Download PDF
Back to stories list

ጉማሬዎች ለምን ጸጉር እንደሌላቸው Why hippos have no hair Kwa nini Viboko Hawana Nywele

Written by Basilio Gimo, David Ker

Illustrated by Carol Liddiment

Translated by Mezemir Girma

Read by Abenezer Chane

Language Amharic

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


አንድ ቀን ጥንቸል በወንዝ ዳር እየሄደች ነበር።

One day, Rabbit was walking by the riverside.

Siku moja, Sungura alikuwa akitembea pembeni ya mto.


ጉማሬም እዚያው ነበር። እየተንሸራሸረና ጥሩ ለምለም ሳር እየበላ ነበር።

Hippo was there too, going for a stroll and eating some nice green grass.

Kiboko alikuwepo pia, akitembea huku akila majani mazuri ya kijani.


ጉማሬ ጥንቸልን አላያትም ነበርና ድንገት እግሯን ረገጣት። ጥንቸልም በጉማሬ ላይ መጮህ ጀመረች። ‹‹አንተ ጉማሬ! እግሬ ላይ እንደቆምክበት አይታይህም?››

Hippo didn’t see that Rabbit was there and she accidentally stepped on Rabbit’s foot. Rabbit started screaming at Hippo, “You Hippo! Can’t you see that you’re stepping on my foot?”

Kiboko hakumwona Sungura na kwa bahati mbaya akaukanyaga mguu wa Sungura. Sungura akaanza kumpigia Kiboko kelele. “We Kiboko huoni kama umeukanyaga mguu wangu?”


ጉማሬም ጥንቸልን ይቅርታ እንድታደርግለት ጠየቃት። ‹‹ይቅርታ። አላየሁሽም እኮ። እባክሽ ማሪኝ!›› አላት። ጥንቸል ግን አልሰማም ብላ ጮኸችበት። ‹‹አውቀህ ነው ያደረከው! አንድ ቀን አሳይሃለሁ! ዋጋህን ታገኛለህ!›› አለችው።

Hippo apologised to Rabbit, “I’m so sorry. I didn’t see you. Please forgive me!” But Rabbit wouldn’t listen and he shouted at Hippo, “You did that on purpose! Someday, you’ll see! You’re going to pay!”

Kiboko akamwomba Sungura msamaha, “Samahani, sikukuona, tafadhali nisamehe!” Lakini Sungura hakukubali na akaendelea kumbwatukia Kiboko, “Umefanya makusudi! Kuna siku utakiona, na nitakulipizia!”


ጥንቸል እሳትን ፈልጋ ሄደችና ስታገኛት ‹‹ሂጂ፣ ጉማሬ ከውኃ ውስጥ ሳር ሊግጥ ሲወጣ አቃጥዪው። እግሬን አይረግጠኝ መሰለሽ!›› አለቻት። እሳትም ‹‹ችግር የለም ጥንቸል ወዳጄ። ያልሽኝን እፈጽምልሻለሁ›› አለቻት

Rabbit went to find Fire and said, “Go, burn Hippo when she comes out of the water to eat grass. She stepped on me!” Fire answered, “No problem, Rabbit, my friend. I’ll do just what you ask.”

Sungura alienda kumtafuta moto na akamwambia, “Nenda, ukamchome Kiboko akitoka majini kuja kula majani. Alinikanyaga!” Moto ukajibu, “Hakuna tatizo, rafiki yangu Sungura, nitafanya ulichoniomba kufanya.”


በኋላም ጉማሬ ከወንዙ ርቃ ሳር ስትግጥ ‹‹ውሽ!›› ብላ እሳት ከተፍ አለችባት። ነበልባሉ የጉማሬን ጸጉር ያቃጥለው ጀመር።

Later, Hippo was eating grass far from the river when, “Whoosh!” Fire burst into flame. The flames began to burn Hippo’s hair.

Baadaye, Kiboko alikuwa akila majani mbali na mto, aliposhtuka moto umelipuka. Miale ya moto ikaanza kuzichoma nywele za Kiboko.


ጉማሬ እየጮኸ ወደ ውኃ ሮጠ። ጸጉሩ በሙሉ በእሳት ተቃጠለ። ጉማሬ ማልቀስ ቀጠለ። ‹‹ጸጉሬን እሳት አቃጠለብኝ! ጸጉሬ በሙሉ አለቀ! ቆንጆ ጸጉሬን!››

Hippo started to cry and ran for the water. All her hair was burned off by the fire. Hippo kept crying, “My hair has burned in the fire! My hair is all gone! My beautiful hair!”

Kiboko akaanza kulia na kukimbilia kwenye maji. Nywele zake zote zilikuwa zimeungua na moto. Kiboko aliendelea kulia, “Nywele zangu zimeungua na moto! Nywele zangu zote zimeisha! Nywele zangu nzuri!”


ጥንቸል የጉማሬ ጸጉር በመቃጠሉ ተደሰተች። እና እስካሁን እሳትን ፍራቻ ጉማሬ ከውኃ ርቆ አይሄድም።

Rabbit was happy that Hippo’s hair was burned. And to this day, for fear of fire, the hippo never goes far from the water.

Sungura alikuwa na furaha kwa kuwa nywele za Kiboko ziliungua. Hadi leo kwa kuogopa moto, Kiboko hawezi kwenda mbali na maji.


Written by: Basilio Gimo, David Ker
Illustrated by: Carol Liddiment
Translated by: Mezemir Girma
Read by: Abenezer Chane
Language: Amharic
Level: Level 2
Source: Why hippos have no hair from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF