Download PDF
Back to stories list

Zomwe Mulongo wa Vusi Ananena Alichokisema dada yake Vusi

Written by Nina Orange

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Sitwe Benson Mkandawire

Read by Christine Mwanza

Language Nyanja

Level Level 4

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Tsiku limodzi m’mamawa, agogo a Vusi anamuitana, “Vusi, ndikupempha kuti upeleke Dzila ku makolo yako. Afuna kupanga keke yaikulu yapa cikwati ca mulongo wako.”

Siku moja asubuhi bibi yake Vusi alimwita na kumwambia, “Tafadhali peleka yai hili kwa wazazi wako. Wanataka kutengeneza keki kubwa kwa ajili ya harusi ya dada yako.”


Munjila poyenda kumakolo, Vusi anakumana ndi anyamata awiri amene anali kuthyola ziphaso. Munyamata umodzi anatenga dzila lomwe linali ndi Vusi ndikuiphwanya pacimtengo. Dzila linaphwanyika.

Alipokuwa njiani kuelekea kwa wazazi wake, Vusi akakutana na vijana wawili wanaokota matunda. Kijana mmoja akanyakua yai kutoka kwa Vusi na akalirusha kwenye mti. Yai likavunjika.


“Kodi ndi cani cimene wacita?” Vusi analira. Dzila lija linali la keke. Iyo keke inali yapacikwati ca mlongo wanga. Kodi mlonga wanga azanena cani ngati palibe keke pacikwati?”

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Yai lile lilikuwa kwa ajili ya keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Dada yangu atasemaje kama hakutakuwa na keki ya harusi?”


Anyamata anaphepetsa ponena Vusi. “Sitingathandizire pa nkhani ya keke, koma tenga kumtengo aka koyendela ukapase mlongo wako,” umodzi mwa iwo anatelo. Vusi anapitiliza ndi ulendo wake.

Vijana wale waliomba msamaha kwa kumchokoza Vusi. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini hii hapa ni fimbo kwa ajili ya dada yako,” mmoja alisema. Vusi akaendelea na safari yake.


Munjila anakumananso ndi amuna awiri amene anali kumanga nyumba. Tingasewenzese ako kamtengo kokosa? Mwamuna umodzi anafunsa. Koma kamtengo sikanali kokosa ndiponso kanathyoka.

Njiani alikutana na wanaume wawili wakijenga nyumba. “Tunaweza kutumia hiyo fimbo imara?” mmoja akaomba. Lakini fimbo haikuwa imara kwa kujengea, na ikavunjika.


“Kodi ndi cani cimene mwacita?” Vusi analira. Ako kamtengo inali mphaso ya mlonga wanga. Anthu otenga zipaso anandipasa cifukwa anaphwanya dzila la keke. Keke inali ya cikwati ca mlongo wanga. Manje kulibe dzila, kulibe keke, ndiponso kulibe mphaso. Kodi mlonga wanga azanena cani?

“Mmefanya nini?” Vusi akalia. “Fimbo hii ilikuwa zawadi kwa ajili ya dada yangu. Waangua matunda walinipa fimbo hiyo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa ni kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


Omanga nyumba anaphepetsa pothyola kumtengo. “Sitingathandizire pa nkhani ya keke, koma tenga cipagizo camauzi ukapase mlongo wako,” umodzi pa omanga anatelo. Vusi anapitiliza ndi ulendo wake.

Wajenzi waliomba msamaha kwa kuvunja fimbo. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini tutakupa makuti umpelekee dada yako,” mmoja alisema. Na Vusi akaendelea na safari yake.


Poyenda munjila, Vusi anakumana ndi mulimi na ng’ombe. “Cipangizo camauzu caoneka bwino, unganipaseko kang’ono? ng’ombe inafunsa. Cipangizo camauzu cinawama kwimbiri ndiponso, ngombe inadya conse.

Njiani, Vusi akakutana na mkulima akiwa na ng’ombe. “Una makuti mazuri, naweza kupata kidogo?” Ng’ombe akaomba. Lakini makuti yalikuwa matamu ng’ombe akayala yote!


“Kodi ndi cani cimene wacita?” Vusi analira. Ico cipangizo ca mauzu cinali mphaso ya mlonga wanga. Anthu omanga manyumba anandipasa cifukwa anathyola kamtengo kamene anandipasa othyola zipaso. Othyola zipaso anandipasa kamtengo cifukwa anaphanya dzila la keke la mlongo wanga. Keke inali ya cikwati ca mlongo wanga. Manje kulibe dzila, kulibe keke, ndiponso kulibe mphaso. Kodi mlonga wanga azanena cani?

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Makuti haya yalikuwa zawadi ya dada yangu. Wajenzi walinipa makuti kwa kuwa walivunja fimbo yangu niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa kuwa walivunja yai kwa ajili ya keki ya dada yangu. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


Ng’ombe inaphepetsa pokudya kacipango. Mulimi anamupasa ng’ombe kukhala mphaso ya mlongo wa Vusi. Vusi anapiliza ulendo wake.

Ng’ombe aliomba msamaha kwa kuwa mlafi. Mkulima alikubali kumpa Vusi ng’ombe aende naye kama zawadi kwa ajili ya dada yake. Vusi akaendelea na safari yake.


Koma ng’ombe inathawila kumwine wake pa cakudya ca m’madzulo. Vusi anasowa paulendo wake. Anafika mocedwa kwambiri pacikwati ca mlongo wake. Alendo anayamba kalekale zakudya pacikwati.

Lakini wakati wa chakula cha jioni ng’ombe alikimbia kurudi kwa mkulima. Na Vusi akapotea njiani. Akafika kwa kuchelewa sana kwenye harusi ya dada yake. Wageni walikuwa tayari wanakula.


“Kodi ndizacita cani?” Vusi analira. Ngo’mbe yamene inathawa inali mphaso, m’malo mwa cipangizo ca mauzu cimene anandipasa omanga manyumba. Anthu omanga manyumba anandipasa cifukwa anathyola kamtengo kamene anandipasa othyola zipaso. Othyola zipaso anandipasa kamtengo cifukwa anaphanya dzila la keke la mlongo wanga. Keke inali ya cikwati ca mlongo wanga. Manje kulibe dzila, kulibe keke, ndiponso kulibe mphaso.

“Nifanye nini?” alilia Vusi. “Ng’ombe aliyekimbia alikuwa ni zawadi, ambayo nilipewa kama mbadala wa makuti niliyopewa na wajenzi. Wajenzi walinipa makuti kwa sababu walivunja fimbo niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi. Kwa hiyo hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi.”


Mlongo wa Vusi anaganiza kwambili ndiponso anati, “Vusi mbale wanga, sindifuna za mphaso. Sindifunanso keke! Tilitonse pano pamodzi, diye camene candikondweletsa. Manje vala zovala zabwino mwakuti tisangalale lelo. Izo ndiye zamene anacita Vusi.

Dada yake Vusi alifikiria kwa muda, halafu akasema, “Kaka yangu Vusi, usijali zawadi, pia usijali keki! Tupo hapa pamoja, nina furaha. Nenda kavae nguo zako nadhifu na uje tusherehekee siku hii!”


Written by: Nina Orange
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Sitwe Benson Mkandawire
Read by: Christine Mwanza
Language: Nyanja
Level: Level 4
Source: What Vusi's sister said from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF