More people come to the stall. They buy Tom’s bananas and eat them.

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


ወዲያው ቁናው ባዶ ሆነ። ቶምም ሸጦ ያገኘውን ገንዘብ ቆጠረ።

Soon, the tray is empty. Tom counts the money he earned.

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


ከዚያም ቶም ሳሙና፣ ስኳርና ዳቦ ገዝቶ በቁናው ውስጥ አስቀመጠ።

Then Tom buys soap, sugar, and bread. He puts the things in his tray.

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


ከዚያም የገዛውን ቁናው ውስጥ አድርጎ ወደቤቱ ሄደ።

Tom balances the tray on his head and goes home.

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Dawit Girma
Read by: Abenezer Chane
Language: Amharic
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF