Download PDF
Back to stories list

Anansi n’Ubwenge Anansi na hekima

Written by Ghanaian folktale

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Patrick Munyurangabo

Language Kinyarwanda

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Kera kera hashize abantu ntibari bazi ikintu nakimwe. Ntibari bazi uko bahinga ibihingwa, cyangwa uko badoda umwenda, cyangwa uko bakora imikoresho by’icyuma. Imana Nyame mu ijuru yari ifite ubwenge bwose mu isi. Yabubikaga mu ingono y’ibumba.

Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, hawakujua kushona nguo, wala hawakujua kuunda zana za chuma. Nyame, mungu aliyekuwa mbinguni, ndiye aliyekuwa mwenye hekima zote za dunia. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo.


Umunsi umwe, Nyame yanzuye ko iha Anansi ingono y’ubwenge. Buri gihe Anansi yarebaga mu inkono y’ibumba, yamenyaga ikintu gishya. Byari bishimishije!

Siku moja, Nyame aliamua kumpa Anansi chungu hicho cha hekima. Kila Anansi alipotazama ndani ya chungu cha udongo, alijifunza jambo jipya. Alifurahi sana!


Igisambo Anansi yaratekereje, “Nzahisha inkono mubushorishori bw’igiti kirekire. Izaba ari iyange gusa!” Yafumbye akagozi karekare, akazengurutsa inkono y’ibumba, inayizirika ku igifu (inda) ke. Yatangiye kurira igiti. Ariko byari bigoye kuri igiti n’inkono imukubita ku amavi buri gihe.

Anansi mlafi alinong’ona moyoni, “Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili nikifaidi mwenyewe.” Akasokota uzi mrefu na kuuzungusha kwenye chungu. Kisha, akajifunga tumboni. Akaanza kupanda kwenye mti. Lakini ilikuwa vigumu kupanda kwenye mti huku chungu kikimgonga magotini kila mara.


Buri gihe umuhungu muto wa Anansi yarari hasi areberera. Yaravuze, Ntibyari kukorohera iyo wurira inkono iziritse ku mugongo ahubwo?” Anansi yagerageje kuzirika inkono y’ibumba kumugongo, byo byari byoroshye cyane.

Wakati huo wote, mwanawe alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama baba yake. Akamwambia, “Baba, si ingekuwa rahisi kupanda endapo ungekifungia chungu mgongoni?” Basi Anansi akajaribu kukifungia chungu kilichojaa hekima mgongoni mwake, na kweli ikawa rahisi zaidi.


Mu gihe gito yari yageze mu ubushorishori bw’igiti. Ariko ubwo yarahagaze aranatekereza, “ninge wakagobye kuba nfite ubwenge bwose, none dore umuhungu wange ni umunyabwenge kundusha!” Anansi yari arakaye cyane kubera byo bimutera kujugunya inkono y’ibumba hasi kuba mu giti.

Punde tu alipofika juu ya mti, aliwaza, “Natakiwa kuwa ndiye mwenye hekima zote, lakini hapa mwanangu ndiye mwenye akili kuliko mimi.” Anansi alikasirishwa sana kiasi kwamba alikitupa kile chungu chini ya mti.


Yamenetse mo ibice k’ubutaka. Ubwenge bwari aho bwo gusangirwa na buri umwe. Kandi nuko abantu bamenye guhinga, kufuma umwenda, gukora ibikoresho by’ibyuma, n’ibindi bintu abantu bazi gukora.

Chungu kilivunjika vipandevipande pale chini. Hekima zikawa za bure kwa mtu yeyote kujichukulia. Na hivyo ndivyo watu walivyojifunza kulima, kushona nguo, kuunda zana za chuma, na mambo yote mengine ambayo watu wanajua kuyafanya.


Written by: Ghanaian folktale
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Patrick Munyurangabo
Language: Kinyarwanda
Level: Level 3
Source: Anansi and Wisdom from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF