Download PDF
Back to stories list

Si Anansi at ang Dunong Anansi na hekima

Written by Ghanaian folktale

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Arlene Avila

Read by La Trinidad Mina

Language Tagalog

Level Level 3

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Noong unang panahon, walang alam ang mga tao. Hindi sila marunong magtanim, humabi at gumawa ng kasangkapan. Lahat ng karunungan ay tinago ng diyos na si Nyame sa isang palayok sa langit.

Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, hawakujua kushona nguo, wala hawakujua kuunda zana za chuma. Nyame, mungu aliyekuwa mbinguni, ndiye aliyekuwa mwenye hekima zote za dunia. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo.


Isang araw, naisipan ni Nyame na ibigay ang palayok ng karunungan kay Anansi. Tuwing tumitingin si Anansi sa loob ng palayok, may natututunan siyang bago! Tuwang tuwa si Anansi.

Siku moja, Nyame aliamua kumpa Anansi chungu hicho cha hekima. Kila Anansi alipotazama ndani ya chungu cha udongo, alijifunza jambo jipya. Alifurahi sana!


Dahil madamot si Anansi, naisip niya, “Itatago ko ang palayok sa tuktok ng mataas na puno para sa akin lang ang lahat ng kaalaman!” Tinali niya ang palayok sa kanyang tiyan at nagsimulang umakyat sa puno. Pero nahirapan siya dahil tumatama ang palayok sa kanyang tuhod.

Anansi mlafi alinong’ona moyoni, “Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili nikifaidi mwenyewe.” Akasokota uzi mrefu na kuuzungusha kwenye chungu. Kisha, akajifunga tumboni. Akaanza kupanda kwenye mti. Lakini ilikuwa vigumu kupanda kwenye mti huku chungu kikimgonga magotini kila mara.


Nakatingin lang pala sa kanya ang kanyang batang anak sa baba ng puno. “Mas maganda po siguro kung nakatali sa likod ang palayok,” sabi nito. Tinali ni Anansi ang palayok sa kanyang likod at madali nga siyang nakaakyat.

Wakati huo wote, mwanawe alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama baba yake. Akamwambia, “Baba, si ingekuwa rahisi kupanda endapo ungekifungia chungu mgongoni?” Basi Anansi akajaribu kukifungia chungu kilichojaa hekima mgongoni mwake, na kweli ikawa rahisi zaidi.


Nang marating niya ang tuktok ng puno, bigla siyang natigilan. “Alam ko dapat lahat pero bakit mas matalino pa sa akin ang anak ko?” Nagalit si Anansi kaya hinagis niya ang palayok pababa.

Punde tu alipofika juu ya mti, aliwaza, “Natakiwa kuwa ndiye mwenye hekima zote, lakini hapa mwanangu ndiye mwenye akili kuliko mimi.” Anansi alikasirishwa sana kiasi kwamba alikitupa kile chungu chini ya mti.


Nabasag ang palayok at kumalat ang mga piraso sa lupa. Kumalat din ang karunungan at nabigyan ang lahat. Ganito nalaman ng tao kung paano magsaka ng bukid, humabi ng tela, gumawa ng kasangkapan at marami pang ibang bagay na alam ng tao ngayon.

Chungu kilivunjika vipandevipande pale chini. Hekima zikawa za bure kwa mtu yeyote kujichukulia. Na hivyo ndivyo watu walivyojifunza kulima, kushona nguo, kuunda zana za chuma, na mambo yote mengine ambayo watu wanajua kuyafanya.


Written by: Ghanaian folktale
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Arlene Avila
Read by: La Trinidad Mina
Language: Tagalog
Level: Level 3
Source: Anansi and Wisdom from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF