Download PDF
Back to stories list

Niki mushiki wa Vusi yavuze? What Vusi's sister said Alichokisema dada yake Vusi

Written by Nina Orange

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Patrick Munyurangabo

Language Kinyarwanda

Level Level 4

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Kare mu Igitondo kimwe nyirakuru wa Vusi yaramuhamagaye, “Vusi, mbabarira ujyane iri gi ku ababyeyi bawe. Barashaka gukora keke nini y’ubukwe bwa mushiki wawe”.

Early one morning Vusi’s granny called him, “Vusi, please take this egg to your parents. They want to make a large cake for your sister’s wedding.”

Siku moja asubuhi bibi yake Vusi alimwita na kumwambia, “Tafadhali peleka yai hili kwa wazazi wako. Wanataka kutengeneza keki kubwa kwa ajili ya harusi ya dada yako.”


Munzira ajya kubabyeyi be, Vusi yahuye n’abahungu babiri batoragura imbuto. Umwe yashikuje igi Vusi aritera ku igiti. Ryagi rirameneka.

On his way to his parents, Vusi met two boys picking fruit. One boy grabbed the egg from Vusi and shot it at a tree. The egg broke.

Alipokuwa njiani kuelekea kwa wazazi wake, Vusi akakutana na vijana wawili wanaokota matunda. Kijana mmoja akanyakua yai kutoka kwa Vusi na akalirusha kwenye mti. Yai likavunjika.


“Nibiki mukoze?” Vusi yararize. “Iryo gi ryari iryo gukora keke. Keke yari iy’ubukwe bwa mushiki wange. Niki mushiki wange aribuvuge nimba nta keke y’ubukwe?”

“What have you done?” cried Vusi. “That egg was for a cake. The cake was for my sister’s wedding. What will my sister say if there is no wedding cake?”

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Yai lile lilikuwa kwa ajili ya keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Dada yangu atasemaje kama hakutakuwa na keki ya harusi?”


Abahungu basabye imbabazi kubwo gukinisha Vusi. “Ntitwagufasha na keke, ariko aka ni akabando (ko kwifashisha mu kugenda) ko guha mushiki wawe,” Umwe yaravuze. Vusi yakomeje urugendo rwe.

The boys were sorry for teasing Vusi. “We can’t help with the cake, but here is a walking stick for your sister,” said one. Vusi continued on his journey.

Vijana wale waliomba msamaha kwa kumchokoza Vusi. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini hii hapa ni fimbo kwa ajili ya dada yako,” mmoja alisema. Vusi akaendelea na safari yake.


Munzira yahuye n’abagabo babiri barimo kubaka inzu. “Twakoresha iyo nkoni ikomeye?” Umwe arabaza. Ariko inkoni ntiyari ikomeye bihagije, yaravunitse.

Along the way he met two men building a house. “Can we use that strong stick?” asked one. But the stick was not strong enough for building, and it broke.

Njiani alikutana na wanaume wawili wakijenga nyumba. “Tunaweza kutumia hiyo fimbo imara?” mmoja akaomba. Lakini fimbo haikuwa imara kwa kujengea, na ikavunjika.


“Nibiki mukoze?” Vusi yararize. “Iyo nkoni yari impano ya mushiki wange. Abasoromyi b’imbuto bampaye inkoni kuberako bamennye igi rya keke. Keke yari iy’ubukwe bwa mushiki wange. Ubu nta gi, nta keke, nta n’impano. Ni iki mushiki wange aribuvuge?”

“What have you done?” cried Vusi. “That stick was a gift for my sister. The fruit pickers gave me the stick because they broke the egg for the cake. The cake was for my sister’s wedding. Now there is no egg, no cake, and no gift. What will my sister say?”

“Mmefanya nini?” Vusi akalia. “Fimbo hii ilikuwa zawadi kwa ajili ya dada yangu. Waangua matunda walinipa fimbo hiyo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa ni kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


Abubatsi byarababaje kuvuna inkoni. “Ntitwagufasha na keke, ariko fatata ibi byatsi byo gusakara byo guha mushiki wawe,” Umwe yaravuzez. Nuko Vusi akomeza urugendo rwe.

The builders were sorry for breaking the stick. “We can’t help with the cake, but here is some thatch for your sister,” said one. And so Vusi continued on his journey.

Wajenzi waliomba msamaha kwa kuvunja fimbo. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini tutakupa makuti umpelekee dada yako,” mmoja alisema. Na Vusi akaendelea na safari yake.


Munsira, Vusi yahuye n’umuhinzi n’inka. “Mbega ibyatsi biryoshye, naryaho bike?” Inka yarabajije. Ariko ibyatsi byari biryoshye cyane inka irabirya byose.

Along the way, Vusi met a farmer and a cow. “What delicious thatch, can I have a nibble?” asked the cow. But the thatch was so tasty that the cow ate it all!

Njiani, Vusi akakutana na mkulima akiwa na ng’ombe. “Una makuti mazuri, naweza kupata kidogo?” Ng’ombe akaomba. Lakini makuti yalikuwa matamu ng’ombe akayala yote!


“Nibiki ukoze?” Vusi yararize. “Ibyo byatsi byari impano ya mushiki wange. Abubatsi bampaye ibyatsi kuberako baciye inkoni abasoromyi b’imbuto bari bampaye. Abasoromyi bari bampaye inkoni kuberako bamennye igi rya keke ya mushiki wange. Ubu ntagi, nta keke, ntan’impano. Niki mushiki wange aribuvuge?”

“What have you done?” cried Vusi. “That thatch was a gift for my sister. The builders gave me the thatch because they broke the stick from the fruit pickers. The fruit pickers gave me the stick because they broke the egg for my sister’s cake. The cake was for my sister’s wedding. Now there is no egg, no cake, and no gift. What will my sister say?”

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Makuti haya yalikuwa zawadi ya dada yangu. Wajenzi walinipa makuti kwa kuwa walivunja fimbo yangu niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa kuwa walivunja yai kwa ajili ya keki ya dada yangu. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


Inka byarayibabaje kubera ubusambo. Umuhinzi yemeye ko inka ijyana na Vusi nk’impano yo guha mushiki we. Nuko Vusi arakomeza.

The cow was sorry she was greedy. The farmer agreed that the cow could go with Vusi as a gift for his sister. And so Vusi carried on.

Ng’ombe aliomba msamaha kwa kuwa mlafi. Mkulima alikubali kumpa Vusi ng’ombe aende naye kama zawadi kwa ajili ya dada yake. Vusi akaendelea na safari yake.


Ariko inka yarirukatse isanga umuhinzi mugihe cyamafunguro yanimugoroba. Na Vusi yaburiye kurugendo rwe. Yageze mubukwe bwa mushiki we atinze cyane. Abashyitsi barimo barya.

But the cow ran back to the farmer at supper time. And Vusi got lost on his journey. He arrived very late for his sister’s wedding. The guests were already eating.

Lakini wakati wa chakula cha jioni ng’ombe alikimbia kurudi kwa mkulima. Na Vusi akapotea njiani. Akafika kwa kuchelewa sana kwenye harusi ya dada yake. Wageni walikuwa tayari wanakula.


“Niki nakora?” Vusi yararize. “Inka yirukatse yari impano, kubw’ibyatsi abubatsi bari bampaye. Abubatsi bampaye ibyatsi kubera ko baciye inkoni nari nahawe n’abasoromyi. Abasoromyi bampaye inkoni kubera ko bamennye igi. Keke yari iy’ubukwe. Ubu ntagi, nta keke, ntan’impano.”

“What shall I do?” cried Vusi. “The cow that ran away was a gift, in return for the thatch the builders gave me. The builders gave me the thatch because they broke the stick from the fruit pickers. The fruit pickers gave me the stick because they broke the egg for the cake. The cake was for the wedding. Now there is no egg, no cake, and no gift.”

“Nifanye nini?” alilia Vusi. “Ng’ombe aliyekimbia alikuwa ni zawadi, ambayo nilipewa kama mbadala wa makuti niliyopewa na wajenzi. Wajenzi walinipa makuti kwa sababu walivunja fimbo niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi. Kwa hiyo hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi.”


Mushiki wa Vusi yatekereje akanya, arangije aravuga, “Vusi musaza wange, ntago nitaye ku mpano. Ntanubwo nitaye kuri keke! Turi hano twese hamwe, ndishimye. Ubu amambara imyenda yawe myiza, twizihize uyu munsi!” Kandi nibyo Vusi yakoze.

Vusi’s sister thought for a while, then she said, “Vusi my brother, I don’t really care about gifts. I don’t even care about the cake! We are all here together, I am happy. Now put on your smart clothes and let’s celebrate this day!” And so that’s what Vusi did.

Dada yake Vusi alifikiria kwa muda, halafu akasema, “Kaka yangu Vusi, usijali zawadi, pia usijali keki! Tupo hapa pamoja, nina furaha. Nenda kavae nguo zako nadhifu na uje tusherehekee siku hii!”


Written by: Nina Orange
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Patrick Munyurangabo
Language: Kinyarwanda
Level: Level 4
Source: What Vusi's sister said from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF