Download PDF
Back to stories list

Tom, el vendedor de plátanos Tom muuza ndizi

Written by Humphreys Odunga

Illustrated by Zablon Alex Nguku

Translated by Karina Vásquez

Read by Áurea Vericat

Language Spanish

Level Level 2

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Tom lleva una cesta de plátanos maduros.

Tom anabeba tenga la ndizi zilizoiva.


Tom va al mercado a vender plátanos.

Tom anaenda sokoni kuuza ndizi.


La gente compra fruta en el mercado.

Sokoni watu wananunua matunda.


Pero nadie compra los plátanos de Tom. Prefieren comprarle a las mujeres.

Lakini hakuna anayenunua ndizi za Tom. Wanapenda kununua matunda kutoka kwa akina mama.


“En nuestra comunidad, sólo las mujeres venden fruta,” le dice la gente. “¿Qué clase de hombre es éste?” se pregunta la gente.

“Kwenye jamii yetu, ni wanawake pekee ndio wanaouza matunda,” watu wanasema. “Ni mwanamume wa aina gani huyu?” watu wanahoji.


Pero Tom no se rinde. Sigue gritando, “¡Compren mis plátanos! ¡Compren mis dulces plátanos maduros!”

Lakini Tom hakati tamaa. Anaita, “Nunua ndizi zangu! Nunueni ndizi zangu tamu zilizoiva!”


Una mujer coge un montón de plátanos de la bandeja. Revisa las plátanos cuidadosamente.

Mwanamke mmoja anachukua kichane cha ndizi kutoka kwenye tenga. Anaziangalia ndizi kwa umakini.


La mujer compra los plátanos.

Mwanamke ananunua ndizi.


Más gente viene al puesto. Compran los plátanos de Tom y se las comen.

Watu wengine wanakuja kwenye kichanja. Wananunua ndizi za Tom na kuzila.


Al poco rato, la cesta está vacía. Tom cuenta el dinero que ganó.

Mara, tenga linakuwa tupu. Tom anahesabu pesa alizopata.


Luego, Tom compra jabón, azúcar y pan. Pone las cosas en su cesta.

Tom ananunua sabuni, sukari, na mkate. Anaweka vitu kwenye tenga lake.


Tom carga la cesta sobre su cabeza y se va a casa.

Tom anajitwisha tenga kichwani na kwenda nyumbani.


Written by: Humphreys Odunga
Illustrated by: Zablon Alex Nguku
Translated by: Karina Vásquez
Read by: Áurea Vericat
Language: Spanish
Level: Level 2
Source: Tom the banana seller from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF