Download PDF
Back to stories list

Kwihorera kw’Inyoni y’ubuki Kisasi cha Kiongozi

Written by Zulu folktale

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Patrick Munyurangabo

Language Kinyarwanda

Level Level 4

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Iyi ni inkuru ya Ngede, Inyoni y’ubuki, n’umuhungu muto wigisambo witwa Gingile. Umunsi umwe ubwo Gingile yari hanze ahiga yunvise uguhamara kwa Ngede. Umunwa wa Gingile watangiye kuzura amerwe kubw’igitekerezo cy’ubuki. Yarahagaze yunviriza yitonze, ashakisha kugeza ubwo yunvise injwi ry’inyoni mu amashami hejuru y’umutwe we. “Chitik-chitik-chitik,” akanyoni gato karavuga, ubwo kagurukaga mu igiti kacya mukindi. “Chitik-chitik-chitik,” karahamagara, gahagara rimwe na rimwe kugirango kamenye ko Gingile yagakurikiye.

Hii ni hadithi ya Ngede, ambaye ni ndege mpenda asali, na mvulana mmoja mlafi anayeitwa Gingile. Siku moja Gingile alipokuwa akiwinda alisikia mwito wa Ngede. Kinywa chake kilianza kutokwa mate kwa kufikiria asali. Alisimama, akasikiliza na kuangalia vizuri hadi alipomwona yule ndege akiwa ametua kwenye matawi yaliyokuwa juu ya kichwa chake. “Chitik-chitik-chitik,” yule ndege mdogo alitatarika aliporuka na kutua kwenye mti mmoja hadi mwingine, na mwingine tena. “Chitik-chitik-chitik,” aliita, huku akinyamaza na kuhakikisha kwamba Gingile alikuwa amemfuata.


Nyuma y’igice k’isaaha, bageze ku igiti kinini. Ngede yasimbukaga mu amashami karakaye. Karangije gaturiza ku ishami rimwe, gahanga umutwe kuri Gingile nkaho kavugaga ngo, “ngiki! Ngwino nonaha! Niki ugitegereje?” Gingile ntiyabonaga inzuki habe nimwe ari munsi y’agiti, ariko yizeraga Ngede.

Baada ya nusu saa, walifika kwenye mti wa matini. Ngede aliruka kama mwenda wazimu kutoka tawi moja hadi jingine. Kisha alitulia kwenye tawi moja na kupindua kichwa chake akimwangalia Gingile kana kwamba anasema, “Ipo hapa! Njoo sasa! Kwa nini unachukua muda mrefu?” Gingile hakuweza kuona nyuki wowote kutoka chini ya mti, lakini alimwamini Ngede.


Ubwo Gingile yashyize hasi icumu ryo guhiga munsi y’igiti, akusanya ibishara byumye acana umuriro muto. Umuriro urimo kwaka neza, yashyize inkoni ndende hagati mu umuriro. Iyi nkoni yarizwiho gukora umwotsi mwinshi iyo kiri gushya. Yatangiye kurira, afashe mu amenyo impera itari gushya.

Kwa hivyo Gingile aliweka mkuki wake alioutumia kuwinda chini ya mti, akakusanya vijiti vilivyokauka na kuwasha moto mdogo. Moto ulipokuwa ukiwaka vizuri, alichomeka kijiti kirefu kwenye moto. Mti huu ulijulikana kwa kutoa moshi mwingi ulipokuwa unaungua. Alianza kukwea mti huku akishika kijiti kwa meno upande usiofuka moshi.


Bidatinze yunva ukuduhira kw’inzuki zihuze. Zinjiraga zisohoka mu igitsinsi k’igiti - ikiva cyazo. Ubwo Gingile yageraga mu ikiva yajombye impera iriho umwotsi mu umwobo. Inzuki zirukankiye hanze, zirakaye. Zagurutse zihunga kuberako zitakunze umwotsi - ariko ntizagiye zitabanje kumudwinga.

Muda mfupi baadaye, aliweza kusikia sauti ya nyuki wenye harakati nyingi ikivuma. Walikuwa wakiingia na kutoka kwenye upenyo wa mti, yaani mzinga wao. Gingile alipoufikia mzinga, alisukuma ile kuni ya moto ndani ya ule upenyo. Nyuki waliharakisha kutoka ndani wakiwa na hasira na uchungu. Waliruka na kwenda mbali kwa sababu hawakupenda moshi – lakini walifanya hivyo baada ya kumuuma Gingile kwa uchungu!


Ubwo inzuki zari zagiye, Gingile yashyize ibiganza bye mu icyarire. Yasohoye ibishashara by’ubuki byuzuye intoki, binjera ubuki n’ibyana byinzuki. Yashyize ibishashara muri igifuka yatwaye ku urutuku, atangira kumanuka igiti.

Nyuki walipokuwa nje, Gingile aliingiza mikono yake ndani ya kiota. Alitoa kipande kikubwa cha sega kilichokuwa kinadondoka urojo mzito wa asali, na kilichojaa wadudu weupe wanene. Aliiweka taratibu ndani ya mkoba aliokuwa nao na kuanza kushuka kutoka mtini.


Ngede yarebye yishimye yishimye buri kimwe Gingile yakoraga. Yari itegereje ko ayisigira igishashara k’ishimwe. Ngede yagenze kuva mugiti ijya mu ikindi, yegera hasi y’igiti. Birangije Gingile yageze hasi y’igiti. Ngede yicaye ku urutare hafi yumuhungu itegereza igihembo cyayo.

Ngede alishuhudia kila kitu Gingile alichofanya. Alikuwa anamsubiri abakishe kiasi kidogo cha asali kama shukurani kwa Kiongozi. Ngede aliruka kutoka tawi hadi tawi huku akikaribia chini. Mwishowe Gingile alifika chini ya mti. Ngede alitua kwenye mwamba karibu na mvulana huyo na kusubiri zawadi yake.


Ariko, Gingile yazimije umuriro, aterura icumu rye atangira kujya imuhira, atitaye ku inyoni. Ngede ahamagara arakaye, “VIC-torr! VIC-torrr!” Gingile arahagara, ahanga amaso aka nyoni gato araseka cyane. “Urashaka ubuki, nshuti yange? Ha! Nakoze akazi kose, nadwinzwe. Ni iyihe mpanvu nasangira ubu buki mwiza nawe?” Arangije aragenda. Ngede yari arakaye cyane! Ibi sibya uko yagafashwe! Ariko yari kwihorera.

Lakini Gingile alizima moto, akachukua mkuki wake na kuanza safari kwenda nyumbani bila kumjali ndege yule. Ngede aliita kwa hasira, “USH-ndi! USH-ndi!” Gingile alisimama, akamkodolea macho yule ndege kisha akacheka kwa sauti. “Unataka asali kidogo, rafiki yangu? Ha! Lakini ni mimi niliyefanya kazi yote pamoja na kuumwa na nyuki. Kwa nini nikugawie hii asali tamu?” Baada ya kusema hivyo, aliondoka na kwenda zake. Ngede alikasirika sana! Hivi sivyo alivyostahili kutendewa! Ila atalipiza kisasi.


Umunsi umwe nyuma y’ibyumweru byinshi Gingile nanone yunvise uguhamagara kwa Ngede. Yibutse ububuki buryoshye, akurikira inyoni nanone. Nyuma yo kuyobora Gingile ku impera z’ishyamba, Ngede arahagara iraruhukira mu umunyinya (ugira amahwa). “Ahh,” Gingile aratekereza. “Igiva kigomba kuba kiri muri iki giti.” Byihuse yakoze umuriro muto, atangira kurira, n’igiti cy’umwotsi mu amenyo. Ngede arica arareba.

Siku moja baada ya majuma machache, Gingile tena alisikia mwito wa asali kutoka kwa Ngede. Aliikumbuka asali tamu, na kwa hamu alimfuata ndege yule kwa mara nyingine. Baada ya kumwongoza Gingile pembeni mwa msitu, Ngede alisimama na kupumzika chini ya mti wa mwavuli. “Ahh,” Gingile aliwaza. “Lazima mzinga umo ndani ya mti huu.” Kwa haraka aliwasha moto wake na kuanza kukwea mti huku akibeba kuni iliyotoa moshi katika meno yake. Ngede alikaa na kuangalia tu.


Gingile aurora, yibaza impanvu atunva uguduhira gusazwe. “Birashoboke ko ikiva kiri kure mu igiti,” yaribwiye. Yazamutse irindi shami. Ahuza amaso n’ingwe aho kubona ikiva! Ingwe yari irakaye cyane kubera gukangurwa. Yafunze amaso yayo, ifungura umunwa wayo yerekana amenyo yayo manini asongoye cyane.

Gingile alipopanda, alishangaa kwa nini hakusikia sauti ya nyuki. “Pengine mzinga umo ndani zaidi katika mti,” alifikiria. Alipanda tena juu ya tawi jingine. Lakini badala ya mzinga, alijikuta uso kwa uso na chui! Chui alikuwa na hasira sana kwa sababu usingizi wake ulikuwa umekatizwa. Aliyafanya macho yake kuwa madogo, akaufungua mdomo wake na kuonyesha meno yake makubwa na makali.


Mbere yuko Ingwe yagasharatuye Gingile, yamanutse igiti yihuta, ihusha ishami yikibita hasi avunika akagombambari. Agenda avumbagira yihuta bishoboka. Ku ubwamahirwe ye, Ingwe yari igifite ibitotsi ntiyamwirukankana. Ngede, akanyo k’ubuki, kari kihoreye. Na Gingile yize isomo rye.

Kabla ya Chui kumvamia Gingile, alishuka chini haraka. Katika haraka hiyo, aliteleza na kuanguka kwa kishindo huku akiumia mguu wake. Alirukaruka akienda kwa haraka alivyoweza. Kwa bahati nzuri, Chui alikuwa bado amelala kwa hivyo hakumfukuza. Ngede, Kiongozi alikuwa amelipiza kisasi chake na Gingile alikuwa amejifunza funzo lake.


N’abana ba Gingile iyo bunvise inkuru ya Ngede baha icyubahiro akanyoni gato. Buri gihe basaruye ubuki, bibuka gusiga akanyoki k’ubuki igice kinini cy’igishashara!

Kwa hivyo wakati watoto wa Gingile wanaposikia hadithi ya Ngede, wanamheshimu yule ndege. Kila wanapotoa asali, huhakikisha kwamba wanamwachia Kiongozi fungu kubwa!


Written by: Zulu folktale
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Patrick Munyurangabo
Language: Kinyarwanda
Level: Level 4
Source: The Honeyguide's revenge from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF