Download PDF
Back to stories list

O que disse a irmã de Vusi Alichokisema dada yake Vusi

Written by Nina Orange

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Translators without Borders, Inês Correia, Priscilla Freitas de Oliveira

Read by Alfredo Ferreira

Language Portuguese

Level Level 4

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Certa madrugada, a avozinha de Vusi o chamou: “Vusi, leva este ovo para os teus pais. Eles querem fazer um grande bolo para o casamento da tua irmã”.

Siku moja asubuhi bibi yake Vusi alimwita na kumwambia, “Tafadhali peleka yai hili kwa wazazi wako. Wanataka kutengeneza keki kubwa kwa ajili ya harusi ya dada yako.”


No caminho para a casa dos pais, Vusi encontrou dois rapazes apanhando fruta. Um rapaz tirou o ovo das mãos de Vusi e atirou-o em uma árvore. O ovo quebrou.

Alipokuwa njiani kuelekea kwa wazazi wake, Vusi akakutana na vijana wawili wanaokota matunda. Kijana mmoja akanyakua yai kutoka kwa Vusi na akalirusha kwenye mti. Yai likavunjika.


“O que você fez?”, gritou Vusi. “Aquele ovo era para um bolo. O bolo era para o casamento da minha irmã. O que é que a minha irmã dirá se não tiver bolo de casamento?”.

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Yai lile lilikuwa kwa ajili ya keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Dada yangu atasemaje kama hakutakuwa na keki ya harusi?”


Os rapazes lamentaram ter provocado Vusi. “Não podemos lhe ajudar com o bolo, mas podemos lhe dar esse pedaço de madeira para a sua irmã”, disse um dos rapazes. Vusi continuou a sua caminhada.

Vijana wale waliomba msamaha kwa kumchokoza Vusi. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini hii hapa ni fimbo kwa ajili ya dada yako,” mmoja alisema. Vusi akaendelea na safari yake.


No meio do caminho, encontrou dois homens construindo uma casa. “Podemos usar essa madeira forte?”, perguntou um. Mas a madeira não era suficientemente forte para o edifício e quebrou.

Njiani alikutana na wanaume wawili wakijenga nyumba. “Tunaweza kutumia hiyo fimbo imara?” mmoja akaomba. Lakini fimbo haikuwa imara kwa kujengea, na ikavunjika.


“O que você fez?”, gritou Vusi. “Essa madeira era um presente para a minha irmã. Os apanhadores de fruta me deram a madeira porque quebraram o ovo para o bolo. O bolo era para o casamento da minha irmã. Agora, nem ovo, nem bolo, nem presente. O que a minha irmã vai dizer?”

“Mmefanya nini?” Vusi akalia. “Fimbo hii ilikuwa zawadi kwa ajili ya dada yangu. Waangua matunda walinipa fimbo hiyo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa ni kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


Os construtores lamentaram ter partido a madeira. “Não lhe podemos ajudar com o bolo, mas toma esta palha para a sua irmã”, disse um. E então Vusi continuou a sua caminhada.

Wajenzi waliomba msamaha kwa kuvunja fimbo. “Hatuna la kufanya kuhusu keki, lakini tutakupa makuti umpelekee dada yako,” mmoja alisema. Na Vusi akaendelea na safari yake.


No seu caminho, Vusi encontrou um agricultor e uma vaca. “Que palha deliciosa, posso provar um bocadinho?”, perguntou a vaca. Mas a palha era tão saborosa que a vaca comeu tudo!

Njiani, Vusi akakutana na mkulima akiwa na ng’ombe. “Una makuti mazuri, naweza kupata kidogo?” Ng’ombe akaomba. Lakini makuti yalikuwa matamu ng’ombe akayala yote!


“O que você fez?”, gritou Vusi. “Essa palha era um presente para a minha irmã. Os construtores deram essa palha porque quebraram a madeira dos apanhadores de fruta. Os apanhadores deram-me a madeira porque quebraram o ovo para o bolo da minha irmã. O bolo era para o casamento da minha irmã. Agora, nem ovo, nem bolo, nem presente. O que dirá a minha irmã?”

“Umefanya nini?” Vusi akalia. “Makuti haya yalikuwa zawadi ya dada yangu. Wajenzi walinipa makuti kwa kuwa walivunja fimbo yangu niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa kuwa walivunja yai kwa ajili ya keki ya dada yangu. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi ya dada yangu. Sasa hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi. Dada yangu atasemaje?”


A vaca lamentou ter sido gulosa. O agricultor concordou que a vaca deveria seguir Vusi como presente para a sua irmã. E então Vusi continuou a caminhada.

Ng’ombe aliomba msamaha kwa kuwa mlafi. Mkulima alikubali kumpa Vusi ng’ombe aende naye kama zawadi kwa ajili ya dada yake. Vusi akaendelea na safari yake.


Mas a vaca fugiu de volta para o agricultor na hora do jantar. E Vusi se perdeu no caminho. Chegou muito tarde para o casamento da sua irmã. Os convidados já tinham começado a comer.

Lakini wakati wa chakula cha jioni ng’ombe alikimbia kurudi kwa mkulima. Na Vusi akapotea njiani. Akafika kwa kuchelewa sana kwenye harusi ya dada yake. Wageni walikuwa tayari wanakula.


“O que é que devo fazer?”, gritou Vusi. “A vaca que fugiu era uma presente em troca da palha que os construtores me deram. Os construtores deram a palha porque quebraram a madeira dos apanhadores de fruta. Os apanhadores de fruta deram a madeira porque quebraram o ovo para o bolo. O bolo era para o casamento. Agora, nem ovo, nem bolo, nem presente”.

“Nifanye nini?” alilia Vusi. “Ng’ombe aliyekimbia alikuwa ni zawadi, ambayo nilipewa kama mbadala wa makuti niliyopewa na wajenzi. Wajenzi walinipa makuti kwa sababu walivunja fimbo niliyopewa na waangua matunda. Waangua matunda walinipa fimbo kwa sababu walivunja yai la keki. Keki ilikuwa kwa ajili ya harusi. Kwa hiyo hakuna yai, hakuna keki, na hakuna zawadi.”


A irmã de Vusi pensou por uns momentos, e disse: “Vusi, meu irmão, eu não quero saber dos presentes. Nem me interessa o bolo! Estamos todos juntos e, por isso, estou feliz. Agora, veste a sua roupa de cerimónia e vamos celebrar este dia!” - E assim fez Vusi.

Dada yake Vusi alifikiria kwa muda, halafu akasema, “Kaka yangu Vusi, usijali zawadi, pia usijali keki! Tupo hapa pamoja, nina furaha. Nenda kavae nguo zako nadhifu na uje tusherehekee siku hii!”


Written by: Nina Orange
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Translators without Borders, Inês Correia, Priscilla Freitas de Oliveira
Read by: Alfredo Ferreira
Language: Portuguese
Level: Level 4
Source: What Vusi's sister said from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF