Download PDF
Back to stories list

Anansi e o sábio Anansi na hekima

Written by Ghanaian folktale

Illustrated by Wiehan de Jager

Translated by Priscilla Freitas de Oliveira

Read by Alfredo Ferreira

Language Portuguese

Level Level 3

Narrate full story

Reading speed

Autoplay story


Há muito tempo atrás as pessoas não sabiam sobre nada. Elas não sabiam como cultivar planta alguma, ou como tecer roupas, ou como fazer instrumentos de ferro. O Deus Nyame, bem lá no alto do céu, possuía toda a sabedoria do mundo. Ele guardava toda essa sabedoria num vaso de barro.

Hapo zamani za kale, watu hawakujua chochote. Hawakujua kupanda mimea, hawakujua kushona nguo, wala hawakujua kuunda zana za chuma. Nyame, mungu aliyekuwa mbinguni, ndiye aliyekuwa mwenye hekima zote za dunia. Alihifadhi hekima hiyo kwenye chungu cha udongo.


Um dia, Nyame decidiu que ele daria o vaso da sabedoria para Anansi. Toda vez que Anansi olhava para dentro do vaso de barro, ele aprendia alguma coisa nova. Isso era muito legal!

Siku moja, Nyame aliamua kumpa Anansi chungu hicho cha hekima. Kila Anansi alipotazama ndani ya chungu cha udongo, alijifunza jambo jipya. Alifurahi sana!


O ganancioso Anansi pensou, “Vou guardar o vaso com segurança no topo de uma árvore bem alta. Assim posso ficar com tudo só para mim!” Ele enrolou um fio longo em volta do vaso e amarrou-o a sua barriga. Então, começou a escalar a árvore, mas foi difícil subir com o vaso batendo o tempo todo em seus joelhos.

Anansi mlafi alinong’ona moyoni, “Nitakificha chungu hiki juu ya mti mrefu ili nikifaidi mwenyewe.” Akasokota uzi mrefu na kuuzungusha kwenye chungu. Kisha, akajifunga tumboni. Akaanza kupanda kwenye mti. Lakini ilikuwa vigumu kupanda kwenye mti huku chungu kikimgonga magotini kila mara.


O tempo todo o filho mais jovem de Anansi tinha ficado embaixo da árvore, observando. Ele disse, “Não seria mais fácil subir se você tivesse amarrado o vaso a suas costas?” Anansi tentou amarrar o vaso cheio de sabedoria a suas costas e, realmente, assim foi muito mais fácil.

Wakati huo wote, mwanawe alikuwa amesimama chini ya ule mti akimtazama baba yake. Akamwambia, “Baba, si ingekuwa rahisi kupanda endapo ungekifungia chungu mgongoni?” Basi Anansi akajaribu kukifungia chungu kilichojaa hekima mgongoni mwake, na kweli ikawa rahisi zaidi.


Em pouco tempo ele alcançou o topo da árvore. Mas depois parou e pensou, “Eu deveria ser o único a possuir toda a sabedoria, e agora meu filho foi mais sábio do que eu!” Anansi estava tão zangado com isso que arremessou o vaso do topo da árvore.

Punde tu alipofika juu ya mti, aliwaza, “Natakiwa kuwa ndiye mwenye hekima zote, lakini hapa mwanangu ndiye mwenye akili kuliko mimi.” Anansi alikasirishwa sana kiasi kwamba alikitupa kile chungu chini ya mti.


O vaso despedaçou-se no chão. A sabedoria estava livre para ser dividida com todos. E foi assim que as pessoas aprenderam a cultivar, a tecer, a fazer instrumentos de ferro e todas as outras coisas que sabem fazer até hoje.

Chungu kilivunjika vipandevipande pale chini. Hekima zikawa za bure kwa mtu yeyote kujichukulia. Na hivyo ndivyo watu walivyojifunza kulima, kushona nguo, kuunda zana za chuma, na mambo yote mengine ambayo watu wanajua kuyafanya.


Written by: Ghanaian folktale
Illustrated by: Wiehan de Jager
Translated by: Priscilla Freitas de Oliveira
Read by: Alfredo Ferreira
Language: Portuguese
Level: Level 3
Source: Anansi and Wisdom from African Storybook
Creative Commons License
This work is licensed under a Creative Commons Attribution 3.0 International License.
Options
Back to stories list Download PDF