Sakima aliishi na wazazi wake na dada yake wa miaka minne. Waliishi katika shamba la mtu tajiri. Nyumba yao ya nyasi ilikuwa mwisho wa safu ya miti iliyopendeza.
Sakima lived with his parents and his four year old sister.
They lived on a rich man’s land.
Their grass-thatched hut was at the end of a row of trees.
Sakima alitenda mambo mengi ambayo wavulana wengine wa umri wake hawakufanya. Kwa mfano, aliketi na watu wazima na kujadili mambo muhimu.
Sakima did many things that other six year old boys did not do.
For example, he could sit with older members of the village and discuss important matters.
Wazazi wa Sakima walifanya kazi katika nyumba ya yule tajiri. Walitoka nyumbani asubuhi na mapema na kurudi jioni. Sakima aliachwa na dada yake.
The parents of Sakima worked at the rich man’s house.
They left home early in the morning and returned late in the evening.
Sakima was left with his little sister.
Abafyashi bakwa Sakima baalebomba pa ng’anda yamukankaala. Baalefumapo kumaca nokubwela inshita yabushiku. Sakima aleshaala na nkashi yakwe
Sakima alipenda kuimba nyimbo. Siku moja mama yake alimuuliza, “Sakima, unajifunza nyimbo hizi kutoka wapi?”
Sakima loved to sing songs.
One day his mother asked him, “Where do you learn these songs from, Sakima?”
Sakima aalitemenwe ukwimba inyimbo. Bushiku bumo ba nyina balimwipwishe, “Usambilila kwisa ishi nyimbo Sakima?”
Sakima alipenda kumwimbia mdogo wake hasa akihisi njaa. Dada yake alimsikiliza na kucheza.
Sakima liked to sing for his little sister, especially, if she felt hungry.
His sister would listen to him singing his favourite song.
She would sway to the soothing tune.
Sakima alitemenwe ukwimbila nkashi yakwe, maka maka nkashi yakwe ngaumfwa insala. Nkashi yakwe aalekutika Sakima ale imba ulwimbo atemenwe saana, ninshi ayamba ukuyisunsuntila ku ci unda ca lwimbo.
“Naomba uimbe tena na tena, Sakima,” mdogo wake alimsihi. Sakima alikubali na kuimba mara nyingine.
“Can you sing it again and again, Sakima,” his sister would beg him.
Sakima would accept and sing it over and over again.
Jioni moja, wazazi wake waliporudi nyumbani, walikuwa kimya sana. Sakima alijua kwamba lazima kulikuwa na jambo baya.
One evening when his parents returned home, they were very quiet.
Sakima knew that there was something wrong.
Bushiku bumo lintu aba fyashi bakwe ba bwelele pa ng’anda, bafikile tondolo. Sakima aalishibe ukutiila pali ifilubene.
“Kuna shida gani, mama, baba?” Sakima aliuliza. Sakima aligundua kwamba mwana wa tajiri wao alikuwa amepotea. Tajiri alihuzunika na kuwa na upweke mkubwa.
“What is wrong, mother, father?” Sakima asked.
Sakima learned that the rich man’s son was missing.
The man was very sad and lonely.
“Nindo ilubene ba mayo na ba tata?” efo ayipwishe. Sakima alisambilile ukutiila umwana wamukankaala aali luba. Umukankaala aali uwa cikonko nowabulanda.
“Labda atafurahi tena nikimwimbia,” Sakima aliwaambia wazazi wake. Wazazi wake walidharau wazo lake. “Yeye ni tajiri sana. Wewe ni mvulana asiyeona. Unadhani wimbo wako utamsaidia?”
“I can sing for him. He might be happy again,” Sakima told his parents.
But his parents dismissed him.
“He is very rich. You are only a blind boy. Do you think your song will help him?”
Hata hivyo, Sakima hakukata tamaa. Mdogo wake alimpa moyo. Alisema, “Nyimbo za Sakima hunituliza mimi nikiwa na njaa. Zitamtuliza tajiri vile vile.”
However, Sakima did not give up.
His little sister supported him.
She said, “Sakima’s songs soothe me when I am hungry. They will soothe the rich man too.”
Sakima taanenwiike. Nkashi yakwe aalimwafwilishe. Atiile, “Inyimbo shakwa Sakima shilantalalika elyo ndi nensala.” Shi katalalika na umukankaala.
Siku iliyofuata, Sakima alimwomba mdogo wake amwongoze hadi kwenye nyumba ya tajiri.
The following day, Sakima asked his little sister to lead him to the rich man’s house.
Wafanyakazi waliacha kazi zao. Wakasikiliza wimbo mzuri wa Sakima. Hata hivyo, mwanamume mmoja alisema, “Hakuna aliyefaulu kumtuliza bwana. Je, huyu mvulana asiyeona anafikiri atamtuliza?”
The workers stopped what they were doing. They listened to Sakima’s beautiful song.
But one man said, “Nobody has been able to console the boss. Does this blind boy think he will console him?”
Sakima alipomaliza kuimba wimbo wake alianza kuondoka. Tajiri alitoka nje kwa haraka na kusema, “Tafadhali, imba tena.”
Sakima finished singing his song and turned to leave.
But the rich man rushed out and said, “Please sing again.”
Sakima alipwishishe ukwimba ulwimbo lwakwe nokupilibuka ati ambeko kumwabo. Nomba umukankaala alifumine panse nokutila “Napapata, imba nakabili.”
Wakati huo huo, watu wawili walikuja wakiwa wamembeba mtu kwenye machela. Walimkuta mwana wa tajiri akiwa amechapwa na kuachwa kando ya barabara.
At that very moment, two men came carrying someone on a stretcher.
They had found the rich man’s son beaten up and left on the side of the road.
Ukutula Ubushiku bulya, abaume babili bafikile nabasenda umuntu pamacila. Ba sangile umwana wamukankaala napumwa nokushiiwa kumbali ya musebo.
Tajiri alifurahi sana kumwona mwana wake tena. Alimzawadia Sakima kwa kumliwaza. Aliwapeleka mwanawe na Sakima hosipitali ili Sakima aweze kusaidiwa kuona tena.
The rich man was so happy to see his son again.
He rewarded Sakima for consoling him.
He took his son and Sakima to hospital so Sakima could regain his sight.
Umukankaala aali uwa nsansa pakumona umwana wakwe nakabili. Aali lambwile Sakima pa kumutalalika kumutima. Asendele umwana wakwe na Sakima ku cipataala mukumona nga kuti Sakima amona nakabili.