Download PDF
Back to stories list

Umwana w’Indogobe Mtoto Punda

Written by Lindiwe Matshikiza

Illustrated by Meghan Judge

Translated by Patrick Munyurangabo

Language Kinyarwanda

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Ni umwana muto w’umukobwa waboneye kure ishusho itazwi.

Ilikuwa ni msichana mdogo aliyekuwa wa kwanza kuona umbo la ajabu kwa mbali.


Uko ishusho yagendaga yegera, yabonye ko yari umugore utwite ukuriwe.

Kadiri umbo lilipokaribia, aliona kwamba lilikuwa ni mwanamke mwenye ujauzito mkubwa.


Umunyamasoni ariko utinyutse, umukobwa yagiye hafi y’umugore. “Tugomba kumugubimisha natwe,” abantu bumukobwa myto baravuga. “Turamugubisha amahoro we n’umwana we.”

Kwa upole na ujasiri, msichana alimsogelea mwanamke yule. “Lazima tumhifadhi,” watu wa msichana yule walisema. “Tutawaweka yeye na mtoto wake salama.”


Byihuse umwna yarari kuvuka. “Sunika!” “Zana ibirangiti!” “Suuuuuuniikaaa!!!”

Mtoto alikuwa njiani kuzaliwa si muda mrefu. “Sukuma!” “Leteni mablanketi!” “Maji!” “Suuukuuumaaaa!!!”


Ariko ubwo babonaga umwana, buri umwe yasimbukiye atangaye. “Indogobe?!”

Lakini walipomwona mtoto, wote waliruka kwa mshtuko. “Punda?!”


Buri umwe yatangiye kuvuga. “Twavuze ko turibugumishe umubyeyi n’umwana amahoro, kandi ni ibyo turi bukore,” bamwe baravuze. “Ariko bazatuzanira imigisha mibi!” abandi baravuga.

Wakaanza kubishana. “Tulisema tutawaweka mama na mtoto salama, na hivyo ndivyo tutakavyofanya,” baadhi wakasema. “Lakini watatuletea mkosi!” wengine wakadai.


Nuko umugore yisanga wenyine nanone. Yibijije icyo akora n’umwana udasazwe. Yibajije icyo guko kuri we.

Kwa hiyo mwanamke yule alijikuta yuko peke yake kwa mara nyingine tena. Akajiuliza atafanya nini na mtoto huyo wa ajabu. Akajiuliza atafanya nini na yeye mwenyewe.


Ariko nyuma yaje kwemera ko ari uwe name akaba ari nyina we.

Lakini hatimaye alikubali kwamba huyo ni mwanaye na yeye ni mama yake.


Ubu, imo umwana aba yaragumye uko yari, uruti ruto, buri kimwe gishobora kuba gitandukanye. Ariko umwana w’indogobe yarakuze arakura kugeza atagikwirwa mu umugongo wa nyina. Kandi numb yagerageza gute, ntiyashoboraga kwitwara nk’ikiremwa muntu. Nyina we yabaga akenshi ananiwe anahangayitse. Rimwe na rimwe yamukoreshaga imirimo igenewe inyamaswa.

Endapo mtoto huyo angebaki kuwa vilevile, na umbo dogo, labda kila kitu kingekuwa tofauti. Lakini mtoto Punda aliendelea kukua na kukua mpaka hakuweza kutoshea tena mgongoni mwa mama yake. Pamoja na kujaribu kwa bidii, hakuweza kuwa na tabia za kibinadamu. Mara nyingi mama yake alichoka na kuvunjika moyo. Wakati mwingine alimlazimisha kufanya kazi walizostahili wanyama.


Impagarara n’uburakare bwakuriye mu indogobe. Ntiyashoboraga gukora bimwe na bimwe. Nyiyashoboraga kuba iki cyangwa kiriya. Yararagaye, umunsi umwe, yakubise nyina hasi.

Kuchanganyikiwa na hasira vilianza kujengeka ndani mwa Punda. Alishindwa kufanya hivi wala vile. Alishindwa kuwa hivi wala vile. Alipatwa na hasira sana kiasi kwamba, siku moja, alimpiga teke mama yake mpaka akaanguka chini.


indogoba yuzuye ikimwaro. Yatangiye kwiruka kure kandi yihuta bishoboka.

Punda alijawa na aibu. Akaanza kukimbilia mbali kwa haraka kadiri awezavyo.


Igihe yahagarikaga kwiruka, byari ninjoro kandi yatakaye (itazi aho iri). “Hee haw?” Nyiramubande iravuga. Yari wenyine. Irihinahina mo akazeru, irasinziramo cyane byakababaro.

Wakati aliposimama, ilikuwa ni usiku, na alikuwa amepotea. “Hii hoo?” alinong’ona gizani. “Hii hoo?” giza likatoa mwangwi. Alikuwa mwenyewe. Alijikunyata katika umbo dogo, akalala fofofo usingizi wa mang’amung’amu.


Indogobe yarabyutse isanga umugabo itazi ayihagaze hejuru ayireba. Yarebye mu amaso ye itandira kunva amashashari y’amizero.

Punda aliamka na kumkuta mzee mmoja wa ajabu akimtazama. Akamwangalia mzee yule machoni na akaanza kuhisi ishara ya matumaini.


Indogobe yagiye kugumana nawamugabo ukuze, wamwigishije umuryo bwinshi byo kubaho. Indogobe yarunvishe iramenya, n’umugabo yarabirkoze. Barafashanyije, baranasekana hamwe.

Punda alienda kuishi na mzee yule, na mzee alimfundisha mbinu nyingi za kuishi. Punda alisikiliza na kujifunza, na mzee vivyo hivyo pia. Walisaidiana na kucheka pamoja.


Igitondo kimwe, wamugabo ukuze yabajije Indogobe kumwikorera ku agasongero ku umusozi.

Asubuhi moja, mzee alimwomba Punda ambebe hadi kwenye kilele cha mlima.


Mu ubushorishori mubihu barasinziriye. Indogobe yarose nyina yarwaye anamuhamagara. Kandi ubwo yabyutse…

Walipofika juu kwenye mawingu, walipatwa na usingizi. Punda akaota kuwa mama yake alikuwa mgonjwa na alimhitaji. Na alipoamka…


…Ibihu byari byagiye hamwe n’inshuti ye, wamugabo ukuze.

…mawingu yalikuwa yametoweka pamoja na rafiki yake, yule mzee.


Indogobe nyuma yari izi icyo gukora.

Hatimaye, Punda alijua alichotakiwa kufanya.


Indogobe yabonye nyina, wenyine anarizwa n’ukubura umwana we. Bararebanye mu amaso igihe kirekire. Nyuma bahoberana bikomeye cyane.

Punda alimkuta mama yake akiwa peke yake huku akimwomboleza mwanaye aliyepotea. Wakaangaliana kwa muda mrefu. Na kisha wakakumbatiana kwa hisia.


Umwana w’indogobe na nyina we barakuranye hamwe bana bono uburyo bwo kubana uruhande k’urundi. Buhoro, iruhande rwabo, indi miryango yatangiye kuhatura.

Mtoto Punda na mama yake wamekuwa kitu kimoja na kuishi kwa ushirikiano. Taratibu, familia nyingine zimeanza kuhamia na kuishi miongoni mwao.


Written by: Lindiwe Matshikiza
Illustrated by: Meghan Judge
Translated by: Patrick Munyurangabo
Language: Kinyarwanda
Level: Level 3
Source: Donkey Child from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF