Hapo zamani, palikuwa na mamba mwenye njaa.
Once there was a very hungry crocodile.
Ubushiku bumo kwali Ing’wena yali nensala saana.
Alitafuta chakula taratibu na kwa ukimya. Halafu…
He searched for food slowly and quietly. And then…
Yalefwaya ifyakulya mumutalalila ukwabula ukupanga ichongo. Elyo nomba…
POO!!! Mamba anashambulia!
POW!!! The crocodile strikes!
Wiyu!!! Kucheshuko, Ing’wena yaikata icakulya!
Baada ya hapo hana njaa tena, na anafurahi.
After that he is no longer hungry, and he is happy.
Panuma yakulya, Ing’wena tayaumfwilepo insala nelyo panono elo yalifye iyasekelela nganshi.
Hadi atakapopatwa na njaa tena.
Until he gets hungry again.
Pakafye yaumfwa insala nakabili.