Download PDF
Back to stories list

Enkoko nawa Kinyangongolho Chicken and Millipede Kuku na Jongoo

Written by Winny Asara

Illustrated by Winny Asara

Translated by Amos Mubunga Kambere

Language Lukhonzo

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Engoko nawa Kinyangongolho babya banywani. Aliriryo ibakabera amalingwatha. Kiro kighuma mubathwamo erisatha akapira bangalhangira oyuwasi kubo nganindi.

Chicken and Millipede were friends. But they were always competing with each other. One day they decided to play football to see who the best player was.

Kuku na Jongoo walikuwa marafiki. Ila walikuwa wanashindana kila mara. Siku moja wakaamua kucheza mpira wa miguu ili waweze kubaini nani alikuwa mchezaji bora zaidi.


Neryo mubaghenda omwakisathiro kyomupira. Wangoko amathibitha kutsibu, kyonga wakinyangongolho amamusingya erithibitha. Wangoko mwapika kutsibu hali, kyonga kinyangongolho iyo mwapika ibwa hali kutsibu. Neryo wangoko amatsuka eriyitsumanga neriyibughanganisya.

They went to the football field and started their game. Chicken was fast, but Millipede was faster. Chicken kicked far, but Millipede kicked further. Chicken started to feel grumpy.

Wakaenda uwanjani na wakaanza kucheza. Kuku alikuwa na kasi ila Jongoo alikuwa na kasi zaidi. Kuku alipiga mpira mbali, ila Jongoo alipiga mbali zaidi. Kuku akaanza kupandwa na hasira.


Neryo bamathwamu erisatha esya peneti. Eritsuka Kinyangongolho mwatsuka omwagolo. Wangoko mwateba golo nguma. Omurundi wakabiri, Wangoko nayo amaya omwagola.

They decided to play a penalty shoot-out. First Millipede was goal keeper. Chicken scored only one goal. Then it was the chicken’s turn to defend the goal.

Wakaamua kupigiana penati. Jongoo akaenda golini. Kuku alifunga goli moja pekee. Ikawa zamu ya kuku kwenda golini.


Kinyangongolho amapika neryo amateba egolo. Kandi amatasakyanga neryo amateba, kandi amakolesya n’omuthwe neryo amateba, erilebya kinyangongolho inyamabiriteba esyagolo ithano.

Millipede kicked the ball and scored. Millipede dribbled the ball and scored. Millipede headed the ball and scored. Millipede scored five goals.

Jongoo alipiga mpira akafunga. Jongoo akapiga chenga akafunga. Jongoo akapiga kichwa akafunga. Jongoo akafunga magoli matano.


Wangoko amatsuruma kwanamathalemwa, nerisingwa nabi. Kinyangongolho amakwama kyasekerera munywani wiwe ahabwerithasingwa.

Chicken was furious that she lost. She was a very bad loser. Millipede started laughing because his friend was making such a fuss.

Kuku akakasirika kwa kuwa amefungwa. Hakuwa mshindani mzuri. Jongoo akaanza kucheka kwa sababu rafiki yake alikuwa analalamika.


Neryo wa’Ngoko nekinigha kinene, amathanda obunu neryo amasokolha nerimera wa Kinyangongolho.

Chicken was so angry that she opened her beak wide and swallowed the millipede.

Kuku alipatwa na hasira kiasi kwamba akafungua mdomo wake mkubwa na akammeza Jongoo.


wa’Ngoko abere anemughenda akasuba eka, amasangana mama wa kinyangongolho. Mama wakinyangongolho amabulya oko, “wanabwene omwana waghe kinyangongolho?” Wankoko mwayihunira. Mama wa Kinyangongolho neryo amatsuka eribya nobulighe.

As Chicken was walking home, she met Mother Millipede. Mother Millipede asked, “Have you seen my child?” Chicken didn’t say anything. Mother Millipede was worried.

Kuku alipokuwa anarudi nyumbani alikutana na Mama yake Jongoo. Mama Jongoo akamuuliza, “Umemwona mwanangu?” Kuku hakujibu kitu. Mama Jongoo akapatwa na wasiwasi.


Neryo mama wa Kinyangongolho mwowa akalenge kake ikanemubugha kati, “mama unzunire”. Mama we Kinyangongolho amahulikirira ndeke, eriyowa akalenge ikakalhwa omwanda ya wa’Ngoko.

Then Mother Millipede heard a tiny voice. “Help me mom!” cried the voice. Mother Millipede looked around and listened carefully. The voice came from inside the chicken.

Mama Jongoo akasikia sauti kwa mbali. “Nisaidie mama!” ile sauti ililia. Mama Jongoo akaangalia huku na kule na kusikiliza kwa makini. Sauti ilitokea tumboni mwa kuku.


Mama wa Kinyangongolho mwabirikira, “mwanawange, kolesaya amaghezi awembaghane,” Ebinyangongolho bikabeha kutsibu neryo ibyalhuma omonda. wa’Ngoko neryo akendilhwalha omonda.

Mother Millipede shouted, “Use your special power my child!” Millipedes can make a bad smell and a terrible taste. Chicken began to feel ill.

Mama Jongoo alipiga kelele, “Tumia nguvu yako ya kipekee mwanangu!” Majongoo wanaweza kutoa harufu mbaya na ladha ya ajabu. Kuku akaanza kujisikia mgonjwa.


wa’Ngoko mwatsuka erisalha, nerituruka. Abirisalha kandi inyadola ebisalho, nerithwa esyatsihya nerikoholha, ekinyangongolho kikabeha.

Chicken burped. Then she swallowed and spat. Then she sneezed and coughed. And coughed. The millipede was disgusting!

Kuku akabeuwa. Akameza mate na kutema. Halafu akapiga chafya na kukohoa. Akakohoa tena. Jongoo alimfanya ajisikie vibaya.


wa’Ngoko mwakoholha kutsibu nerisalha kuhika ahasalira ekinyangongolho. Neryo mama wa Kinyangongolho haima n’omwana wiwe muba kulhulhukira omwa muthi eribisama wa’Ngoko.

Chicken coughed until she coughed out the millipede that was in her stomach. Mother Millipede and her child crawled up a tree to hide.

Kuku alikohoa, hadi akamtema jongoo aliyekuwa tumboni mwake. Mama Jongoo na mwanaye wakakwea mti kujificha.


Neryo erilhwiririra naho, wa’Ngoko, na wa’Kinyangongolho bwabiribya buyighu.

From that time, chickens and millipedes were enemies.

Tangu hapo, Kuku na Jongoo ni maadui.


Written by: Winny Asara
Illustrated by: Winny Asara
Translated by: Amos Mubunga Kambere
Language: Lukhonzo
Level: Level 3
Source: Chicken and Millipede from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF