Download PDF
Back to stories list

ቲንጊና ላሞቹ Tingi and the cows Tingi na ng'ombe

Written by Ingrid Schechter

Illustrated by Ingrid Schechter

Translated by Dawit Girma

Read by Abenezer Chane

Language Amharic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


ቲንጊ ከአያቱ ጋር ይኖራል።

Tingi lived with his grandmother.

Tingi aliishi na bibi yake.


ከላሞቹ በስተጀርባ ከአያቱ ጋር ነበር።

He used to look after the cows with her.

Alizoea kuchunga ng’ombe na bibi yake.


አንድ ቀን ወታደሮች መጡ።

One day the soldiers came.

Siku moja wanajeshi walikuja.


ላሞቹን ወሰዷቸው።

They took the cows away.

Wakawachukua ng’ombe.


ቲንጊና አያቱ ሮጠው ተደበቁ።

Tingi and his grandmother ran away and hid.

Tingi na bibi yake walikimbia na kujificha.


እስከማታ ድረስ በቁጥቋጦ ውስጥ ተደበቁ።

They hid in the bush until night.

Walijificha kichakani hadi usiku.


ከዚያ ወታደሮቹ መመለስ ጀመሩ።

Then the soldiers came back.

Wanajeshi walirudi tena.


አያቱ ቲንጊን ቅጠል ውስጥ ደበቀችው።

Grandmother hid Tingi under the leaves.

Bibi alimficha Tingi chini ya majani.


ከወታደሮቹ አንዱ ቲንጊን ከተደበቀበት ረገጠው። ግን እሱ ዝም አለ።

One of the soldiers put his foot right on him, but he kept quiet.

Mwanajeshi mmoja alimkanyaga, lakini akanyamaza kimya.


ሲረጋጋ ቲንጊና አያቱ ወጡ።

When it was safe, Tingi and his grandmother came out.

Wanajeshi walipoondoka Tingi na bibi yake wakajitokeza.


ከዚያም በጸጥታ ወደቤታቸው አዘገሙ።

They crept home very quietly.

Wakajikongoja kimya kimya kurudi nyumbani.


Written by: Ingrid Schechter
Illustrated by: Ingrid Schechter
Translated by: Dawit Girma
Read by: Abenezer Chane
Language: Amharic
Level: Level 2
Source: Tingi and the Cows from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF