Download PDF
Back to stories list

Awit ni Sakima Wimbo wa Sakima

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Peris Wachuka

Translated by Arlene Avila

Read by La Trinidad Mina

Language Tagalog

Level Level 3

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Nakatira si Sakima sa lupa ng pag-aari ng isang mayaman, kasama ang mga magulang at apat na taong gulang na kapatid.

Sakima aliishi na wazazi wake na dada yake wa miaka minne. Waliishi katika shamba la mtu tajiri. Nyumba yao ya nyasi ilikuwa mwisho wa safu ya miti iliyopendeza.


Nagkasakit si Sakima noong siya ay tatlong taong gulang at mula noon ay naging bulag siya.

Sakima alipokuwa na umri wa miaka mitatu, aliugua na kupoteza uwezo wa kuona. Hata hivyo, Sakima alikuwa mvulana mwenye kipaji.


Maraming nagagawa si Sakima na hindi kayang gawin ng ibang anim na taong gulang bata. Kaya niyang makipagtalakayan sa mga nakakatanda tungkol sa mga mabibigat na bagay.

Sakima alitenda mambo mengi ambayo wavulana wengine wa umri wake hawakufanya. Kwa mfano, aliketi na watu wazima na kujadili mambo muhimu.


Namamasukan ang mga magulang ni Sakima sa bahay ng mayaman. Maaga silang umaalis at gabi na sila nakakauwi. Naiiwan si Sakima sa kanyang kapatid na babae.

Wazazi wa Sakima walifanya kazi katika nyumba ya yule tajiri. Walitoka nyumbani asubuhi na mapema na kurudi jioni. Sakima aliachwa na dada yake.


Mahilig kumanta si Sakima. Kaya isang araw, natanong ng ina, “Saan galing ang mga awit na ito, Sakima?”

Sakima alipenda kuimba nyimbo. Siku moja mama yake alimuuliza, “Sakima, unajifunza nyimbo hizi kutoka wapi?”


“Kusa na lang po silang dumarating, ‘Nay. Naririnig ko sila sa isip ko kaya kinakanta ko,” sagot ni Sakima.

Sakima alimjibu, “Nazisikia akilini mwangu kisha naziimba.”


Gustong gusto ni Sakima kumanta, lalo na pag gutom ang kanyang kapatid. Nakikinig ito nang mabuti at sumasayaw sa tunog ng kantang kayang pumawi ng gutom.

Sakima alipenda kumwimbia mdogo wake hasa akihisi njaa. Dada yake alimsikiliza na kucheza.


“Kanta ka uli, Kuya Sakima,” sabi ng kapatid. At kakanta si Sakima ng paulit-ulit.

“Naomba uimbe tena na tena, Sakima,” mdogo wake alimsihi. Sakima alikubali na kuimba mara nyingine.


Isang gabi, tahimik ang kanyang mga magulang. Naramdaman agad ni Sakima na may problema.

Jioni moja, wazazi wake waliporudi nyumbani, walikuwa kimya sana. Sakima alijua kwamba lazima kulikuwa na jambo baya.


“Ano po ang nangyari, ‘Tay, ‘Nay?” tanong ni Sakima. Nalaman niya na nawawala ang anak ng mayamang amo ng magulang. Labis ang lungkot nito.

“Kuna shida gani, mama, baba?” Sakima aliuliza. Sakima aligundua kwamba mwana wa tajiri wao alikuwa amepotea. Tajiri alihuzunika na kuwa na upweke mkubwa.


“Siguro sasaya siya kung kakanta ako,” sabi ni Sakima. “Hindi ka makakatulong. Napakayaman niya. Isa ka lang bulag. Ano sa palagay mo magagawa mo?” sabi ng mga magulang.

“Labda atafurahi tena nikimwimbia,” Sakima aliwaambia wazazi wake. Wazazi wake walidharau wazo lake. “Yeye ni tajiri sana. Wewe ni mvulana asiyeona. Unadhani wimbo wako utamsaidia?”


Hindi sumuko si Sakima. Pinagtanggol din siya ng kapatid, “Nawawala ang gutom ko pag kumakanta si Kuya. Baka naman matulungan din niya ang taong mayaman.”

Hata hivyo, Sakima hakukata tamaa. Mdogo wake alimpa moyo. Alisema, “Nyimbo za Sakima hunituliza mimi nikiwa na njaa. Zitamtuliza tajiri vile vile.”


Kinaumagahan, inakay si Sakima ng kanyang kapatid papunta sa bahay ng mayaman.

Siku iliyofuata, Sakima alimwomba mdogo wake amwongoze hadi kwenye nyumba ya tajiri.


Tumayo siya sa ilalim ng bintana at nagsimulang kumanta. Unti-unting dumungaw ang mayaman.

Alisimama chini ya dirisha moja kubwa na kuanza kuimba wimbo wake alioupenda. Pole pole, kichwa cha tajiri kilionekana dirishani.


Tumigil ang mga trabahador sa kanilang ginagawa. Sabi ng isa, “Wala pang nakakatulong sa amo natin. Akala ba ng bulag na ito na may magagawa siya?”

Wafanyakazi waliacha kazi zao. Wakasikiliza wimbo mzuri wa Sakima. Hata hivyo, mwanamume mmoja alisema, “Hakuna aliyefaulu kumtuliza bwana. Je, huyu mvulana asiyeona anafikiri atamtuliza?”


Natapos ni Sakima ang isang awit at balak na sana niyang umalis. Hinabol siya ng mayaman, “Pasuyo naman, umawit ka pa uli.”

Sakima alipomaliza kuimba wimbo wake alianza kuondoka. Tajiri alitoka nje kwa haraka na kusema, “Tafadhali, imba tena.”


Biglang dumating ang dalawang lalaki na may dalang stretcher. Natagpuan nila ang anak ng mayaman, na iniwan lang sa daan matapos bugbugin.

Wakati huo huo, watu wawili walikuja wakiwa wamembeba mtu kwenye machela. Walimkuta mwana wa tajiri akiwa amechapwa na kuachwa kando ya barabara.


Natuwa ang mayaman nang makitang buhay ang anak. Binigyan niya ng gantimpala si Sakima. Dinala niya ang anak sa ospital para ipagamot. At dinala rin niya si Sakima para magpa-opera ng mata.

Tajiri alifurahi sana kumwona mwana wake tena. Alimzawadia Sakima kwa kumliwaza. Aliwapeleka mwanawe na Sakima hosipitali ili Sakima aweze kusaidiwa kuona tena.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Peris Wachuka
Translated by: Arlene Avila
Read by: La Trinidad Mina
Language: Tagalog
Level: Level 3
Source: Sakima's song from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF