Download PDF
Back to stories list

La kanto de Sakima Wimbo wa Sakima

Written by Ursula Nafula

Illustrated by Peris Wachuka

Translated by dohliam

Language Esperanto

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Sakima vivis kun siaj gepatroj kaj sia kvarjara fratino. Ili vivis sur la tereno de riĉulo. Ilia pajlo-tegmenta kabano staris je la fino de arbovico.

Sakima aliishi na wazazi wake na dada yake wa miaka minne. Waliishi katika shamba la mtu tajiri. Nyumba yao ya nyasi ilikuwa mwisho wa safu ya miti iliyopendeza.


Kiam Sakima havis tri jarojn, li malsanis kaj perdis sian vidon. Sakima estis talentplena knabo.

Sakima alipokuwa na umri wa miaka mitatu, aliugua na kupoteza uwezo wa kuona. Hata hivyo, Sakima alikuwa mvulana mwenye kipaji.


Sakima faris multajn aferojn, kiujn aliaj sesjaraj knaboj ne faris. Ekzemple li povis sidi kun la pli aĝaj vilaĝanoj kaj diskuti gravajn aferojn.

Sakima alitenda mambo mengi ambayo wavulana wengine wa umri wake hawakufanya. Kwa mfano, aliketi na watu wazima na kujadili mambo muhimu.


La gepatroj de Sakima laboris ĉe la domo de la riĉulo. Ili eliris la hejmon frumatene kaj revenis malfrue vespere. Sakima estis lasita kun sia fratineto.

Wazazi wa Sakima walifanya kazi katika nyumba ya yule tajiri. Walitoka nyumbani asubuhi na mapema na kurudi jioni. Sakima aliachwa na dada yake.


Sakima ŝategis kanti kantojn. Iun tagon lia patrino demandis lin, “De kie eklernis vi tiujn ĉi kantojn, Sakima?”

Sakima alipenda kuimba nyimbo. Siku moja mama yake alimuuliza, “Sakima, unajifunza nyimbo hizi kutoka wapi?”


Sakima ripondis, “Ili simple venas, patrino. Mi aŭdas ilin en mia kapo kaj tiam mi kantas.”

Sakima alimjibu, “Nazisikia akilini mwangu kisha naziimba.”


Sakima ŝatis kanti por sia fratineto, precipe se ŝi malsatis. Lia fratino aŭskultus lin kanti sian plej ŝatatan kanton. Ŝi kutimis svingiĝi laŭ la trankviliga melodio.

Sakima alipenda kumwimbia mdogo wake hasa akihisi njaa. Dada yake alimsikiliza na kucheza.


“Ĉu vi povas kanti ĝin ree kaj ree, Sakima?” lia fratino petis lin. Sakima do akceptis kaj kantis ĝin ree kaj ree.

“Naomba uimbe tena na tena, Sakima,” mdogo wake alimsihi. Sakima alikubali na kuimba mara nyingine.


Iun vesperon, kiam liaj gepatroj revenis hejmen, ili tre silentis. Sakima sciis ke io ne ĝustas.

Jioni moja, wazazi wake waliporudi nyumbani, walikuwa kimya sana. Sakima alijua kwamba lazima kulikuwa na jambo baya.


“Kio ne ĝustas, patrino, patro?” Sakima demandis. Sakima sciĝis ke la filo de la riĉulo mankas. La viro estis tre malĝoja kaj soleca.

“Kuna shida gani, mama, baba?” Sakima aliuliza. Sakima aligundua kwamba mwana wa tajiri wao alikuwa amepotea. Tajiri alihuzunika na kuwa na upweke mkubwa.


“Mi povas kanti por li. Li eble feliĉos denove,” Sakima diris al siaj gepatroj. Sed liaj gepatroj malakceptis lin. “Li estas tre riĉa. Vi nur estas blinda knabo. Ĉu vi kredas ke via kanto povos helpi lin?”

“Labda atafurahi tena nikimwimbia,” Sakima aliwaambia wazazi wake. Wazazi wake walidharau wazo lake. “Yeye ni tajiri sana. Wewe ni mvulana asiyeona. Unadhani wimbo wako utamsaidia?”


Tamen Sakima ne rezignis. Lia fratineto subtenis lin. Ŝi diris, “La kantoj de Sakima trankviligas min, kiam mi malsatas. Ili trankviligos ankaŭ la riĉulon.”

Hata hivyo, Sakima hakukata tamaa. Mdogo wake alimpa moyo. Alisema, “Nyimbo za Sakima hunituliza mimi nikiwa na njaa. Zitamtuliza tajiri vile vile.”


La sekvan tagon Sakima petis sian fratineton gvidi lin al la domo de la riĉulo.

Siku iliyofuata, Sakima alimwomba mdogo wake amwongoze hadi kwenye nyumba ya tajiri.


Li staris sub granda fenestro kaj ekkantis sian plej ŝatatan kanton. Malrapide la kapo de la riĉulo ekaperis tra la granda fenestro.

Alisimama chini ya dirisha moja kubwa na kuanza kuimba wimbo wake alioupenda. Pole pole, kichwa cha tajiri kilionekana dirishani.


La laboristoj haltigis sian laboron. Ili aŭskultis la belan kanton de Sakima. Sed unu el la viroj diris, “Neniu povis konsoli la ĉefon. Ĉu tiu blinda knabo kredas ke li povas konsoli lin?”

Wafanyakazi waliacha kazi zao. Wakasikiliza wimbo mzuri wa Sakima. Hata hivyo, mwanamume mmoja alisema, “Hakuna aliyefaulu kumtuliza bwana. Je, huyu mvulana asiyeona anafikiri atamtuliza?”


Sakima finis la kantadon kaj turniĝis por foriri. Sed la riĉulo rapidis eksteren kaj diris, “Mi petas, kantu denove.”

Sakima alipomaliza kuimba wimbo wake alianza kuondoka. Tajiri alitoka nje kwa haraka na kusema, “Tafadhali, imba tena.”


Ĝuste tiumomente du viroj venis portante iun sur homportilo. Ili trovis la filon de la riĉulo batitan kaj forlasitan sur la flanko de la vojo.

Wakati huo huo, watu wawili walikuja wakiwa wamembeba mtu kwenye machela. Walimkuta mwana wa tajiri akiwa amechapwa na kuachwa kando ya barabara.


La riĉulo tiel ĝojis revidi sian filon. Li rekompencis Sakima por konsili lin. Li kunprenis sian filon kaj Sakima al la malsanulejo por regajnigi la vidon al Sakima.

Tajiri alifurahi sana kumwona mwana wake tena. Alimzawadia Sakima kwa kumliwaza. Aliwapeleka mwanawe na Sakima hosipitali ili Sakima aweze kusaidiwa kuona tena.


Written by: Ursula Nafula
Illustrated by: Peris Wachuka
Translated by: dohliam
Language: Esperanto
Level: Level 3
Source: Sakima's song from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF