Download PDF
Back to stories list

Ананси и Мудрость Anansi na hekima

Written by Ghanaian folktale

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Ania Voznaia

Language Russian

Level Level 3

Narrate full story The audio for this story is currently not available.


Давным давно люди ничего не знали. Они не знали как собирать урожай, как делать ткани или железные инструменты. У бога Ньяме высоко на небе была вся мудрость в мире. Он хранил её в глиняном горшке.

Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, hawakujua kushona nguo, wala hawakujua kuunda zana za chuma. Nyame, mungu aliyekuwa mbinguni, ndiye aliyekuwa mwenye hekima zote za dunia. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo.


Однажды Ньяме решил отдать горшок с мудростью Ананси. Каждый раз когда Ананси смотрел в глиняный горшок, он узнавал что-то новое. Как же это было интересно!

Siku moja, Nyame aliamua kumpa Anansi chungu hicho cha hekima. Kila Anansi alipotazama ndani ya chungu cha udongo, alijifunza jambo jipya. Alifurahi sana!


Жадный Ананси подумал, “Я буду хранить горшок на верхушке высокого дерева. Тогда он весь будет только моим!” Он сделал длинную веревку, обвязал ее вокруг глиняного горшка и привязал к животу. Он стал забираться на дерево. Но Ананси было сложно забираться на дерево, когда горшок постоянно бил ему по коленям.

Anansi mlafi alinong’ona moyoni, “Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili nikifaidi mwenyewe.” Akasokota uzi mrefu na kuuzungusha kwenye chungu. Kisha, akajifunga tumboni. Akaanza kupanda kwenye mti. Lakini ilikuwa vigumu kupanda kwenye mti huku chungu kikimgonga magotini kila mara.


Всё это время молодой сын Ананси стоял у подножья дерева и смотрел на него. Он спросил, “Тебе не было бы легче, если бы ты привязал горшок спине?” Ананси попробовал привязать глиняный горшок полный мудрости к спине, и так действительно было легче.

Wakati huo wote, mwanawe alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama baba yake. Akamwambia, “Baba, si ingekuwa rahisi kupanda endapo ungekifungia chungu mgongoni?” Basi Anansi akajaribu kukifungia chungu kilichojaa hekima mgongoni mwake, na kweli ikawa rahisi zaidi.


Он не заметил как забрался на верхушку дерева. Но потом он остановился и подумал, “У меня должна быть вся мудрость, а мой сын был умнее меня!” Ананси был так зол из-за этого, что он сбросил горшок с дерева.

Punde tu alipofika juu ya mti, aliwaza, “Natakiwa kuwa ndiye mwenye hekima zote, lakini hapa mwanangu ndiye mwenye akili kuliko mimi.” Anansi alikasirishwa sana kiasi kwamba alikitupa kile chungu chini ya mti.


Он разбился на куски на земле. Теперь все могли разделить мудрость. И так люди научились собирать урожай, делать ткани, железные инструменты и все другие вещи, которые умеют теперь.

Chungu kilivunjika vipandevipande pale chini. Hekima zikawa za bure kwa mtu yeyote kujichukulia. Na hivyo ndivyo watu walivyojifunza kulima, kushona nguo, kuunda zana za chuma, na mambo yote mengine ambayo watu wanajua kuyafanya.


Written by: Ghanaian folktale
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Ania Voznaia
Language: Russian
Level: Level 3
Source: Anansi and Wisdom from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF