Download PDF
Back to stories list

Simbagwayir Simbegwire

Written by Rukia Nantale

Illustrated by Benjamin Mitchley

Translated by Demoze Degefa

Language Oromo

Level Level 5

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Yeroo harmeen Simbagwayir dutu bayee gadiite turte. Abbaan Simbagawayir akka intalli isaa jajjabatu bayee dhamee. Suuta suutaan harmee Simbagwayir malee jiruu gammachuu jiraachuu calaqaban. Ganama ganama wa’ee taa’a nii wa’ee olmaa isanii haasa’u. Galgal immo irbaata wajjiin qophessu. Irabaata bodaa abban Simbagwayir muccan isaa ni qo’achiisa.

Simbegwire alihuzunika mama yake alipofariki. Baba yake alijitahidi kumtunza mwanaye. Taratibu wakaanza kuwa wenye furaha tena, bila ya Mama Simbegwire. Kila asubuhi walikaa na kupanga mipango ya siku inayofuata. Kila jioni waliandaa chakula cha jioni pamoja. Baada ya kuosha vyombo, baba yake Simbegwire alimsaidia kufanya kazi zake za shule.


Gaftokko abban Simbagwayir garaa mana ture galee. Italoo koo essaa jirta jedhee gafate? Simbagwayir gara abbaa eshe figiddee. Yeroo abbaan isshee harka dubartii qabatee dhabatu in ilaaltee. “Muccaa koo nama addaa han ta’ee tokko wajjiin akka walqunantuun barbaada. Ishee kun Anitaa jedhamit jehde,” seeqataa.

Siku moja baba yake Simbegwire alirudi nyumbani kwa kuchelewa. “Mwanangu uko wapi?” aliita. Simbegwire alimkimbilia baba yake. Alisimama ghafla baada ya kumwona baba yake akiwa ameshika mkono wa mwanamke. “Nataka ukutane na mtu muhimu, mwanangu. Huyu ni Anita,” alisema huku akitabasamu.


Akkam Simbagwayir, Abban kee wa’ee kee bayee nathimaa ture. Simbagwayir garuu hinseqqannnes; harka ishees hinfunee. Abbaan Simbagwayir gammadde, dhinqiii itti ta’e. Sadeen isaani akka jiruu gammachuu wajjiin jiraacha akka turan hasa’ee. “Mucaa koo Aniitaa akka harmee ketiti akka fudhattu abdiin qaba.”

“Hujambo Simbegwire? Baba yako amenisimulia mengi kukuhusu,” alisema Anita. Lakini hakutabasamu wala kumpa Simbegwire mkono. Baba yake Simbegwire alijaa na furaha. Aliongelea jinsi maisha yatakavyokuwa mazuri watatu hao wakiishi pamoja. “Mwanangu, ni matumaini yangu kuwa utamkubali Anita kuwa mama yako,” alisema.


Jiruun Simbagwayir ni jijjirramee. Yeroo abba ishee wajjiin haasoftu hinqabdu. Aniitaan hojii bayee wan isheef lateef, Simbagwayir yeroo barnoota ishef qophoftu dhabade. Yeroo dhuman galtee rafti. Maddi gammachuu ishee kan ta’ee wayya halkanii harmee ishee laatefi dha. Abban ishee garuu, mucaan sa akka gadda jiraatu hinbarre.

Maisha ya Simbegwire yakabadilika. Hakuwa na muda tena wa kukaa na baba yake asubuhi. Anita alimpa kazi nyingi za nyumbani zilizomchosha sana kiasi cha kushindwa kufanya kazi zake za shuleni jioni. Alikuwa anaenda moja kwa moja kulala baada ya chakula cha jioni. Faraja pekee aliyokuwa nayo ni blanketi lenye rangi nyingi alilopewa na mama yake. Baba yake Simbegwire hakugundua kwamba binti yake alikuwa hana furaha.


Ji’oota murasaa booda Abban Simbagwayir gara imaala akkan jedhee deme, “Dhimma hijiitif yeroo gababduf bakka bira demuun qaba.” “Hata’u maale akka isin walgargartan nan amana.” Simbagwayir fulaa ishee gurtee garu kana abban ishee hinbarre. Aniitaan wan tokkole hindubbane. Aniitaanis dhimma kanairrati gamchuu hinqabadu turte.

Baada ya miezi michache, baba yake Simbegwire aliwaambia kwamba ana mpango wa kusafiri. “Itanibidi nisafiri kikazi,” alisema. “Lakini najua hakutakuwa na tatizo.” Uso wa Simbegwire ulijawa huzuni, lakini baba yake hakugundua. Anita hakusema lolote. Hakuwa na furaha.


Jiruun Simbagwayir bayee gadhee ta’aa damee. Hojii mana kessa hinfuxxu taanan, Aniitaan itti dhekamiti. Iribaata gubba irrate, Aniitaan bayee nyaate, isheedhat immo xinno dhiftee. Halkan hundaa Simbagwayir uffataa halkanii harmee ishee hammate bossi.

Mambo yakawa mabaya kwa Simbegwire. Aliposhindwa kumaliza kazi au alipolalamika, Anita alimpiga. Wakati wa chakula cha jioni Anita alikula chakula kingi, na kumwachia Simbegwire makombo. Kila usiku Simbegwire alikuwa analia, huku akilikumbatia blanketi la mama yake.


Ganama tokko Simbagwayir hirribarra dafte hinka’iin turte. Aniitaanis, “Mucaayo dhiibooftuu” jettee itti iyyite. Aniitaanis Simbagwayir siree irra harkiftee kaste. Wayyan halkanii bayee midhaagan sun nibixamee bakka lamati citee.

Asubuhi moja, Simbegwire alichelewa kuamka. “Wewe mtoto mvivu,” Anita aliita kwa kelele. Akamvuta Simbegwire kutoka kitandani. Blanketi lake zuri likanasa kwenye msumari na kuchanika vipande viwili.


Simbagwayirn bayee aarte. Mana sana gadidhiiftee demuuf murteesite. Ufata halkani harmee isheetif nyaataa qabattee mana batee. Kara abban ishe demee dukka dhaqxee.

Simbegwire alikasirika sana. Akaamua kutoroka nyumbani. Akachukua vipande vya blanketi la mama yake. Akachukua na chakula na akaondoka nyumbani. Akaifuata barabara aliyopita baba yake.


Yeroo ittihalkana’u mukka dheeraa gubba korte damee isaatrati siree tolfate. Yeroo gara chiisichaa deemtu akaan jete wadeste, “Ayyo, ayyo, ayyo na dhiftee dametee. Na dhiftee demetee, achuuman hafte. Abban koo nanajallatu kana booda. Harmee, yoom dhufta? Na dhifitee demetee?”

Ilipofika jioni alipanda mti mrefu karibu na kijito na akaandaa kitanda kwenye matawi ya mti. Alipokuwa analala akaimba “Maama, maama, maama, umeniacha. Umeniacha na haukurudi tena. Baba hanipendi tena. Mama unarudi lini? Uliniacha.”


Gyyyaa itti aanu Simbagwayirn sirbaa sana irra debitee sirbtee. Dubartoonni laga sana bishaan waraaban sagalee ishee dhagahan. Sagaleen sunis sagalee mukaa itti fakkate chal jedhan. Ha ta’u malee dubartiin tokko sirrite dhaggeffatee turte.

Asubuhi iliyofuata, Simbegwire aliimba ule wimbo tena. Wakina mama walipokuja kufua nguo zao walisikia wimbo wa huzuni kutoka kwenye mti mrefu. Wakafikiri ni upepo unatikisa matawi ya mti na wakaendelea na kazi zao. Lakini mama mmoja akasikiliza ule wimbo kwa makini.


Dubartitin ol jete mukka ilaalte. Yeroo muccayofi uffata halkanii bareeda agartu akan jete, “Simbagwayi, muccaa obbolessa kooti.” Dubartiin biraa immo uffata miccuu dhifitee Simbagwayi akka mukka irraa buutuu gargarte. Addaadan ishee muka irra bufitee, jajabesite.

Mama huyo akaangalia juu ya mti. Alipomwona msichana na vipande vya blanketi la rangi, akalia, “Simbegwire, mtoto wa kaka yangu!” Wakina mama wengine wakaacha kufua na wakamsaidia Simbegwire kushuka toka juu ya mti. Shangazi yake akamkumbatia na kumfariji.


Addaadan Simbagwayi mana isheeti fudhatee. Simbagwayifis nyaata o’aa keennitefi ciree gubba ishee rafiste. Halkan san Simbagwayi boyichaan gara chisichaa dhaqxee. Ha ta’u male boyyicha kessi gammachudah. Addaada ishee akkan ishee kunistu nibekiti turte.

Shangazi yake Simbegwire akampeleka nyumbani kwake. Akampatia chakula, akampeleka kitandani na akamfunika na blanketi la mama yake. Usiku ule Simbegwire akalia alipokwenda kulala. Lakini yalikuwa machozi ya furaha. Alijua shangazi yake atamtunza.


Abban Simbagwayi yeroo imala deebi’u, siree isheera dhabee, akan jedhe, “Maltuu dhalate?” jedhe rifachuudahn gaafate. Durbatitiinis Simbagwayi akka deemte itti himte. “Akka nakabajduu itti himeen ture. Anis immo bayeen seera itti jabesse.” Abban Simbagwayi gara lagaa demee. Gara mana obboletii isaa demee Simbagwayi barbacha dhama’ee.

Baba yake Simbegwire aliporudi nyumbani, alikikuta chumba chake kikiwa tupu. “Nini kimetokea, Anita?” aliuliza kwa simanzi. Anita akaelezea kuwa Simbegwire alitoroka. “Nilitaka aniheshimu,” alisema. “Labda nilikuwa mkali sana.” Baba yake Simbegwire aliondoka nyumbani na akaelekea kwenye kijito. Akaenda kwenye kijiji cha dada yake kuuliza kama amemwona Simbegwire.


Abban Simbagwayi yeroo dhufu isheen durbii ishee wajjiin taphacha turte. Abban ishee it dhihaatee akan, Simbagwayi, Harmee dansaa argatee. Ishee sijaaatu fi si hubbattu. “Bayeen siti bonaa. Bayeen sijaaladha.” Simbagwayi akka addaada ishee bira hamma bardaddu akka techu waligalan.

Simbegwire alikuwa anacheza na binamu zake alipomwona baba yake akija kwa mbali. Aliogopa kuwa baba yake angekuwa amekasirika, na akakimbilia ndani ya nyumba ili ajifiche. Baba yake alimwendea na akamwambia, “Simbegwire umempata mama mzuri. Anayekupenda na kukuelewa. Najivunia kuwa nawe na ninakupenda.” Walikubaliana kuwa Simbegwire angeishi na shangazi yake kwa muda wote atakaotaka.


Abban ishee guyyaa guyyaa dha isshee ilaala ture. Boddeeti Aniitaa wajjiin dhufan. Sana booda harka Simbagwayi ti galtee dhifama ishee gafaatee. Bayeen dogongoree dhifamaa nagodhi mucaa ko. Caarraa biraa nakenitaa? Simbagwayi oljette fulaa abbaa ishee isa gadde ilaalte. Achumaan gara Aniitaa ademitee ishee hammate.

Baba yake alikuwa akimtembelea kila siku. Mwishoe akaja na Anita. Akampa mkono Simbegwire. “Nisamehe, nilikosea,” akalia. “Utanipa nafasi kujaribu tena?” Simbegwire alimwangalia baba yake aliyekuwa na uso wa wasiwasi. Baadaye akamwendea Anita taratibu na akamkumbatia.


Torbaan itti anuu Aniitaan Simbagwayi, durbi fi addaada ishee laaqan afferte. Qophii gaari ture! Aniitaan nyataa Simbagwayi jallatu qophesite. Namni hundiinu hamma quuftu nyaate. Sana boodas ijollen yeroo taphatu warri gurdudon immo hasa’a turan. Simbagwayi bayee gammadee. Hatatamaan gara mana abba isheeti debitee akka jaalalan harmee budeena wajjiin jiratu yerooma san murtesite.

Wiki iliyofuata, Anita aliwaalika Simbegwire, binamu zake, na shangazi yake kwa ajili ya chakula. Anita akaandaa vyakula vyote ambavyo Simbegwire anavipenda, na kila mmoja akala hadi akashiba. Baada ya kula watoto wakaenda kucheza huku watu wazima wakiongea. Simbegwire akajisikia furaha na jasiri. Akaamua kuwa si muda mrefu atarejea nyumbani kuishi na baba yake na mama yake wa kambo.


Written by: Rukia Nantale
Illustrated by: Benjamin Mitchley
Translated by: Demoze Degefa
Language: Oromo
Level: Level 5
Source: Simbegwire from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Read more level 5 stories:
Options
Back to stories list Download PDF